Baada ya kunikula kanichunia

Nitafute nikuliwaze
 
Nikitizama hayo mapenzi naona kama jambo lisilo na umuhimu ndio maana sijawahi kushoboka na kidada cha mtu kufosi mzigo
 
ushaliwa kaa kimya kwan ulipokua unabana ulitarakiabukimpabmtua itatoa asali. hapo we sema ukweli kakutana na harufu hajazipenda kwann arudi tena wakat atanukishwa harufu za mizoga
 
.
Usimvulie mwanaume nguo kabla ya ndoa, kuna sababu kwanini Mungu aliagiza usizini kabla ya ndoa.
.
Iko hivi, wanaume tuna hali ya kukinai tukishakuchojoa nguo, ndio kinachokutokea sasa. Sasa kama hakuwa na lengo la kuwa na wewe, imekula kwako.
 
25 yrs una bikra?.. bas utakua mbovu
 

Sijawahi sikia mwanamke anasema wazi wazi eti katolewa bikira na mwanaume fulani, hiyo haipo, kwa maneno yako makali hivi, iko wazi ww ni mwanamke mzoefu na unatoa mbususu sana tu siajabu hadi tigo, psychologically, bikira hawezi kabisa kunena haya ulioandika, ww ni kungwi wa kubanduana
 
Ngoja kwanza; Kwa hivyo wewe ulikuwa mama bikira?
 

😁😁🤣 lakini si umeanza wenyewe kutomjibu text sasa kakublock unaumia nini.

kama vipi mpotezee njoo nikuliwaze bi mzuri kwa kipind kigum unachopitia
 
Nimekublock sabbu nimeludi kwa mke wangu sitaki ajue kama ninamchepuko
 
Kuna shida moja tu itakuwa imemfanya jamaa akuache. Baada ya sex ukaanza kujaa upepo unazungumzia ndoa tu, ukaanza kumuongelesha mambo ya ndoa. Kwa mwanaume hiyo ni kama anataka kuuziwa kitu kibovu kwenye box.
Nikushauri kitu acha kulalamika na kuanza kutuma meseji za lawama kwamba amekukula haoneshi uelekeo wa kukuoa na hasemi anatakuja lini kujitambulisha kwenu.
Mdomo baada ya sex ni kama vile 'Malaya' amemuuzia uchi wake. Unataka akuoe haraka haraka kwa sababu tu umemvulia nguo,wanaume hatuko hivyo.
Kwa sasa acha kulalamika na kutuma meseji za malalamiko. Tulia kabisa kama vile hakuna kilichotokea na usitumie namba nyingine kumtafuta kwa sababu najua unafanya hivyo. Baada ya utulivu wa muda mrefu na kama vile kumuondoa kichwani basi huyo jamaa atarudi na akirudi tulia kabisa kama unamtaka huyo jamaa la sivyo utamfukuza kabisa. Huyu bado muoga na maneno yako yanamkimbiza. Tulia
 
Moja tayari [emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
Bado Moja,.......................
 
Amekubwaga sababu ulijiona malkia alivokuwa anakufukuzia ukamzungusha mpaka mwaka na miezi8 asa ameshaona kilichomo hakimo we unataka arudie nini tena kwako!

Songa mbele na maisha yako wape vijana wengine wazidi kuifaidi mbususu hiyo
 

Sawa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…