Baada ya kunikula kanichunia

ushaliwa kaa kimya kwan ulipokua unabana ulitarakiabukimpabmtua itatoa asali. hapo we sema ukweli kakutana na harufu hajazipenda kwann arudi tena wakat atanukishwa harufu za mizoga

Ukizoea vya kufedhesha eeh
 
.
Usimvulie mwanaume nguo kabla ya ndoa, kuna sababu kwanini Mungu aliagiza usizini kabla ya ndoa.
.
Iko hivi, wanaume tuna hali ya kukinai tukishakuchojoa nguo, ndio kinachokutokea sasa. Sasa kama hakuwa na lengo la kuwa na wewe, imekula kwako.

Mnatuchanganya

Na asilimia1 wanaoana hawajavuana nguo
 

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hii ni Jf mkuu sio Facebook
 

Asante kwa ushaurii japo sijawahi zungumza suala la ndoa nina zaidi ya mwaka…

Sasa yeye ndio anaezungumzia hilo suala na wala huwa sijibu kitu maana naonaga ni mbabaishaji

Kwasasa sitaki ndoa nataka mahusiano yasiyo na stress Kama Mungu alipanga atanioa ni sawaa
 



Tatizo inawezekana katika kipindi hicho mlipokuwa wapenzi bila mbususu kuchakatwa, uligharamikiwa vitu vingi.

Baharia akamind, ulivyojifanya kumpotezea akaona wewe boya tu.

Hii iliwahi kunikuta. Msichana mmoja toka Nigeria nilikutana naye siku moja tukapiga story wala hatukuongea chochote kimapenzi. Siku nyingine nikakutana naye nikatupa ndoano, alijifanya mjuaji basi nikapotezea.

Zikapita miezi akajaa kwenye 18 zangu, nikaishia kula mbususu. Sasa kimbembe kikaanza anataka nimuoe mara wivu, nikampa kisogo. Mara nyingi mimi mwanamke akijifanya kunizungusha nakuwa na malengo tofauti, kumla na kumtema.
 
Me mwenyewe nipo na single mother ananisumbua siku akijichanganganya akatoa mbunye ajue imekura kwake
 
Akinipenda mama inatosha, nyimbo tamu sana
 
Kwamba ulitembea na bikira yako hadi miaka 25? Hicho "kiungo" hakitakiwi kukaa mwilini zaidi ya miaka 20...
 
Uenda amekutana na asichokitarajia. sometimes mamen uwaga tunanakuwa na matarajio makubwa kuliko uhalisia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…