Baada ya kunitumia picha yake kanizira!

🤣🤣 Sasa Mimi na wewe nani hanaakili ndugu..? Maana wewe umeshindwa hata kutambua kuwa hata kuandika hivi ni akili!

Nchi iuzwe tu tugawane hela tu..🤣🤣
Kumbafu kabisa ww....
huna akili hata moja
 
Mbona hana Tatizo lolote? Mm ndio mambo yangu haya
 
Mbona hana Tatizo lolote? Mm ndio mambo yangu haya
Mkuu tatizo nakibamia kitapitaje hiyo minyama mpk kifikie utamu halafu hao hawakatikagi..🤣🤣
 
Huyu muigizaji umemtoa kwenye movie gani ya Kinigeria? Hizi chai hizi!
 
Bwashee usisahau imani ya CCM kwamba binadamu wote ni sawa......
Huyo kibonge anastahili heshima na kuthaminiwa utu wake
 
Dah jamani kwani huyo dada ni mbaya??? Unataka uzuri gani, mbona mamiss wapo uwafati unakuja leta nyodo humu, acha zako bana...pm nambaa yake km unajua unachòongea
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…