Baada ya kunizungusha sana, Sasa muda huu ndio tunaenda kumalizana

Msherwa

JF-Expert Member
Joined
Aug 4, 2012
Posts
1,323
Reaction score
1,230
Toka asubuhi ananizungusha

Kuna muda kanambia yupo kaskazini, kuja kumtazama kumbe yupo mashariki

Sasa muda huu kakaa mahali sahihi.

Ngoja nikamalizane naye , Then ntaleta updates

Kuweni wavumilivu wakuu
 
Uwe mwangalifu, siku hizi wanakuaga nazo mbili mbili: na zote zinafanya kazi!! Ni mwendo wa kama Konokono tu, atakayemuwahi mwenzie anampa mambo!!!!
 
Uwe mwangalifu, siku hizi wanakuaga nazo mbili mbili: na zote zinafanya kazi!! Ni mwendo wa kama Konokono tu, atakayemuwahi mwenzie anampa mambo!!!!

unazungumzia nini mkuu?
Kama sijakuelewa hivi
 
Ok, Mimi nitakuja ku-examine crime scene kuhakikisha kama ulitenda miujiza kweli.
 
Ok, Mimi nitakuja ku-examine crime scene kuhakikisha kama ulitenda miujiza kweli.

Safari hii ntahakikisha miujiza ya kweli inatendeka

sio kama kipinsi kile. Japo najua ulishapoteza imani na kazi yangu

Hakikisha unakuwa updated safari hii!!
 
Nyei ndyo mnanyimwaga. Hujapewa umesha anza tangaza
 
Anayeongea siyo mtendaji na mtendaji haongei.

Kumbe ..!!!

Sasa mbona huyu nayekutana naye leo huwa anaongea sana?

Unataka kunambia miujiza hatoiweza?

Usinitishe mkuu!
 
Skin to skin contact ndo mpango mkuu...


Hapana

Bila usb interface huwezi kupata direct skin contact

Mara nyingi vinyweleo vya router hutengeneza firewall katikati

Hata hivyo nina Avast Ant virus

So no Problem
 
Hainaga Ushemeji, ...............
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…