Baada ya kunizungusha sana, Sasa muda huu ndio tunaenda kumalizana

Unaenda mpango wa kando
Unamsaliti mkeo/mwenzio nakuombea mabaya yakukute kwanza utie adabu[emoji23] [emoji23]

Ungejua hadi mume wangu yupo hapa kando ananiangalia navyofanya kazi hii

Sema yeyey hanaga roho za kwa nini

Thats why kazi yangu inaendelea vyema na sio muda ntaleta updates za nilipofikia
 
Ungejua hadi mume wangu yupo hapa kando ananiangalia navyofanya kazi hii

Sema yeyey hanaga roho za kwa nini

Thats why kazi yangu inaendelea vyema na sio muda ntaleta updates za nilipofikia
Hahahaaa we sio mzima leo [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Hahahaaa we sio mzima leo [emoji23] [emoji23] [emoji23]

Umejuaje mkuu?

Yaani leo nimechanganyikiwa mpaka basi

muda huu nipo Magharibi

na kesho nahitajika tena Kaskazini

Huo uzima ntautoa wapi mkuu!!
 
Umejuaje mkuu?

Yaani leo nimechanganyikiwa mpaka basi

muda huu nipo Magharibi

na kesho nahitajika tena Kaskazini

Huo uzima ntautoa wapi mkuu!!
[emoji23] [emoji23] [emoji23]
We sio Katarina Karatu?
Mbona comedy sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…