Baada ya kuona hawana chao tena CAFCC sasa wanatambia Ufungaji Bora wa Mayele kama sehemu ya Kujifariji

Baada ya kuona hawana chao tena CAFCC sasa wanatambia Ufungaji Bora wa Mayele kama sehemu ya Kujifariji

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
Tafadhali tubakie tu katika uchezaji wa Yanga SC na fainali iliyoko na tusizuge sasa kwa kuhamisha goli kujifanya kufungwa kwenu na USM Alger FC jana siyo Muhimu kwenu na kwamba ufungaji bora anaokwenda kuupata Fiston Mayele ndiyo gumzo kuu na Mafanikio yenu huko CAFCC.

Kudadadeki...!!

Kila la Kheri USM Alger FC tarehe 3 June, 2023 huko Kwenu/Kwao nchini Algeria.
 
Yanga hatuna uo upuuzi, mambo ayo waliyafanya Simba kwenye goli la Sakho.

Yanga ni timu ya Mataji na Biashara ya timu kubwa ni Mataji.

Mambo ya Magoli, robo fainali vinashangiliwa na timu ndogo.
 
Kutoa top goal scorer na kufika finali mlisha wahi kujaribu? Ligi kuu tumechukua, shirikisho tuna medali, na meza imaenda kupinduliwa pale pale uarabuni. Azam tuna medali ngao ya jamii tulisha isahau haya wewe kolo una nini?
 
Kutoa top goal scorer na kufika finali mlisha wahi kujaribu? Ligi kuu tumechukua, shirikisho tuna medali, na meza imaenda kupinduliwa pale pale uarabuni. Azam tuna medali ngao ya jamii tulisha isahau haya wewe kolo una nini?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] lia taratibuuuuu
 
Tafadhali tubakie tu katika uchezaji wa Yanga SC na fainali iliyoko na tusizuge sasa kwa kuhamisha goli kujifanya kufungwa kwenu na USM Alger FC jana siyo...
HIVI TIMU YAKO ILISHAWAHI FIKA FAINALI NA KUTOA TOP SCORER?

AU NDO BORA KUCHAGUA ANDAZI!
 
Back
Top Bottom