Baada ya kuona mambo yanakua magumu ulingoni imebidi wajimilikishe kwa karatasi

Baada ya kuona mambo yanakua magumu ulingoni imebidi wajimilikishe kwa karatasi

Narumu kwetu

JF-Expert Member
Joined
Jul 12, 2015
Posts
1,888
Reaction score
4,489
Ni aibu sana kwa taifa ambalo tuliaminishwa ni manguli wa vita,na kiukweli walifanya ulimwengu utie imani bila shaka kwamba baada ya US basi inafuata Russia kwenye medali za kivita.

Ila kwa kilichotokea ukraine taifa hili limevuliwa nguo kabisa.

Wengi hawafuatilii historia ya hii vita tangu february, ni kwamba Russia ameshindwa hii vita, sasa hivi alichofanya ni uhuni wa kujitangazia mikoa ambayo hata kuitwaa kwa 100% bado.

Jamaa kaona kusubiri chakula kìiive hataweza maana nguvu hana za kubeba mezani.

Ukitaka kuelewa Russia kachemka cheki alivyofurushwa kwenye ramani hapo chini.

Huyo ni crimea anashushwa ni swala la mda tuu
1664594571961.png
 
Ni aibu sana kwa taifa ambalo tuliaminishwa ni manguli wa vita,na kiukweli walifanya ulimwengu utie imani bila shaka kwamba baada ya US basi inafuata Russia kwenye medali za kivita.

Ila kwa kilichotokea ukraine taifa hili limevuliwa nguo kabisa.

Wengi hawafuatilii historia ya hii vita tangu february, ni kwamba Russia ameshindwa hii vita, sasa hivi alichofanya ni uhuni wa kujitangazia mikoa ambayo hata kuitwaa kwa 100% bado.

Jamaa kaona kusubiri chakula kìiive hataweza maana nguvu hana za kubeba mezani.

Ukitaka kuelewa Russia kachemka cheki alivyofurushwa kwenye ramani hapo chini.

Huyo ni crimea anashushwa ni swala la mda tuu
View attachment 2373293
Ndugu wasalimu hapo buza kwanza,ila chai umesha kunywa?Kama bado karibu chai hapa Zaporinhnzia🤸
 
Raia wanapigishwa kura kizembe na kukubali kuwa sehemu ya urusi badala ya kuleta upinzani. Askari wenu wanauwawa kuwapigania mnashindwa hata kuandamana?
 
Raia wanapigishwa kura kizembe na kukubali kuwa sehemu ya urusi badala ya kuleta upinzani. Askari wenu wanauwawa kuwapigania mnashindwa hata kuandamana?
Jamaa huu mwaka hatoboi
 
  • Thanks
Reactions: Tsh
Raia wanapigishwa kura kizembe na kukubali kuwa sehemu ya urusi badala ya kuleta upinzani. Askari wenu wanauwawa kuwapigania mnashindwa hata kuandamana?
Ccm hapa huwarubuni kwa chumvi bila mtutu wezenu wamewekewa mtutu mdomoni kwann nisipige nifumuliwe ubongo wakati HIMARS ipo
 
Jamaa huu mwaka hatoboi
Ngoja tusubiri maana ilitaiwa utlist kuwe na matukio kama raia kuchoma vituo vya kura, maandamano, wasimamizi kupigwa mawe etc.
 
Ccm hapa huwarubuni kwa chumvi bila mtutu wezenu wamewekewa mtutu mdomoni kwann nisipige nifumuliwe ubongo wakati HIMARS ipo
Ccm hapa matukio yapo kawaulize zanzibar, mtwara huko na baadhi ya maeneo kama kutuliza raia ilikuwa kazi nyepesi. Sasa kule ni adui ndo msimamizi, wanakosekana hata raia wa kuandamana kupinga uchaguzi?
 
Ni aibu sana kwa taifa ambalo tuliaminishwa ni manguli wa vita,na kiukweli walifanya ulimwengu utie imani bila shaka kwamba baada ya US basi inafuata Russia kwenye medali za kivita.

Ila kwa kilichotokea ukraine taifa hili limevuliwa nguo kabisa.

Wengi hawafuatilii historia ya hii vita tangu february, ni kwamba Russia ameshindwa hii vita, sasa hivi alichofanya ni uhuni wa kujitangazia mikoa ambayo hata kuitwaa kwa 100% bado.

Jamaa kaona kusubiri chakula kìiive hataweza maana nguvu hana za kubeba mezani.

Ukitaka kuelewa Russia kachemka cheki alivyofurushwa kwenye ramani hapo chini.

Huyo ni crimea anashushwa ni swala la mda tuu
View attachment 2373293
Ripoti hiyo imeandaliwa na shabiki nguli wa Namungo akiwa Nangurukuru
 
hivi mumesikia pentagon imelink na jeshi la ukraine. hadi kufikia Desember itakua kuishambulia ukraine ni sawa na kuishambulia Florida.
 
Back
Top Bottom