That Gentleman
JF-Expert Member
- Dec 16, 2016
- 2,215
- 3,678
Taratibu bibie...Ndio kajua wewe ni mwanaume wa maana, make hawa wanaume wanaokunywa mirinda nyeusi wanakuaga na mambo meusi afu wambea wambea....
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Taratibu bibie...Ndio kajua wewe ni mwanaume wa maana, make hawa wanaume wanaokunywa mirinda nyeusi wanakuaga na mambo meusi afu wambea wambea....
Hivi unajua maana ya uleviUlevi sio sifa nzuri mkuu
Subiri pombe iishe kichwani halafu ulete mrejeshoHabari wakuu
Hakika wanawake kuwaelewa ni ngumu mno, ni mwezi mmoja umepita tangu nilivyomuapproach mtoto mmoja hapa jiji la joto na akanitolea nje.
Nikapambana kila namna lakini mtoto hakunielewa ndani ya siku 4 nikajikatia tamaa. Ilibaki tunaonana kupitia status za wasap pasipo kucoment chochote
Wikiend hii nilijichanganya kiwanja nikatulia napiga zangu Serengeti lite..Tungi lilipozidi nilijikuta nimepost selfie niko na bia kama tano hivi.
Hapohapo yule mtoto alipoiview tu basi akili yake ikamruka...hee kumbe unakunywa bia? Nikajisemea tu napunguza mawazo..Hapo ndio akajiset na kuuliza lini niwe nae anipe kile nataka.
Hapa najiuliza hivi ni hizi bia tu ndio zimemfanya mtoto adate kiasi hiki, maana sio kwa sms na calls za fujo.
Hivi wanawake nini kinawapendeza? Mwanzo nilikuingia kiuchungaji ukazingua, kuona bia tu basi mambo yamekubali.
Wanawake mueleweke vipi lakini.
yupo vizuriSubiri pombe iishe kichwani halafu ulete mrejesho
Ni nini sasaUlevi sio sifa nzuri mkuu
Hivi muasisi wa hili neno mbususu ni nani? Ajengewr sanamu kabisaayupo vizuri
wikiend hii anaenda kutoa mbususu
Ngoja na Mimi nione PM yangu km Kuna helloView attachment 1804213
Kuna mtu alisema humu hawajulikani wanachokitaka na siku ukigundua ujuwe unakaribia kufa😅😅...Habari wakuu
Hakika wanawake kuwaelewa ni ngumu mno, ni mwezi mmoja umepita tangu nilivyomuapproach mtoto mmoja hapa jiji la joto na akanitolea nje.
Nikapambana kila namna lakini mtoto hakunielewa ndani ya siku 4 nikajikatia tamaa. Ilibaki tunaonana kupitia status za wasap pasipo kucoment chochote
Wikiend hii nilijichanganya kiwanja nikatulia napiga zangu Serengeti lite..Tungi lilipozidi nilijikuta nimepost selfie niko na bia kama tano hivi.
Hapohapo yule mtoto alipoiview tu basi akili yake ikamruka...hee kumbe unakunywa bia? Nikajisemea tu napunguza mawazo..Hapo ndio akajiset na kuuliza lini niwe nae anipe kile nataka.
Hapa najiuliza hivi ni hizi bia tu ndio zimemfanya mtoto adate kiasi hiki, maana sio kwa sms na calls za fujo.
Hivi wanawake nini kinawapendeza? Mwanzo nilikuingia kiuchungaji ukazingua, kuona bia tu basi mambo yamekubali.
Wanawake mueleweke vipi lakini.
Tuheshimiane tafadhali aiseee [emoji23]Ndio kajua wewe ni mwanaume wa maana, make hawa wanaume wanaokunywa mirinda nyeusi wanakuaga na mambo meusi afu wambea wambea....
[emoji16][emoji16][emoji16]alipata wa kufanana naeMkuu umenikumbusha kitu. Kuna Binti mmoja mtaani kwetu alikuwa akisifika kwa uhuni, mitusi, ugomvi na ulevi hadi wazazi wake wakawa wamenyoosha mikono maana walimshindwa kwa tabia zake ameshalala sana Mahabusu na kutolewa.
Sasa kuna Jamaa alijitokeza kutaka kumuoa. Wazazi walikataa kupokea Mahari wakamruhusu jamaa achukue mke tu. (Wazazi waliona ni kama wametua mzigo na walijua huyu ataachwa tu siku si nyingi)
Cha ajabu hadi sasa ishapita miaka 10 yule binti bado yupo na mumewe na ana watoto wawili. Wote wawili walevi wazuri sana.
Yaan mwanaume unakunywa soda?Ndio kajua wewe ni mwanaume wa maana, make hawa wanaume wanaokunywa mirinda nyeusi wanakuaga na mambo meusi afu wambea wambea....