maharage ya ukweni
JF-Expert Member
- Aug 25, 2016
- 1,415
- 3,213
- Thread starter
-
- #41
"Ur stupid" ina maana gani?Unadhani marekani ni wajinga eeh. Kwamba watatangaza silaha na mambo yoote wanayo yategemea..? Ur stupid. America hawana huo upuuzi. Wata control mihemko kulinda siri zao
Nakuhakikishia hiyo tarehe 26 wataishia kuangalia mechi ya Yanga vs Al Hilal baada ya hapo kila mtu atachukua time yake ππππππππππππππNATO wenyewe imebidi waombe mkutano wa dharura kujadili Oreshnik, sio mchezo!
Yaani hata kuliona haulioni Hiyo Kasi sio mchezo
Mkuu,siku hizi maono vipi!?..yanga hachukui ubingwa caf!?Jamaa hakuelewa nilichomaanisha,hivyo vi interceptors ndio nilichokusudia coz hakuna hata kimoja chenye uwezo wa kuzuia Oreshnik.Yaani ukiona mwanga tu ujue kitu ndio kime hit target
Kuhusu gharama ni vema ukajua kuwa Marekani kiuchumi yupo mbali sana, yaani ni kama umkosoe Mo au GSM kuwa kumiliki magari mengi ni gharama sana kwao.Usa hawako smart kabisa wana macareier sijui kumi na personale wakutosha ambapo inaongeza tena gharam za uendeshaji na kubeba hatari kubwa sana
TFF haiwezi kukubali hili litokee tena na kombe limeshaandikwa SimbaMkuu,siku hizi maono vipi!?..yanga hachukui ubingwa caf!?
Sijui waulize google au nyambua mwenyewe"Ur stupid" ina maana gani?
Acha kumtisha na ujeshi wako br. Huyu anatoa maoni yake na hakikisha unayapinga Kwa Hoka thabiti.Kabla ya kujadili una elimu mkuu ya mambo ya vita? Uko nchi gani Tanzania au Marekani? Uliwahi kwenda operesheni yoyote ya kijeshi?
Kwahiyo unajiona una akili nyingi kwakujua matusi ya kizungu ππππππππππππSijui waulize google au nyambua mwenyewe
Hilo kombora Lina speed Kali balaa yaani hata video imeshindwa kuonekana tunaona moto lishatembea
Shida ni kwamba zinazamishwa kirahisi so watu wakichafukwa watakachokifanya kwanza wanazinywesha maji halafu mambo mengine ndio yanaendeleaKwa maoni yangu Bado aircraft carriers Zina nafasi.
1. Military doctrine ya US more offensive, wakati Russia ni more defensive. Meaning, ili ushambulie unahitaji strikers mbele.
2. Kupunguza muda wa kufika battlefield! Kumbuka US yuko mbali na Europe na Asia so ili afike haraka anazihitaji hizo carriers
3. Sio rahisi sana kuzizamisha carriers ukiondoa missile defence ambazo zipo kwenye strike group, hizo carriers muda wote zipo in motion, Sio rahisi kuzi-target!
4. Anaweza kuzitumia mwisho wa vita wakati adui ameshapoteza uwezo wa makombora ya masafa marefu!
Unataka utukanweKwahiyo unajiona una akili nyingi kwakujua matusi ya kizungu ππππππππππππ
Amna aliyesema nchi yangu inaweza kuzamisha carrier .carrier ni highly value asset carrier moja pamoja ndege zake na helicopter inaweza kuwa na thanmi hata kufikia trillion 40 na sio stealth kwa hiyo inakuwa monitored ikiiwa mbali huko kwa hiyo nchi kama Iran ikotuma in barrel of missle hata za trillion moja na Dron hiyo carrier itabaki kiti .pia ufuham ukipigana kwenye bahari sio kama kwenye nchi kavu ukavu unaweza kwenda kujificha au kuita msaada wa haraka ukipigwa nadani ya bahari sekeseke lake sip la kawaida maana hata nchi kavu haupaoni kwa macho ..bado carrier kwa nchi yanye tech kubwa ni takatakaKuhusu gharama ni vema ukajua kuwa Marekani kiuchumi yupo mbali sana, yaani ni kama umkosoe Mo au GSM kuwa kumiliki magari mengi ni gharama sana kwao.
Pili ni vema mkaelewa kuwa SILAHA alizonazo Russia inawezekana hata wenzake wanazo bora kama hizo au zaidi.
Tatu nyie mnaokosoa aircraft carrier nadhani mnatakiwa kufikiria kiakili zaidi kwasababu kama mwenzako kasogeza hizo carrier jirani na wewe halafu itokee vita baina yenu, je, unafikiri mwenye advantage zaidi ya mwenzake ni nani.
Obviously mwenye carrier atakuwa na advantage kwasababu atakuwa anakushambulia kutoka kwenye carrier na pia kutokea nyumbani kwake kwa kutumia long range missile au ICBM. NI RAHISI SANA WEWE USIYE NA CARRIER KUWA NEUTRALISED.
SISI TUPO KWEMBE, BUNJU, GOBA, KIVULE,UNUNIO, MBWENI INAYOKERA KIPINDI CHA MVUA, KIBADA, KWA MOROMBO, SAKINA, OLASITI, NYEGEZI, FUONI ZNZ, MWANAKWEREKWE, MIPANGO DODOMA .NDIO TUNAICHEKA MAREKANI KUMILIKI AIRCRAFT CARRIER NA KWAMBA ETI SI LOLOTE KWENYE VITA.
Hivi wewe Kinchi chako hiki kinaweza kuizamisha carrier kama inatokea kushambuliwa na taifa lolote kubwa .
Hebu tuacheni huu ushabiki wa Simba na Yanga kuleta kwenye mambo makubwa hivi. Nakumbuka Patrice Ngoma na Onana wakati wanasajiliwa walitangazwa sana nikajua ni zaidi ya Ronaldo
Hata Ukraine ipo well equiped hata israhell piaMkuu zile Carriers kazi yake siyo kubeba ndege za kivita tu!
Zina mifumo ya Rada ya kutrack makombora yanayozishambulia! Zina intercepters,zina mifumo ya kurusha makombora!
Kwa kifupi ziko well equiped.
Karia zina umuhimu mkubwa sana ukipigana na underdog tena utainjoy ila sio kweli yaani upigane na Russia au China hizo Karia zipo hapo korea au Japan au pale Finland zikawa sawa Karia moja inabeba zaidi ya watu mia tisa nliwahi sikia sasa imajine izame moja tu hasara ya kiasi gani mbali ndege zilizopo ndanimwe haya kuhusiana na kua kwenye motion sasa hivi dunia imebadilika mzee kuna silaha zinakimbiza kitu kikiwa kwenye motion kama raia anavyo kimbiza mwizi alokwapua simu yake Karia kwa mataifa makubwa hasara mzee lazima marekani atumie nyuklia kwanza atapigwa kwake na Karia zitazamaKwa maoni yangu Bado aircraft carriers Zina nafasi.
1. Military doctrine ya US more offensive, wakati Russia ni more defensive. Meaning, ili ushambulie unahitaji strikers mbele.
2. Kupunguza muda wa kufika battlefield! Kumbuka US yuko mbali na Europe na Asia so ili afike haraka anazihitaji hizo carriers
3. Sio rahisi sana kuzizamisha carriers ukiondoa missile defence ambazo zipo kwenye strike group, hizo carriers muda wote zipo in motion, Sio rahisi kuzi-target!
4. Anaweza kuzitumia mwisho wa vita wakati adui ameshapoteza uwezo wa makombora ya masafa marefu!
Je na wale raia wa Marekani wenye mawazo kama yetu wanaopinga uchokozozi wa nchi Yao dhidi ya nchi nyingine nao waondolewe Marekani?Hapo ukiambiwa uchague pa kwenda kuishi kati ya Urusi na Marekani utakimbilia Marekani.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Sasa hivi nadhani kila mtu atakuwa amepata majibu kwanini Russia [emoji635] hawakuipa kipaumbele haya machuma chuma,hata kule Mashariki ya kati Russia akiamua yazqmishwe ni mapema tu kabla jogoo hajawika yanakuwa makazi ya samaki[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]