Mzee Saliboko
JF-Expert Member
- Jan 29, 2018
- 1,311
- 1,018
Baada ya kupata kazi serikalini unaondokaje kwenye ajira yako ya mkataba uliobakiza miezi 2 uishe?
Na manufaa utakayo yapata ni yapi?
Na manufaa utakayo yapata ni yapi?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unaondoka kama ulivyoingia hapo.Baada ya kupata kazi serikalini unaondokaje kwenye ajira yako ya mkataba uliobakiza miezi 2 uishe?
Na manufaa utakayo yapata ni yapi??
DUhUnaondoka kama ulivyoingia hapo.
Wabongo wavivu kusoma. Huyu ana mkataba na hajui unasemaje jinsi ya kuuvunjaBaada ya kupata kazi serikalini unaondokaje kwenye ajira yako ya mkataba uliobakiza miezi 2 uishe?
Na manufaa utakayo yapata ni yapi??
Mkataba ni wa mwaka unaisha decemba.Mkataba wako unasemaje??
Nakushauri ufunguke zaidi ya hapo, mficha uchi hazai.
Sio uvivu naongeza maarifaWabongo wavivu kusoma. Huyu ana mkataba na hajui unasemaje jinsi ya kuuvunja
1. Toa Notisi ya siku 30 kama tarehe ya kuripoti Serikalini iko na siku zaidi ya 30Baada ya kupata kazi serikalini unaondokaje kwenye ajira yako ya mkataba uliobakiza miezi 2 uishe?
Na manufaa utakayo yapata ni yapi??
Maarifa yapi zaidi ya kuzingatia terms za mkataba?Sio uvivu naongeza maarifa
Anasubiria ajira mpya wakuite,Mkataba ni wa mwaka unaisha decemba.
Leo ndo nimeona jina utumishi
AfyaOmba ruhusa ya siku mbili karipoti then kule omba ruhusa ya maandalizi kwa mkuu....vuta huu mwezi wa 11 ...mwezi December ni likizo... imeisha hiyo.
Au siyo ualimu? 🤭
Hongera.Baada ya kupata kazi serikalini unaondokaje kwenye ajira yako ya mkataba uliobakiza miezi 2 uishe?
Na manufaa utakayo yapata ni yapi?
Hapo cheza kama Pele. Omba ruhusa ya wiki moja unaenda kuchukua barua.. unasingizia chochote... den unaenda report halfu ukifika huko unachukua likizo ya kujiandaa wiki mbili tayri mwezi unakatika.. sehemu zingine unarudishwa nyumbani hadi zoezi la uhakiki wa vyeti utamatike ndo mnaitwa kuanza kufanya kazi au mwingie kwenye payrolll.. na inaweza chukua ht miezi miwiliBaada ya kupata kazi serikalini unaondokaje kwenye ajira yako ya mkataba uliobakiza miezi 2 uishe?
Na manufaa utakayo yapata ni yapi?
Unachotakiwa kufanya ni kumuandikia barua mwajiri wako na kumuambia kuwa unaacha kazi kwa kufanya kazi bure kwa mwezi mmoja au kumlipa mwajiri wako mshahara wako mwezi mmoja.Baada ya kupata kazi serikalini unaondokaje kwenye ajira yako ya mkataba uliobakiza miezi 2 uishe?
Na manufaa utakayo yapata ni yapi?