Baada ya kupata taste ya kumiliki gari, mwezi January naachana na babywoka nanunua Subaru Forester

Baada ya kupata taste ya kumiliki gari, mwezi January naachana na babywoka nanunua Subaru Forester

Kwanza nilikua nishapanga kuwa gari yangu ya pili kumiliki lazima itakua Toyota Premio New model. Naipenda sana hii gari, it is my dream car.

Hii gari ni nzuri sana ila ukipata yenye 1nz.

Hayo matoleo yaliyobaki yenye engine za ZR ni kisanga.

Kwenye hizo engine za ZR (2ZR FE na 3ZR FAE) matatizo ambayo engine za series ya NZ, AZ, ZZ n.k. huwa zinahimili, kwenye hizi engine mpya kama ZR gari inakuzimia.

Matatizo kama "System is too lean" kwenye engine kama 1nz unaweza usisense kama kuna shida na gari inaendesheka vizuri kabisa japo engine inakuwa inazalisha joto jingi, in a long run inaweza damage engine.

The same problem kwenye engine kama 3ZR FAE gari inakuwa inazimazima, unawasha unaenda kidogo inazima. The worst ni kwamba hilo ni moja ya matatizo ambayo hayapo direct. Hivyo gari unaweza ukasumbuka nayo sana.
 
Hii gari ni nzuri sana ila ukipata yenye 1nz.

Hayo matoleo yaliyobaki yenye engine za ZR ni kisanga.

Kwenye hizo engine za ZR (2ZR FE na 3ZR FAE) matatizo ambayo engine za series ya NZ, AZ, ZZ n.k. huwa zinahimili, kwenye hizi engine mpya kama ZR gari inakuzimia.

Matatizo kama "System is too lean" kwenye engine kama 1nz unaweza usisense kama kuna shida na gari inaendesheka vizuri kabisa japo engine inakuwa inazalisha joto jingi, in a long run inaweza damage engine.

The same problem kwenye engine kama 3ZR FAE gari inakuwa inazimazima, unawasha unaenda kidogo inazima. The worst ni kwamba hilo ni moja ya matatizo ambayo hayapo direct. Hivyo gari unaweza ukasumbuka nayo sana.
Mkuu vipi kuhusu engine za voxy new model za sasa hususani 2012 -2018?
 
Nimejifanyia self-assessment katika kipindi cha miezi mitano nimeona kinatosha kunipa picha ya utamu na uchungu wa kumiliki gari.

Wakati naagiza gari uchumi wangu haukua stable kivile, plus little (almost none) experience ya kumiliki gari ikapelekea nikaagiza babywoka.

Miezi minne kutoka sasa kama mipango yangu ya kiuchumi ikienda sawia basi nina mpango wa kuachana na babywoka yangu na kuagiza Subaru Forester.

Kwanza nilikua nishapanga kuwa gari yangu ya pili kumiliki lazima itakua Toyota Premio New model. Naipenda sana hii gari, it is my dream car.

View attachment 1587042

Juzi wakati napiga story na rafiki yangu mpambanaji mwenzangu kuhusu utafutaji wa pesa. Sasa nikachomekea story za magari, nikamuuliza what's is your dream car? Akasema Subaru Forester!

Mie nikamwambia naizimia sana Premio New Model. Jamaa akasema mbona napenda magari ya kike hayo. Akasema 'Saloon' cars zote (Premio, Allion, Cresta nk) ni gari za kike.

Wanaume wapambanaji watafutaji wanamiliki SUV (xtrail, forester, Prado nk). Daaah baada ya mabishano meengi mchizi akanishawishi kuwa kama kweli nina ndoto za mbali, basi niachane na habari za Saloon Cars. Hizo tuwaachie Ulaya na Japan huko wenye barabara kama mkeka.

Inshaallah, napambana kweli kweli kufikia January mwishon au February 2021 niuze hiki kibebiwoka changu nivute mnyama Forester (nikipata ya 2010 mpaka 2015 hivi sio mbaya)

View attachment 1587071

ADDITIVE POINT:
Hapo haitakua mwisho wa kupambana. Roho yangu itasuuzika sana siku nikinunua Volkswagen Touareg.

Yaani nataka nipambane mpaka yule Ex-girlfriend wangu aliyeniacha kwenye mataa eti kisa nachelewa kumaliza chuo, akaolewa na yule mshikaji anafanya kazi wizara ya mipango Dodoma siku akiniona aseme "Yereuwiiiii"

Hata Subaru Ni baby walker iliyochangamka!
 
Back
Top Bottom