Baada ya kupata taste ya kumiliki gari, mwezi January naachana na babywoka nanunua Subaru Forester

Kwanza nilikua nishapanga kuwa gari yangu ya pili kumiliki lazima itakua Toyota Premio New model. Naipenda sana hii gari, it is my dream car.

Hii gari ni nzuri sana ila ukipata yenye 1nz.

Hayo matoleo yaliyobaki yenye engine za ZR ni kisanga.

Kwenye hizo engine za ZR (2ZR FE na 3ZR FAE) matatizo ambayo engine za series ya NZ, AZ, ZZ n.k. huwa zinahimili, kwenye hizi engine mpya kama ZR gari inakuzimia.

Matatizo kama "System is too lean" kwenye engine kama 1nz unaweza usisense kama kuna shida na gari inaendesheka vizuri kabisa japo engine inakuwa inazalisha joto jingi, in a long run inaweza damage engine.

The same problem kwenye engine kama 3ZR FAE gari inakuwa inazimazima, unawasha unaenda kidogo inazima. The worst ni kwamba hilo ni moja ya matatizo ambayo hayapo direct. Hivyo gari unaweza ukasumbuka nayo sana.
 
Mkuu vipi kuhusu engine za voxy new model za sasa hususani 2012 -2018?
 

Hata Subaru Ni baby walker iliyochangamka!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…