ile ya 1-10Rate ipi tena shemeji?
Hahahahhahaaaa hongera ,, inaelekea HIV inatisha mpka ukaiandika kwa heruf kubwa n magonjwa mengind kwa small letterMwezi 1 uliopita kulikuwa na zoezi la kupima Afya kwa hiari kwa uzamini shirika la NSSF, nilijikuta naenda kupima tezi ndume, pressure, sukari na HIV ilikuwa ni mara ya kwanza. Kipimo cha papo kwa papo niko salam kabisa.
Asante ni hatari sana kusubiria Majibu ni mara yangu ya kwanza kupima.Hahahahhahaaaa hongera ,, inaelekea HIV inatisha mpka ukaiandika kwa heruf kubwa n magonjwa mengind kwa small letter