Africa Tanzania
JF-Expert Member
- Jun 13, 2015
- 1,504
- 2,272
- Thread starter
-
- #21
Hongera Mkuu, Ukikwama usisite kutujuza.
HAPO ULIVYOSEMA IPO BADO KWENYE PROCESS NIMEELEWA...CASE SOLVEDMkuu, sijui nianze kukuelewesha wapi, ila anyway.....Ukisoma kitu nakushauri turn your mind into positive way ili usitoke kwenye concept ya mada husika!
Nimesema itafanana na befoward.jp (which means iko kwenye process)
Karibu kwa swali la nyongeza[emoji23][emoji23][emoji23]
Safi na mimi ntakua mteja wako kama kutakua hakuna ubabaishaji
Masofa yawepo jaman pure leatherš..na music system nzuri...na mazaga zaga tupendayoKaribu sana mkuu! Soon mambo yatakuwa kwa hewani[emoji1320][emoji1320]
Masofa yawepo jaman pure leatherš..na music system nzuri...na mazaga zaga tupendayoKaribu sana mkuu! Soon mambo yatakuwa kwa hewani[emoji1320][emoji1320]
asante kwa kitabu,,, i hope it will add value to my plan on starting an online storeNiche gani ambayo umeichagua au utauza kila aina ya bidhaa?
Soma hiki kitabu kina muongozo mzuri sana kwa tech startup ndogo ndogo zinazohitaji mitaji midogo.