Baada ya kupitia nyuzi mbalimbali za biashara nimeangukia kwenye hili!

Baada ya kupitia nyuzi mbalimbali za biashara nimeangukia kwenye hili!

Africa Tanzania

JF-Expert Member
Joined
Jun 13, 2015
Posts
1,504
Reaction score
2,272
Habari zenu wakuu!

Kwenye suala zima la biashara nimeamua kuingia miguu miwili au "kuzama mzima mzima" kwenye biashara ya mtandao!

Ninafungua online store kwa ajili ya kuuza vitu mbalimbali kwa uweledi mkubwa wa kiwango cha juu kabisa, soon nitatambulisha kwenu hiyo store yangu ili muweze kuniunga mkono na kutanuka kimasoko zaidi.

Kwenye store hiyo,, nitauza vitu vya ndani ya nchi, viwe used au new, pia kumsaidia mteja kununua kutoka nje ya nchi na kumkabidhi mkononi...

Tutakuwa na partner tofauti tofauti ili kuifanya biashara hii isimame zaidi

Store yangu itakuwa kama ile ya befoward.jp haitatofautiana sana,

HQ ya store hii itakuwa Mjini Morogoro(tutafahamishana vizuri location n.k)

Huduma zitakuwa nzuri za uhakika na kuaminika.

Kwa mwenye ushauri, maoni au mwenye lolote anaweza kuniambia hapa au PM.

Tuungane mkono, sisi ni familia moja.

Ahsanteni na karibuni.
 
Habari zenu wakuu!

Kwenye suala zima la biashara nimeamua kuingia miguu miwili au "kuzama mzima mzima" kwenye biashara ya mtandao!

Ninafungua online store kwa ajili ya kuuza vitu mbalimbali kwa uweledi mkubwa wa kiwango cha juu kabisa, soon nitatambulisha kwenu hiyo store yangu ili muweze kuniunga mkono na kutanuka kimasoko zaidi.

Kwenye store hiyo,, nitauza vitu vya ndani ya nchi, viwe used au new, pia kumsaidia mteja kununua kutoka nje ya nchi na kumkabidhi mkononi...

Tutakuwa na partner tofauti tofauti ili kuifanya biashara hii isimame zaidi

Store yangu itakuwa kama ile ya befoward.jp haitatofautiana sana,

HQ ya store hii itakuwa Mjini Morogoro(tutafahamishana vizuri location n.k)

Huduma zitakuwa nzuri za uhakika na kuaminika.

Kwa mwenye ushauri, maoni au mwenye lolote anaweza kuniambia hapa au PM.

Tuungane mkono, sisi ni familia moja.

Ahsanteni na karibuni.
Mungu wepesi kila jambo liwe kama ulivyopanga
 
Mkuu, sijui nianze kukuelewesha wapi, ila anyway.....Ukisoma kitu nakushauri turn your mind into positive way ili usitoke kwenye concept ya mada husika!

Nimesema itafanana na befoward.jp (which means iko kwenye process)

Karibu kwa swali la nyongeza[emoji23][emoji23][emoji23]
NDIO NIMESOMA SASA SI UTUONESHE TU AU HIYO WEBSITE... AU NI STORE VISIBLE INAYOONEKANA? MAANA ULIVYOSEMA ITAFANANA KAMA BEFORWARD.JP NIKAJUA LABDA NI WEBSITE ? AU
 
Back
Top Bottom