Baada ya kusex usiku kucha alinipa tsh 2000 tu😭💔

Baada ya kusex usiku kucha alinipa tsh 2000 tu😭💔

Magical power

JF-Expert Member
Joined
Sep 27, 2022
Posts
2,158
Reaction score
5,626
Habari Yako kaka magical power
1732420227090.jpg
Naomba ushauri kidogo kama unaweza kunishauri naitwa lea nina miaka 44 nimtu mzima😭💔, nilikutana na mkaka mtandaoni ambaye yy ana miaka 49.

Tukawasiliana hatimae tukaonana ijumaa iliyopita kweli akanieleza mahusiano yake yaliopita na jinsi alivyomsaidia yule dada mpaka walivyoachana

Kweli tukasex usiku kucha baada ya hapo alinipa sh 2000 elf 2 tu🙊nikapokea vizur tu

Baada ya kupita siku kadhaa nikamuomba anisaidie pesa ninnue vyakula vya ndani ananiambia sawa jumnne nitakuja nikuletee sababu aliniambia yeye ni mfanyabiashara.

Basi jumanne akanichatisha tukachat akaniambia tutaonana saa kumi ilipofika saa kumi na mimi nikamuacha tu saa kumi na mbili akanichatisha akauliza uko wp nikamjibu nipo nyumbani akasema nimechelewa kurudi ndio natoka bagamoyo nikamjibu sawa.

Kesho yake akanichatisha hakuongelea juu ya pesa niliyoomba jana akanichatisha kunisalimia nikamjibu kwetu huku njaa ukizingatia tumesimama hatufanyi kazi kkoo akasema sawa ntakutumia elf tano nikasema mungu akubaliki ilipofika jioni kanichtisha akasema mvua inanyesha sana so hakutuma hiyo elf tano.

Leo kanisalimia anasema kitovu kinamuuma je haya mahusiano ni sahihi kwangu?

Naomba msaada wako kujua😭
 
Hao wa pay-after-sex ndio wazuri, nikimpa baada ya hapo tusitafutane hadi kibubu kijae.

Ukiona mdada anakataa hela baada ya tendo huyo anajua anachotaka, can ask for money anytime coz anajua mpo na mahusiano, huyu anayetaka soon after ukimpa ni hadi muonane tena..

Mwamba anakwama wapi.
 
Tafuta pesa zako acha usumbufu....hata hiyo elfu 2 ningekuwa Mimi nisingempa, coz hana tofauti na malaya tu ambaye baada ya ngono anataka ujira...so to answer the question..."mahusiano hayapimwi kwa kunyimwa pesa"
Mkuu usimfanyie ivyo mtoto WA mwanamke mwenzio😂😂😂
 
Habari Yako kaka magical power View attachment 3159935Naomba ushauri kidogo kama unaweza kunishauri naitwa lea nina miaka 44 nimtu mzima😭💔, nilikutana na mkaka mtandaoni ambaye yy ana miaka 49.

Tukawasiliana hatimae tukaonana ijumaa iliyopita kweli akanieleza mahusiano yake yaliopita na jinsi alivyomsaidia yule dada mpaka walivyoachana

Kweli tukasex usiku kucha baada ya hapo alinipa sh 2000 elf 2 tu🙊nikapokea vizur tu

Baada ya kupita siku kadhaa nikamuomba anisaidie pesa ninnue vyakula vya ndani ananiambia sawa jumnne nitakuja nikuletee sababu aliniambia yeye ni mfanyabiashara.

Basi jumanne akanichatisha tukachat akaniambia tutaonana saa kumi ilipofika saa kumi na mimi nikamuacha tu saa kumi na mbili akanichatisha akauliza uko wp nikamjibu nipo nyumbani akasema nimechelewa kurudi ndio natoka bagamoyo nikamjibu sawa.

Kesho yake akanichatisha hakuongelea juu ya pesa niliyoomba jana akanichatisha kunisalimia nikamjibu kwetu huku njaa ukizingatia tumesimama hatufanyi kazi kkoo akasema sawa ntakutumia elf tano nikasema mungu akubaliki ilipofika jioni kanichtisha akasema mvua inanyesha sana so hakutuma hiyo elf tano.

Leo kanisalimia anasema kitovu kinamuuma je haya mahusiano ni sahihi kwangu?

Naomba msaada wako kujua😭
Dada naomba namba nikushauri ki-personal!
 
Maisha ni magumu sana huku mtaani sishangai we kupewa 2000 huenda jamaa nae pake pakavu kuliko hata kwako
Na sishangai kuomba 5000 kwa udi na uvumba ground mambo yanazidi kuwa hatari
Ila kusema mkasex usiku kucha huku mkiwa ni wazee wa taifa hili sio kweli
Mlipiga 2 vyenu mkaanza kuilaumu serikali
 
Back
Top Bottom