Kama nilivyosema kwenye huo uzi wangu na kupewa ushauri mbali mbali, niliufanyia kazi, siku 30 bila chakula cha wanga nashindia matunda na maji tu usiku kipande cha gimbi na mboga mboga nimeweza kupunguza uzito kwa 8kg tu.
Lengo ni kupungua mpaka 85kg, bado kg 11 niendelee au ntaugua vidonda vya tumbo?
www.jamiiforums.com
Lengo ni kupungua mpaka 85kg, bado kg 11 niendelee au ntaugua vidonda vya tumbo?
Kila ninapoweka juhudi za kupungua uzito, ndio naongezeka!
Kwa siku 45 nilikua silii mchana, nakula tu asubuhi chai ya ragi na skonzi moja na yai moja, mchana napiga ndefu, usiku ndio nakula wanga kidogo na chai ndio nalala. Kila siku kabla ya kuoga nafanya pushup 30 na kuruka ruka kidogo kwa lengo la kupunguza kilo, nitoke Kg 94 nirudi Kg 89 za awali...