Baada ya kushindia maji na matunda kwa siku 30 nimeweza kupungua uzito wa kilo 8 tu!

Kushinda njaa sio vizuri, unaweza ukajiletea shida nyingine kama vidonda vya tumbo.
Unachotakiwa ni kuacha kula vyakula vyote vya wanga na sukari. Hata matunda, chagua yake yenye sukari kidogo kama parachichi na matango, punguza matikiti na nanasi.
Kula zaidi vyakula vya protini kama nyama, samaki, maziwa, mayai, nk.
Mboga za majani hazina shida, hizo kula kwa wingi.
Achana na vinjwaji vyote vyenye kilevi na vinywaji baridi kama soda na juice.
Achana na vyakula vilivyopita viwandani, kama nyama za makopo. Kula vitu vya asili kabisa.
 
Mbona wengi wanasema red meat ni hatari sana
 
Ukitaka kupunguza tafuta kitu cha kukupa mawazo tuuu..πŸ€“πŸ€“πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Duu hapo kwenye kitungi sasa!!
 
Hongera sana kwa juhudi hizo na kupungua mkuu!
 
Mbona wengi wanasema red meat ni hatari sana
Nyama isiyo na mafuta haina shida.

Usitumie nguvu kubwa sana kuharakisha kilo zako zitoke kwa haraka, ukitumia nguvu kubwa na kilo zikaondoka kwa haraka utapata changamoto mbeleni.

Kilo zitakata kwa haraka Ila ukirudi kwenye ulaji wako, kilo zitapanda kwa kasi maana najua huo utaratibu huwezi kuendelea nao ukifikisha target.

Kwaivyo maintain,kula kwa kiasi.Gimbi ni wanga kama ugali,viazi,ndizi,mihogo au wali.

Punguza ulaji wa wanga,kula kwa wingi vyakula vya protein kama mzungumzaji hapo alipomzungumza.
 
Gimbi halina wanga kama wali au ugali, ila red meat naigopa sana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…