Baada ya kushindwa kwa hoja na Lissu, CCM yahamia kwenye propaganda mfu wakidhani Tanzania ya leo ni ya mwaka 1990

Baada ya kushindwa kwa hoja na Lissu, CCM yahamia kwenye propaganda mfu wakidhani Tanzania ya leo ni ya mwaka 1990

Lord denning

JF-Expert Member
Joined
Jun 3, 2015
Posts
15,819
Reaction score
33,255
Baada ya kuona Wananchi wengi wanaielewa hoja ya Lissu na Chadema kuwa bila kufanya Marekebisho ya Katiba na Sheria za Uchaguzi hakutakuwa na Uchaguzi Mkuu mwaka huu, CCM wamechanganyikiwa kiasi cha kuanza kutengeneza propaganda mfu wakidhani wataweza kuendelea kuwarubuni Watanzania kukubali udhalimu wao na utapeli wao.

Kuanza kutumia vyombo vya habari kuanza kurusha mahojiano ya kutengeneza ya watu wanaowatengeneza kujifanya wananchi eti wanapinga hoja zilizoenda shule za Chadema ni ushahidi tosha kuwa CCM wana hali mbaya sana na sasa wamehamia kufanya propaganda wakidhani wataendelea kuwarubuni Watanzania.

Siku ya jana wakati Lissu yuko njiani kwenda Singida walikomuandalia mapokezi kabambe, CCM na wajinga wao walitengeneza mahojiano feki ya watu waliowatengeneza eti kuwa Wananchi wa Ikungi ili kutengeneza Propaganda kuwa Wananchi wa Ikungi anakotoka Lissu hawaungi mkono Kaulimbiu ya Chadema kuwa No Reform No Election.

Kilichonifurahisha, baada ya clip hizo kurushwa kwenye vyombo mbalimbali vya habari, nimefurahi kuona reactions za watanzania zikionesha wazi wameshagundua kuwa hiyo ni michezo ya CCM kueneza propaganda mfu na kuwatisha ili wasifanye mabadiliko ya kweli kwa faida la Taifa lao.

Nimependa pia namna Watanzania walivyogundua kuwa hizo ni propaganda za CCM kwa sababu wameonesha wazi kushangazwa na vyombo vyote vya habari kurusha taarifa hiyo moja yenye maudhui yanayofanana wakati habari ya msingi iliyopaswa kurushwa ni safari ya Tundu Lissu kuelekea Singida.


Nawaonea huruma sana CCM. Wanajaribu sana kupingana na wakati ila wasichokifahamu ni kwamba hakuna ambaye amefanikiwa katika kupambana na wakati.

CCM imeshachokwa kweli na Watanzania na uzuri ni kwamba, watanzania wameshagundua kuwa CCM ni chanzo kikuu cha umaskini wao na wao kuwa na maisha duni.

Ushauri wangu wa CCM. Kubalini yaishe. Muda hauko upande wenu.

Ushauri wangu kwa Media zinazokubali kutumika na CCM kuendesha hizi propaganda mfu kuanzia Global Publishers, Jambo TV, Mwananchi Digital, ITV na nyinginezo. Jitokezeni Muhesabiwe.

Wakati ni huu na msije mkasema hamkuambiwa mambo yatakavyowarudia maana naelewa mnasoma comments za wananchi wanavyokataa hizo propaganda mfu mnazotumiwa kizieneza.
 
Baada ya kuona Wananchi wengi wanaielewa hoja ya Lissu na Chadema kuwa bila kufanya Marekebisho ya Katiba na Sheria za Uchaguzi hakutakuwa na Uchaguzi Mkuu mwaka huu, CCM wamechanganyikiwa kiasi cha kuanza kutengeneza propaganda mfu wakidhani wataweza kuendelea kuwarubini Watanzania kukubali udhalimu wao.

Kuanza kutumia vyombo vya habari kuanza kurusha mahojiano ya kutengeneza ya watu wanaowatengeneza kujifanya wananchi eti wanapinga hoja zilizoenda shule za Chadema ni ushahidi tosha kuwa CCM wana hali mbaya sana na sasa wamehamia kufanya propaganda wakidhani wataendelea kuwarubuni Watanzania.

Siku ya jana wakati Lissu yuko njiani kwenda Singida walikomuandalia mapokezi kabambe, CCM na wajinga wao walitengeneza mahojiano feki ya watu waliowatengeneza eti kuwa Wananchi wa Ikungi ili kutengeneza Propaganda kuwa Wananchi wa Ikungi anakotoka Lissu hawaungi mkono Kaulimbiu ya Chadema kuwa No Reform No Election.

Kilichonifurahisha, baada ya clip hizo kurushwa kwenye vyombo mbalimbali vya habari, nimefurahi kuona reactions za watanzania zikionesha wazi wameshagundua kuwa hiyo ni michezo ya CCM kueneza propaganda mfu na kuwatisha ili wasifanye mabadiliko ya kweli kwa faida la Taifa lao.

Nimependa pia namna Watanzania walivyogundua kuwa hizo ni propaganda za CCM kwa sababu wameonesha wazi kushangazwa na vyombo vyote vya habari kurusha taarifa hiyo moja yenye maudhui yanayofanana wakati habari ya msingi iliyopaswa kurushwa ni safari ya Tundu Lissu kuelekea Singida.


Nawaonea huruma sana CCM. Wanajaribu sana kupingana na wakati ila wasichokifahamu ni kwamba hakuna ambaye amefanikiwa katika kupambana na wakati.

CCM imeshachokwa kweli na Watanzania na uzuri ni kwamba, watanzania wameshagundua kuwa CCM ni chanzo kikuu cha umaskini wao na wao kuwa na maisha duni.

Ushauri wangu wa CCM. Kubalini yaishe. Muda hauko upande wenu.
acha upotoshaji gentleman,

kwahiyo kuomba kuchangiwa pesa za kujikimu na kuendeshea chama chake ndio hoja right?

na mbona imepuuzwa sasa na wanachadema wamegoma kuchangia?🐒
 
acha upotoshaji gentleman,

kwahiyo kuomba kuchangiwa pesa za kujikimu na kuendeshea chama chake ndio hoja right?

na mbona imepuuzwa sasa na wanachadema wamegoma kuchangia?[emoji205]
Mkuu, hapa hoja, ni jee, hiyo kauli mbiu ya CHADEMA, imepokelewaje? Hiyo ndiyo hoja ya mleta thread hii. Hiyo michango inaingiaje hapa?

Sent from my Infinix X612 using JamiiForums mobile app
 
acha upotoshaji gentleman,

kwahiyo kuomba kuchangiwa pesa za kujikimu na kuendeshea chama chake ndio hoja right?

na mbona imepuuzwa sasa na wanachadema wamegoma kuchangia?🐒
Wewe unajulikana ni robot la lumumba uliyepo humu kwa kazi maalum.

Uzuri tunakujua hivyo hautusumbui. Michango ya Chadema inaenda vizuri na tunatuma hela na tutazidi kuwatumia hela
 
Baada ya kuona Wananchi wengi wanaielewa hoja ya Lissu na Chadema kuwa bila kufanya Marekebisho ya Katiba na Sheria za Uchaguzi hakutakuwa na Uchaguzi Mkuu mwaka huu, CCM wamechanganyikiwa kiasi cha kuanza kutengeneza propaganda mfu wakidhani wataweza kuendelea kuwarubini Watanzania kukubali udhalimu wao.

Kuanza kutumia vyombo vya habari kuanza kurusha mahojiano ya kutengeneza ya watu wanaowatengeneza kujifanya wananchi eti wanapinga hoja zilizoenda shule za Chadema ni ushahidi tosha kuwa CCM wana hali mbaya sana na sasa wamehamia kufanya propaganda wakidhani wataendelea kuwarubuni Watanzania.

Siku ya jana wakati Lissu yuko njiani kwenda Singida walikomuandalia mapokezi kabambe, CCM na wajinga wao walitengeneza mahojiano feki ya watu waliowatengeneza eti kuwa Wananchi wa Ikungi ili kutengeneza Propaganda kuwa Wananchi wa Ikungi anakotoka Lissu hawaungi mkono Kaulimbiu ya Chadema kuwa No Reform No Election.

Kilichonifurahisha, baada ya clip hizo kurushwa kwenye vyombo mbalimbali vya habari, nimefurahi kuona reactions za watanzania zikionesha wazi wameshagundua kuwa hiyo ni michezo ya CCM kueneza propaganda mfu na kuwatisha ili wasifanye mabadiliko ya kweli kwa faida la Taifa lao.

Nimependa pia namna Watanzania walivyogundua kuwa hizo ni propaganda za CCM kwa sababu wameonesha wazi kushangazwa na vyombo vyote vya habari kurusha taarifa hiyo moja yenye maudhui yanayofanana wakati habari ya msingi iliyopaswa kurushwa ni safari ya Tundu Lissu kuelekea Singida.


Nawaonea huruma sana CCM. Wanajaribu sana kupingana na wakati ila wasichokifahamu ni kwamba hakuna ambaye amefanikiwa katika kupambana na wakati.

CCM imeshachokwa kweli na Watanzania na uzuri ni kwamba, watanzania wameshagundua kuwa CCM ni chanzo kikuu cha umaskini wao na wao kuwa na maisha duni.

Ushauri wangu wa CCM. Kubalini yaishe. Muda hauko upande wenu.

Ushauri wangu kwa Media zinazokubali kutumika na CCM kuendesha hizi propaganda mfu kuanzia Global Publishers, Jambo TV, Mwananchi Digital, ITV na nyinginezo. Jitokezeni Muhesabiwe.

Wakati ni huu na msije mkasema hamkuambiwa mambo yatakavyowarudia maana naelewa mnasoma comments za wananchi wanavyokataa hizo propaganda mfu mnazotumiwa kizieneza.
Mbowe mungu akamwongezee maisha marefu ,amekiacha chama mikono salama sana , maccm yako ICU
 
Baada ya kuona Wananchi wengi wanaielewa hoja ya Lissu na Chadema kuwa bila kufanya Marekebisho ya Katiba na Sheria za Uchaguzi hakutakuwa na Uchaguzi Mkuu mwaka huu, CCM wamechanganyikiwa kiasi cha kuanza kutengeneza propaganda mfu wakidhani wataweza kuendelea kuwarubini Watanzania kukubali udhalimu wao.

Kuanza kutumia vyombo vya habari kuanza kurusha mahojiano ya kutengeneza ya watu wanaowatengeneza kujifanya wananchi eti wanapinga hoja zilizoenda shule za Chadema ni ushahidi tosha kuwa CCM wana hali mbaya sana na sasa wamehamia kufanya propaganda wakidhani wataendelea kuwarubuni Watanzania.

Siku ya jana wakati Lissu yuko njiani kwenda Singida walikomuandalia mapokezi kabambe, CCM na wajinga wao walitengeneza mahojiano feki ya watu waliowatengeneza eti kuwa Wananchi wa Ikungi ili kutengeneza Propaganda kuwa Wananchi wa Ikungi anakotoka Lissu hawaungi mkono Kaulimbiu ya Chadema kuwa No Reform No Election.

Kilichonifurahisha, baada ya clip hizo kurushwa kwenye vyombo mbalimbali vya habari, nimefurahi kuona reactions za watanzania zikionesha wazi wameshagundua kuwa hiyo ni michezo ya CCM kueneza propaganda mfu na kuwatisha ili wasifanye mabadiliko ya kweli kwa faida la Taifa lao.

Nimependa pia namna Watanzania walivyogundua kuwa hizo ni propaganda za CCM kwa sababu wameonesha wazi kushangazwa na vyombo vyote vya habari kurusha taarifa hiyo moja yenye maudhui yanayofanana wakati habari ya msingi iliyopaswa kurushwa ni safari ya Tundu Lissu kuelekea Singida.


Nawaonea huruma sana CCM. Wanajaribu sana kupingana na wakati ila wasichokifahamu ni kwamba hakuna ambaye amefanikiwa katika kupambana na wakati.

CCM imeshachokwa kweli na Watanzania na uzuri ni kwamba, watanzania wameshagundua kuwa CCM ni chanzo kikuu cha umaskini wao na wao kuwa na maisha duni.

Ushauri wangu wa CCM. Kubalini yaishe. Muda hauko upande wenu.

Ushauri wangu kwa Media zinazokubali kutumika na CCM kuendesha hizi propaganda mfu kuanzia Global Publishers, Jambo TV, Mwananchi Digital, ITV na nyinginezo. Jitokezeni Muhesabiwe.

Wakati ni huu na msije mkasema hamkuambiwa mambo yatakavyowarudia maana naelewa mnasoma comments za wananchi wanavyokataa hizo propaganda mfu mnazotumiwa kizieneza.
Akili zako kama za kichaa mwenzenu mwenye faili milembe
 
Hoja ya Chadema ni ya wazi na inayolenga kudumisha amani katika nchi hii. Uchaguzi ukiwa huru na haki bila mizengwe wala hila mtu yeyote akishindwa anakubali kuwa sauti ya wengi ni sauti ya Mungu hivyo hakutakuwa na malalamiko baada ya uchaguzi wote tunakuwa wamoja na amani inatawala. Uchaguzi chini ya sheria zilizopo na nia ovu ya watawala kwa kuiba kura na kuchakachua matoke ndiyo chanzo cha vurugu baada ya chaguzi nyingi katika bara letu.Jee kati ya Chadema wanaotaka marekebisho ya sheria za uchaguzi ili tuwe na uchaguzi huru na wa haki na CCM wanaolazimaisha uchaguzi chini ya sheria mbovu zinazobariki wizi na uchakachuaji wa matokeo na kukaribisha vurugu baada ya uchaguzi ni nani anakaribisha vurugu na uvunjifu wa amani? Na kwa nini CCM hawataki uchaguzi huru na wa haki ambao utaleta viongozi wanaotakiwa na wapiga kura?
 
acha upotoshaji gentleman,

kwahiyo kuomba kuchangiwa pesa za kujikimu na kuendeshea chama chake ndio hoja right?

na mbona imepuuzwa sasa na wanachadema wamegoma kuchangia?🐒
Wapi wamegoma? Acha unafiki. Unataka ujue wachangiaji ili uwafanyeje?
 
Hivi ni kwa nini au kuna sababu gani ya CCM hawataki uchaguzi huru, wa haki na wa wazi?
Kwa sababu wanajua ikitokea umefanyika uchaguzi huru na haki nchi hii basi ndo mwisho wa udhalimu wao na kunufaika kwao kwa kodi za wananchi.
 
Baada ya kuona Wananchi wengi wanaielewa hoja ya Lissu na Chadema kuwa bila kufanya Marekebisho ya Katiba na Sheria za Uchaguzi hakutakuwa na Uchaguzi Mkuu mwaka huu, CCM wamechanganyikiwa kiasi cha kuanza kutengeneza propaganda mfu wakidhani wataweza kuendelea kuwarubini Watanzania kukubali udhalimu wao.

Kuanza kutumia vyombo vya habari kuanza kurusha mahojiano ya kutengeneza ya watu wanaowatengeneza kujifanya wananchi eti wanapinga hoja zilizoenda shule za Chadema ni ushahidi tosha kuwa CCM wana hali mbaya sana na sasa wamehamia kufanya propaganda wakidhani wataendelea kuwarubuni Watanzania.

Siku ya jana wakati Lissu yuko njiani kwenda Singida walikomuandalia mapokezi kabambe, CCM na wajinga wao walitengeneza mahojiano feki ya watu waliowatengeneza eti kuwa Wananchi wa Ikungi ili kutengeneza Propaganda kuwa Wananchi wa Ikungi anakotoka Lissu hawaungi mkono Kaulimbiu ya Chadema kuwa No Reform No Election.

Kilichonifurahisha, baada ya clip hizo kurushwa kwenye vyombo mbalimbali vya habari, nimefurahi kuona reactions za watanzania zikionesha wazi wameshagundua kuwa hiyo ni michezo ya CCM kueneza propaganda mfu na kuwatisha ili wasifanye mabadiliko ya kweli kwa faida la Taifa lao.

Nimependa pia namna Watanzania walivyogundua kuwa hizo ni propaganda za CCM kwa sababu wameonesha wazi kushangazwa na vyombo vyote vya habari kurusha taarifa hiyo moja yenye maudhui yanayofanana wakati habari ya msingi iliyopaswa kurushwa ni safari ya Tundu Lissu kuelekea Singida.


Nawaonea huruma sana CCM. Wanajaribu sana kupingana na wakati ila wasichokifahamu ni kwamba hakuna ambaye amefanikiwa katika kupambana na wakati.

CCM imeshachokwa kweli na Watanzania na uzuri ni kwamba, watanzania wameshagundua kuwa CCM ni chanzo kikuu cha umaskini wao na wao kuwa na maisha duni.

Ushauri wangu wa CCM. Kubalini yaishe. Muda hauko upande wenu.

Ushauri wangu kwa Media zinazokubali kutumika na CCM kuendesha hizi propaganda mfu kuanzia Global Publishers, Jambo TV, Mwananchi Digital, ITV na nyinginezo. Jitokezeni Muhesabiwe.

Wakati ni huu na msije mkasema hamkuambiwa mambo yatakavyowarudia maana naelewa mnasoma comments za wananchi wanavyokataa hizo propaganda mfu mnazotumiwa kizieneza.
CHADEMA wajikite kwenye kutoa elimu kwa umma,mwenyekiti na makamu wake wameanza vizuri.Hotuba zao zote nilivyosikiliza zinaleta matumaini. Elimu ilenge makundi maalum,hasa vyombo vyo dola,waalimu na viongozi wa dini.
Hawa ni mtaji mkubwa wa chama tawala,lakini wakishawaweka madarakani wanarudi mtaani tunalia pamoja.

Kama kuna mtu anabisha,anijuze ni mtoto wa mwalimu yupi ,polisi au mwanajeshi wa kawaida ambaye
mwanae ameajiliwa kwenye taasisi zenye mishahara mizuri mfano B.O.T?
TRA,bandari kipindi kile kabla ya DP world n.k

Wakishaeleweshwa,mambo yatakuwa mepesi sana maana watalinda maslahi ya nchi badala ya kulinda familia fulani na mafanikio yao.
 
Baada ya kuona Wananchi wengi wanaielewa hoja ya Lissu na Chadema kuwa bila kufanya Marekebisho ya Katiba na Sheria za Uchaguzi hakutakuwa na Uchaguzi Mkuu mwaka huu, CCM wamechanganyikiwa kiasi cha kuanza kutengeneza propaganda mfu wakidhani wataweza kuendelea kuwarubini Watanzania kukubali udhalimu wao.

Kuanza kutumia vyombo vya habari kuanza kurusha mahojiano ya kutengeneza ya watu wanaowatengeneza kujifanya wananchi eti wanapinga hoja zilizoenda shule za Chadema ni ushahidi tosha kuwa CCM wana hali mbaya sana na sasa wamehamia kufanya propaganda wakidhani wataendelea kuwarubuni Watanzania.

Siku ya jana wakati Lissu yuko njiani kwenda Singida walikomuandalia mapokezi kabambe, CCM na wajinga wao walitengeneza mahojiano feki ya watu waliowatengeneza eti kuwa Wananchi wa Ikungi ili kutengeneza Propaganda kuwa Wananchi wa Ikungi anakotoka Lissu hawaungi mkono Kaulimbiu ya Chadema kuwa No Reform No Election.

Kilichonifurahisha, baada ya clip hizo kurushwa kwenye vyombo mbalimbali vya habari, nimefurahi kuona reactions za watanzania zikionesha wazi wameshagundua kuwa hiyo ni michezo ya CCM kueneza propaganda mfu na kuwatisha ili wasifanye mabadiliko ya kweli kwa faida la Taifa lao.

Nimependa pia namna Watanzania walivyogundua kuwa hizo ni propaganda za CCM kwa sababu wameonesha wazi kushangazwa na vyombo vyote vya habari kurusha taarifa hiyo moja yenye maudhui yanayofanana wakati habari ya msingi iliyopaswa kurushwa ni safari ya Tundu Lissu kuelekea Singida.


Nawaonea huruma sana CCM. Wanajaribu sana kupingana na wakati ila wasichokifahamu ni kwamba hakuna ambaye amefanikiwa katika kupambana na wakati.

CCM imeshachokwa kweli na Watanzania na uzuri ni kwamba, watanzania wameshagundua kuwa CCM ni chanzo kikuu cha umaskini wao na wao kuwa na maisha duni.

Ushauri wangu wa CCM. Kubalini yaishe. Muda hauko upande wenu.

Ushauri wangu kwa Media zinazokubali kutumika na CCM kuendesha hizi propaganda mfu kuanzia Global Publishers, Jambo TV, Mwananchi Digital, ITV na nyinginezo. Jitokezeni Muhesabiwe.

Wakati ni huu na msije mkasema hamkuambiwa mambo yatakavyowarudia maana naelewa mnasoma comments za wananchi wanavyokataa hizo propaganda mfu mnazotumiwa kizieneza.
Uzuri Tundu Lissu haathiriki na vyombo vya habari.

Kuna kipindi Lissu aliishi zaidi ya miaka 5 bila kutangazwa na chombo chochote cha Hapa nchini.

Je iliathiri chochote?
 
Uzuri Tundu Lissu haathiriki na vyombo vya habari.

Kuna kipindi Lissu aliishi zaidi ya miaka 5 bila kutangazwa na chombo chochote cha Hapa nchini.

Je iliathiri chochote?
Kweli kabisa. Lissu ni muujiza wa Mungu unaoishi kwetu Watanzania
 
wapi wamesema wanahitaji kiasi gani na tayari wamepata ngapi?

au mpaka washibe kwanza gentleman🐒
Ukiwa nje ya nyumba huwezi jua kinachoendelea ndani. Ni sahihi ulieko nje na usiyehusika kutojua.
 
Baada ya kuona Wananchi wengi wanaielewa hoja ya Lissu na Chadema kuwa bila kufanya Marekebisho ya Katiba na Sheria za Uchaguzi hakutakuwa na Uchaguzi Mkuu mwaka huu, CCM wamechanganyikiwa kiasi cha kuanza kutengeneza propaganda mfu wakidhani wataweza kuendelea kuwarubuni Watanzania kukubali udhalimu wao na utapeli wao.

Kuanza kutumia vyombo vya habari kuanza kurusha mahojiano ya kutengeneza ya watu wanaowatengeneza kujifanya wananchi eti wanapinga hoja zilizoenda shule za Chadema ni ushahidi tosha kuwa CCM wana hali mbaya sana na sasa wamehamia kufanya propaganda wakidhani wataendelea kuwarubuni Watanzania.

Siku ya jana wakati Lissu yuko njiani kwenda Singida walikomuandalia mapokezi kabambe, CCM na wajinga wao walitengeneza mahojiano feki ya watu waliowatengeneza eti kuwa Wananchi wa Ikungi ili kutengeneza Propaganda kuwa Wananchi wa Ikungi anakotoka Lissu hawaungi mkono Kaulimbiu ya Chadema kuwa No Reform No Election.

Kilichonifurahisha, baada ya clip hizo kurushwa kwenye vyombo mbalimbali vya habari, nimefurahi kuona reactions za watanzania zikionesha wazi wameshagundua kuwa hiyo ni michezo ya CCM kueneza propaganda mfu na kuwatisha ili wasifanye mabadiliko ya kweli kwa faida la Taifa lao.

Nimependa pia namna Watanzania walivyogundua kuwa hizo ni propaganda za CCM kwa sababu wameonesha wazi kushangazwa na vyombo vyote vya habari kurusha taarifa hiyo moja yenye maudhui yanayofanana wakati habari ya msingi iliyopaswa kurushwa ni safari ya Tundu Lissu kuelekea Singida.


Nawaonea huruma sana CCM. Wanajaribu sana kupingana na wakati ila wasichokifahamu ni kwamba hakuna ambaye amefanikiwa katika kupambana na wakati.

CCM imeshachokwa kweli na Watanzania na uzuri ni kwamba, watanzania wameshagundua kuwa CCM ni chanzo kikuu cha umaskini wao na wao kuwa na maisha duni.

Ushauri wangu wa CCM. Kubalini yaishe. Muda hauko upande wenu.

Ushauri wangu kwa Media zinazokubali kutumika na CCM kuendesha hizi propaganda mfu kuanzia Global Publishers, Jambo TV, Mwananchi Digital, ITV na nyinginezo. Jitokezeni Muhesabiwe.

Wakati ni huu na msije mkasema hamkuambiwa mambo yatakavyowarudia maana naelewa mnasoma comments za wananchi wanavyokataa hizo propaganda mfu mnazotumiwa kizieneza.
Sasa hivi ccm wanaanzisha magroup mbalimbali ya whatsapp, na lengo la magroup hayo ni kumpigia Samia debe. Hela wanazopora huko ndio wanataka waje wafanye kampeni kama ile ya kipindi cha Kikwete kuuzwa na vyombo vya habari.
 
Back
Top Bottom