Kila siku najiuliza kuwa hawa wanaojiita walokole huwa wanamaanisha kweli au la?
Ukweli ni kwamba hakuna mwenya akili timamu anaweza kuwa mlokole ndo mana haiwezekani rais aje kutokea huko. Always atakuw ama muislam au mkatoliki.
Kiukweli ni kwamba makanisa ya hawa jamaa wanaojiita walokole ni platform ya walenye stress kwenda kulia na kugalagala matatizo huwa hayasoviwi hivyo.
Angalia wanaoenda kwa mwanposa ni akina dudu baya, akina gigi money nk ambao wakitoka hapo ni uzinzi, bangi kwa kwenda mbele.
Hivi kweli kuna mwenye akili timamu anaweza kwenda kwa masanja wakati anajua kichwani hamna kitu au kakobe au kuhani musa au katunzi.
Fatilia utaona wanaoenda huko ni ama stress au ni zero braiins
Hata kkkt ni maslahi binafsi tu padre luther lakini lile siyo kanisa ndo mana ni migogoro mwanzo mwisho.
Mwisho kabisa karibuni leo ni sikuku ya utatu mtakatifu.
Mama maria................mama wa wote.
Glory be to the father and to the son and to the holy spirit.........as it was in the begining is now and ever shall be world without end..Amen
Ukweli ni kwamba hakuna mwenya akili timamu anaweza kuwa mlokole ndo mana haiwezekani rais aje kutokea huko. Always atakuw ama muislam au mkatoliki.
Kiukweli ni kwamba makanisa ya hawa jamaa wanaojiita walokole ni platform ya walenye stress kwenda kulia na kugalagala matatizo huwa hayasoviwi hivyo.
Angalia wanaoenda kwa mwanposa ni akina dudu baya, akina gigi money nk ambao wakitoka hapo ni uzinzi, bangi kwa kwenda mbele.
Hivi kweli kuna mwenye akili timamu anaweza kwenda kwa masanja wakati anajua kichwani hamna kitu au kakobe au kuhani musa au katunzi.
Fatilia utaona wanaoenda huko ni ama stress au ni zero braiins
Hata kkkt ni maslahi binafsi tu padre luther lakini lile siyo kanisa ndo mana ni migogoro mwanzo mwisho.
Mwisho kabisa karibuni leo ni sikuku ya utatu mtakatifu.
Mama maria................mama wa wote.
Glory be to the father and to the son and to the holy spirit.........as it was in the begining is now and ever shall be world without end..Amen