Etwege
JF-Expert Member
- Jul 4, 2018
- 7,207
- 17,674
Kufuatia uchapa kazi wa Bongozozo hatimae leo bungeni amebatizwa jina la kisukuma ambalo ni Masanja ili kuenda kasi ya uchapakazi na uzalendo wa wasukuma nchini Tanzania.
Huwezi kuona msukuma akiwa na tamaa za ajabu ajabu za kuhongwa na na wazungu na kusaliti nchi yako kama wale jamaa wa makabila yaleee
Sent using Jamii Forums mobile app
Huwezi kuona msukuma akiwa na tamaa za ajabu ajabu za kuhongwa na na wazungu na kusaliti nchi yako kama wale jamaa wa makabila yaleee
Sent using Jamii Forums mobile app