Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
'kwa hili Kigwa hebu simamie kidete na ulipinge kwa nguvu zote'Kwa mara ya kwanza nimekuunga mkono,kisa rangi ndio anapewa hiyo hadhi,mbona tunakeugeuka hivoo na nina amemleta bungeni huyu mtu,kwani ni yeye peke yake kamshangilia Mbwana,je na mimi nikienda huko kwao nikamshangilia mchezaji mpira kwa kiingereza ndio nitapewa hizo hadhi?mbona ngozi nyeusi hatujiamini wajemeni,kwa hili Kigwa hebu simamie kidete na ulipinge kwa nguvu zote ,huyu muangalizi wa bustani asije anza kula pesa yetu ya kodi kwa kufanya ufala kwenye runinga.
MmmhhhhhHuyu mzungu alianzia kutafuta kiki Zimbabwe. Zimbambwe sio watu wa mitandao na hawana shobo na wazungu. Kiki imetiki Tanzania. Kapata alichokuwa anatafuta. Sasa hivi anakula tu pesa za YouTube maana watanzania mmemfollow na mnaangalia video zake. Recognation nayo kapata. Tanzania mnashobokea sana wageni. Kama mzalendo Kweli mwambieni aachie passport ya UK na kuchukua ya Tanzania.
Kweli kabisaHuyo Bongozozo anaweza kutangaza utalii wetu vizuri kuliko wasanii wababaishaji.
Acha ujinga wewe mbuzi
watakapo kuja kushtuka kuwa ni spy... nchi itakuwa imeshabaki mifupa tupuKwanini wanahangaika na Huyu jamaa kisa kaoa Mbongo , Sioni jipya kwake
Exactly!
Tunaomba ushahidi wa picha akiwa na bendera ya Zimbabwe, bila hivyo itakuwa ni wivu tuuHuyu mzungu alianzia kutafuta kiki Zimbabwe. Zimbambwe sio watu wa mitandao na hawana shobo na wazungu. Kiki imetiki Tanzania. Kapata alichokuwa anatafuta. Sasa hivi anakula tu pesa za YouTube maana watanzania mmemfollow na mnaangalia video zake. Recognation nayo kapata. Tanzania mnashobokea sana wageni. Kama mzalendo Kweli mwambieni aachie passport ya UK na kuchukua ya Tanzania.
Kumbuka CHIEF. HANGAYA katokea USUKUMANI