pye Chang shen
JF-Expert Member
- Jul 11, 2016
- 11,422
- 6,108
Baada ya kutangazwa tarehe ya sensa kuwa siku ya mapumziko, hakuna aliethubutu kufungua duka Kariakoo.
Kwa wanaoishi hapo hapo kariakoo walibaki majumbani lakin mpaka usiku huu wengi hawajapitiwa na makarani, najua watapitiwa siku zijazo lakini siku imepotea bure bila biashara kufanyika yaani kulipowa.
Hongereni sana Watanzania kwa utiifu na usikivu wenu.
Kwa wanaoishi hapo hapo kariakoo walibaki majumbani lakin mpaka usiku huu wengi hawajapitiwa na makarani, najua watapitiwa siku zijazo lakini siku imepotea bure bila biashara kufanyika yaani kulipowa.
Hongereni sana Watanzania kwa utiifu na usikivu wenu.