Baada ya Kutemwa na Ney wa Mitego, Siwema aendelea kupeta, anunua Gari mpya kwa hela zake mwenyewe

Baada ya Kutemwa na Ney wa Mitego, Siwema aendelea kupeta, anunua Gari mpya kwa hela zake mwenyewe

Kama unamkumbuka yule pedeshee wake aliekua anampa jeurii mwaz,,alimpiga picha za uchi huyo pedejee sasa huyu wema akawa anataka vitu vya gharama yule babu akaona amnunulie gari ili anyamaze,,heee akaombwq tena pesa nyinginee asipompa anazisambaza zile picha za uchi,,ndio pedejee kumshitaki police wakaenda kumkamata alilala siku mbilimna gari a kanyang'anywa , kama upo insta mfollow udakutz ,
Kama unakumbuka wema sepetu alikuja mwaz kwenye instagram party ndio siku hiyo hiyo bibie akadakwaaa na party ikahamia selo

Alaaa... Kumbe shosti. Atia aibu lols... hajui kula na kipofu aisee, daima mkataa pema pabaya panamngoja!
 
Hawa vigogo wa mwanza wako kama wa arusha MTU ana mil 200 wanasema trionea
 
Kashatoka jela kwa kumtapeli babu wa watu kimapenzi na kuchuma huku akimpiga picha za u**i?
 



Wakati Mpenzi wake wa zamani Nay wa Mitego akiwa Bize na Baby yake Mpya Shamsa Ford, Siwema ameamua kujipoza machungu ya kuachwa na kunyang'anywa mtoto kwa kununua gari mpya.

Ameweka Picha hiyo kwenye ukurasa wake wa Instagram na kuandika yafuatayo:

Thank u ZAMZAM MOTORS LTD.....kwa kufanikisha hili...u always good to me#magari yenu yako bomba ile mbayaaa # namba ikitoka ntawambia ili msinipite barabarani!!!!


Mimi na warumi Dinazarde tunasubiri majibu ya DNA kujua mtoto alikuwa wa nani tu..
Pole sasa unatumikia Jela kwa mashauzi.
 
Back
Top Bottom