Baada ya kutengana miaka nane (8), juzi kanitafuta

Usichangamane na mwanamke mjinga

Labda km huna maisha umekaa kaa tu kijiweni huna kazi wala hutaki kazi,huna biashara wala hutaki biashara,huna mbele wala nyuma.
 
Usimuhurumie mwanamke msaliti... Kama hana cha maana, mpuuze. Kata mazoea.

Huyo ni mke wa mtu. Huwezi jua. Kumbe anakupanga ili ujae, ufumaniwe halafu upigwe hela. Hakuna mwanaume boya pale anapoona mkewe analiwa.

Yaepuke matatizo yasiyo na ulazima.
 
Mume sii hana wivu basi mwambie naomba unitunuku tigo nijilie zangu
 
Hahahaaaaa! Dah ila wanawake jamani na kwaupande wangu naunga mkono hili mwanamke kama mlikuwa mmetengana tena kwa mabaya katu usiruhusu uwe naee tRNA kwenye maisha yko hususani kama huenda alikufanyia kiburi akawa hakupi furaha

Kawaida sisi wanaume huwa tunahitaji jamani amani sasa amani jamani ikipotea huwa tunaanza kuitafuta nje tukijua tunatengeneza au kujenga kumbe tunabomoa na katika harakati hizi mwanamke akikufumania basi mwenye matatizo unaonekanani wewe yaani yy anajitoa tayari unakuwa mhuni usiyejali hisia zake wakati we ulifanya kutokana na tabia zake sasa kama mliachana na ttzo ulikuwa we mkirudiana hawa viumbe huwa wanakuja wakiwa wamejipanga vizuri zaidi utapigwa na kitu kizito brother kichwani hutaamini
 
Kweli mkuu, msaliti n sawa na muuaji, wakati anakusaliti hana huruma kabisa na hajali,nakubaliana na ww kuwa hastahili hiruma
 
Watu wanakuja na masilahi yao, yakiisha wanapotea usipumbatike na mafuta kwa mgongo wa chupa
 
Watu wanakuja na masilahi yao, yakiisha wanapotea usipumbatike na mafuta kwa mgongo wa chupa
Kama huyu nadhani n maslahi yanamrudisha kwasababu ndani ya miaka yote 8 tuliyo tengana yy anajua kila kitu ninacho kifanya, means alikuwa akinifuatilia
 
Ukishakuwa na mtu, mkaachana ina maana nyie hamuendani, anarudi kufanya nn?!

Mtego huo shtuka
 
Hili neno "mzungu" skuiz lina2mika vibaya sana [emoji3][emoji3]
 
Nahisi wanawake kurudisha majeshi kwenye makambi walio nyea ni kawaida yao.

Kuna huyo dada kipindi nipo chuo walikua na kawaida ya kuja kwa jamaaa yake wananyanduana siku inaisha ..kimbembe mimba ikapatikana akatimuliwa kwao suluhisho lilikua ni kwenda kuishi na jamaa Basi maisha yaliwapiga hatari maanaa jamaa alikua anategemea hela za baba yake Basi kutokana na ile mimba walipitia magumu saaana Hadi huruma ikaniingia na kuanza kumpa baadhi ya mahitaji Kama nikinunua mchele debe namgawia hata nusu ,mafuta ya kula nk .

Siku alio jifungua yule Dada huwezi amini alitembea kutoka hospital Hadi tulipo panga aisee nilimuonea huruma saana Hadi machozi yalinilenga Basi ile kibishi like zoezi la kumsaidia mama kachanga ili ale ashibe ziliendelea . Kumbe jamaa yake alikua anapokea ile misaada kishingo upande.

Siku pendezewa na tabia ya kuombwa ombwa ikabida niwe namuachia funguo Kama atahitaji kitu Kama sukari, chumvi nk nisipo kuwepo afungue achukue kweli akawa anafanya hivyo Dada wa watu akajiongeza siku nyingine akawa anadeki na akikuta nguo chafu anafua kiufupi usafi kweli tulienda hivyo kumbe jamaa anachukia kile kitendo . Na Mimi kwa upande wangu sikuwahi hata siku moja kumfikilia kimapenzi au kuja kumtaka au chembe ya hisia yoyote ile ya kumla. Basi kwa kua mwanamke alikua Hana kazi za kufanya nikamtafutia kimtaji Cha matunda Kama 50 hivii kipindi Cha jakaya Basi Dada akaanza kuuzia matunda alikua anajihimu asubuhi kununua kwenye soko la wakulima baadae anatuuzia wanachuo na watu wengine kiufupi nilijivunia kummpa hiyo idea na mtaji.

Mabadiriko yalianza kiukweli ikafika sehemu akaanza kumlisha Hadi jamaa na zile changamoto ndogo ndogo na kubwa baadhi akawa anazimudu.

Basi bana maisha yalivyo kuwa mazuri kwao ndipo wakaanza kuniona fala na penzi Lao likanoga Wala sikua na tatizo nalo mwanamke akaanza maneno ya kijinga juu yangu kwa mumewe kuwa nilimtaka Sana na bla bla kibao kujiosha kwa jamaa yake nikasema sawa Haina shida na hizo taarifa zikisambaa pale karibu wapangaji wote na baadhi ya majirani wakawa wanajua Mimi namtaka mke wa mpangaji mwenzangu Basi ikabidi nibarishe Hadi muda wa kuonekana pale nyumbani kukwepa aibu.

Basi siku zikaenda chuo kikaisha tukaingia mitaani na kupoteana ....miaaka Kama minne badae naona namba mmpya zinanitafuta kumuuliza akajitambulisha baada ya Salam mbili tatu naona naambiwa Kama Kuna siku nilikukosea naomba unisamehee ...nikawa nashangaa imekuaje Tena akajitetea pale na kuanza kujiliza pale ...nilimjibu mbona Mimi sijawahi kuwa na tatizo wewe . Lkn huyu amerudi na kunitambua Kama kaka yake maana anajua kabisa siwezi kumla kwani mademu nilio kuwa nawala kipindi hicho anawajua walivyo kuwa.

So wanawake kurudi walipo kunya ni jambo la kawaida ila kubwa zaidi ni kuwa na akili tu na kuwa makini nao ....wengine wanarudi kutafuta amani ya moyo wao wengine wanarudi kukumbushia good events na wengine wanakuja kuharibu na Hawa ni wengi zaidi
 
Demu akijirudisha wala usikatae wee mpokee ujiloe vitamu lakini hakikisha unamla tigo
 
Mkuu una simu kali!
 
[emoji23][emoji23][emoji23]akijiloga akamla ameenda na maji sikuhizi zinapakwa dawa
 
Tafuna mbususu Baba usisahau kutumia Bull condom hizi dume zinachanika sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…