Baada ya kutengana miaka nane (8), juzi kanitafuta

Baada ya kutengana miaka nane (8), juzi kanitafuta

Huyo demu ni malaya ni kwamba anakutafta umle tu..Possibility ni kuwa kashaumia cha msingi mkomalie mkapime kwanza kisha ndio muendelee na upashaji kiporo[emoji28] ukiona anaweka ngumu temana nae!

Raha ya Ex akijileta unamtia tu for fun unamchukulia kama zile disposable za Kimboka tu! Ukijimix uka fall in love umeisha.
Wanaloga hao mkuu
 
Mi nakushauri mtumie huyo dada link ya huu uzi...
 
Back
Top Bottom