Tetesi: Baada ya kutishwa, Ruge Mutahaba muda mfupi ujao anaenda kupingana na ushahidi uliokuwepo

Status
Not open for further replies.
Me sikuelewi aisee... NaSupport sana unayosema ila nashangaa unanitukana...
 
Hilooooooooooooooooo umeumbuka..sometymz si lazima kuaongea...tazama sasa umeongea upupu...
We sio mtabiri...na usiusemee moyo
 
Niliwahi kusema katika moja ya uzi ulioanzisha kipindi kilichopita kuhusu Gerson Msigwa nikakwambia lifahamu jambo kwa ufasaha ili upate kulisema vyema. Naona leo umeudhihirisha ujuha wako

Kwendraaaaaaaaaa!!!!!!!
 
Niliwahi kusema katika moja ya uzi ulioanzisha kipindi kilichopita kuhusu Gerson Msigwa nikakwambia lifahamu jambo kwa ufasaha ili upate kulisema vyema. Naona leo umeudhihirisha ujuha wako

Kwendraaaaaaaaaa!!!!!!!
 
Niliwahi kusema katika moja ya uzi ulioanzisha kipindi kilichopita kuhusu Gerson Msigwa nikakwambia lifahamu jambo kwa ufasaha ili upate kulisema vyema. Naona leo umeudhihirisha ujuha wako

Kwendraaaaaaaaaa!!!!!!!
 
Me sikuelewi aisee... NaSupport sana unayosema ila nashangaa unanitukana...

Tena nipishe kwani nimegundua kuwa Wewe ni MNAFIKI mkubwa. Pitia hapo post zako kisha niambie kuwa zinasema kuniunga mkono au na unanikandia. Mwisho nikuonye tu kuwa cheza na wote na achana na hii namba tafadhali. Nimemaliza nawe!
 
Tena nipishe kwani nimegundua kuwa Wewe ni MNAFIKI mkubwa. Pitia hapo post zako kisha niambie kuwa zinasema kuniunga mkono au na unanikandia. Mwisho nikuonye tu kuwa cheza na wote na achana na hii namba tafadhali. Nimemaliza nawe!
Kwenda uko namba utakuwa nayo wewe
 
Nape Nae Anaingia Sasa Clouds Ngoja Nisikile Madongo Yake
 
Kuna Wapumbavu wengine jana mlitiririka humu kwa kusema kuwa ile Video Clip ya Makonda kuwepo pale Clouds Media Group katika Studio zao ni ya Uwongo na ya kutengenezwa ila Ruge Mutahaba amethibitisha kuwa ni ya kweli na ilirushwa na mmoja wa Wafanyakazi wao.
 
Lengo langu LIMETIMIA na najiona MSHINDI na pengine nadhani badala ya kupovuka kujifanya mnanishambulia basi MNGENIPONGEZA kwani ujanja nilioutumia ambao kwa upeo wenu mfupi hamtoweza kunielewa GENTAMYCINE.
Hongera mkuu, kutoa hii post yako hapo juu ,uwa nakukubali
 
Mbona anachoongea sasa hivi ni tofauti kabisa na ulichoandika
 
Mkuu hamtetei. Hebu sikiliza anavyomkaanga Bashite. Na bado Nape naye yupo ndani ya nyumba akisubiri zamu yake ya kukaanga.
 
Hongera mkuu, kutoa hii post yako hapo juu ,uwa nakukubali

NIKUAMBIE TU NA NIKUHAKIKISHIE KUWA HUU UZI WANGU NIMEUWEKA KIUFUNDI KABISA NA NIKIWA NA MAKUSUDI FULANI AMBAYO IMEWEZA KUSAIDA HAYA AMBAYO UNAYASIKIA KUTOKA KWAKE RUGE. NA NIKUAMBIE TU KUWA TAARIFA ZOTE HIZI NIMEZIPATA KUTOKA KWA CHANZO CHANGU KILICHOPO HAPO HAPO NA BAHATI NZURI YUPO KARIBU NAE RUGE. NA KAMA RUGE ASINGESEMA HUU UKWELI NA KUMGEUKA MAKONDA BASI NILIKUWA NAENDA KUTIRIRIKA NA JINGINE ILA KWA ALICHOKIFANYA RUGE MUTAHABA AMENIFURAHISHA NA SASA NAMI NAWEKA SILAHA CHINI.
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…