Tetesi: Baada ya kutishwa, Ruge Mutahaba muda mfupi ujao anaenda kupingana na ushahidi uliokuwepo

Tetesi: Baada ya kutishwa, Ruge Mutahaba muda mfupi ujao anaenda kupingana na ushahidi uliokuwepo

Status
Not open for further replies.
Bashite anakaangwa huku!!weitaa niletee kili bariiiidiii!!ooh kumbe ni muda wa kazi,basi niletee karanga movie imekuwa tamu,steling anafia bustanini uwii!shkamoo ruge mwaga ukwel le mbururaz aje amtetee tena!nacheka kwa dharauu!!!
 
kutokana na maelezo ya Ruge, nao sasa wamemchoka Bashite kabisaaaaaaaaaaaa.
 
Acha ujinga mbona anamkaanga hamtetei

Kama hamtetei Makonda mbona kuna ukweli ulio wazi kuwa akina Soud Brown na Kwisa walipigwa na wale askari aliiongozana nae na hata wao wenyewe wamesema lakini Ruge hapa amehojiwa kuhusu hilo kasema kuwa Watangazaji hao hawakupigwa wala kuguswa kokote?
 
Gentamycine uyasemayo yanawezekana kabisa lkn hakuna wakati wowote ambapo giza lilishindana na nuru, au uongo ulishindana na ukweli.

Yote yanayomtokea dogo leo ni matokeo ya giza kujaribu kumshinda na na nuru, nikuhakikishie haitawezekana, ndivyo makubwa yatakavyozidi kutokea.

Kubwa tunalozidi kujifunza ni hili, ni Mungu pekeee tu ambaye hajaribiwi.

Kuna Watu wavivu wa kunielewa na ninachokitaka hapa Ruge aseme ukweli wote ili atusaidie kuweza kujua Makonda hafai na asilete Urafiki au Ushikaji wake na Makonda.
 
Na lile tangazo ambalo limetoka millardayo.com watatuambia nin
 
Topic haina mashiko tena .....anachoongea Regu ni tofauti na ulichoanzisha ....hakuna haja ya kujadili Uzi huu
 
Sasa wewe ulieleta hii habari unajiskiaje manake umeongea uongo mtupu...Ruge kaongea mengine wewe umesema mengine???

Kwani amemaliza? Umesikia aliyoyasema lakini? Msianze kukimbilia kusema GENTAMYCINE nimekurupuka bali jaribuni kutumia sana akili zenu. Amekiri kuwa Yeye ni Rafiki mkubwa wa Makonda.
 
Hongera kwa Clouds kama nao hawatasikiliza ya mtandaoni. Clouds ni tishio kwa kazi nzuri wanayofanya ilivyo juu kupita kampuni zingine.

Na kupendwa kwa kipindi hicho na Rais pia ukaribu wa Rac nae kupenda kutumia.

Ndio imeleta haya ya kukuzwa. Inaonekana clouds kuna wafanyakazi wamechoka kazi, wachakachuliwe kwa kula hongo kuchafua kampuni hiyo.

Clip ya video inaonyesha utulivu, namba moja aliye kaa reception amekaa ametulia na Mh. Makonda kaingia kama walivyomzoea. Na ni kiongozi ulini muhimu sanaaaa kwake.

Nyie mnaokuza mambo ndio mjitafakari.

Ooh na vyeti feki navyo mlitengeneza bila kutumia akili,halafu eti nyie wasomi ha ha haaaaa

Makonda oyeeeeeee


Update: naona uzi umepewa u breaking news

Kwa lipi? Ili mtibue ya 360 au hamjui ya Malaika yamekuwepo tangu?

Update:

Ooh now tetesi...bora iwe hivyo as ni uongo mtupu huyu tunamjua zake ha ha haaaa
We nae ni kajipu
 
Katika hali ya kushangaza kabisa baada ya tukio zima la kutia aibu kama siyo pia la kusikitisha ambalo lilifanywa na Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Paul Christian Makonda ( siyo jina lake halisi ) juzi usiku katika Kituo cha tv cha Clouds muda mfupi ujao Bosi na Mkurugenzi wa Vipindi na Utafiti Bwana Ruge Mutahaba anaenda kumtetea Makonda.

Kwa habari za Kiuchunguzi kabisa zinasema kwamba ni kweli tukio lilifanyika na hata Mabosi Wakuu wa Clouds Media Group Kusaga na Mutahaba walikasirishwa mno na Kiktendo kilichofanywa na Makonda lakini baada ya mmoja wao kuitwa na KUTISHWA na wenye Mamlaka na hii nchi hatimaye Ndugu Ruge Mutahaba amekubali KUUPINDISHA ukweli wote ambao kimsingi Watanzania wengi tumeuona.

Katika Interview ambayo Ruge Mutahaba anaenda kuifanya muda mfupi ujao tegemeeni haya yafuatayo:

  1. Anaenda kumtetea kwa nguvu zote Makonda huku akitumia muda mwingi kumsifia.
  2. Anaenda kusema tukio halikutokea Clouds bali lilitengenezwa tu.
  3. Anaenda kusema Makonda hana Uadui na Clouds Media Group.
  4. Anaenda kusema Makonda anafanya Kazi nzuri kwa Tanzania.
  5. Anaenda kumgeuka Mchungaji Gwajima kwa nguvu zake zote.
Ili kuonyesha kuwa Clouds Media Group WAMETISHWA kinyume na hali ambayo ilikuwepo jana asubuhi Ofisini Kwao ambapo karibia Wafanyakazi wote walihamaki na kumlaumu sana Makonda asubuhi hii hii katika Kipindi cha Clouds tv 360 Watangazaji Sam Sasali, Babie Kabae na Hassan Ngoma wametumia muda mwingi kuweza kupinga tukio zima huku wakitucheka sisi Watanzania ambao kiukweli tukio zima tumelipata ile ile juzi usiku na wakimtetea sana Mkuu wa Mkoa Makonda.

Pole sana Ruge Mutahaba najua umetishwa mno jana huku pia ukiogopa kupoteza MASLAHI yako na kibaya zaidi najua umekubali yaishe ILI tu Makonda asiliibue lile sakata lako ambalo nafahamu unalijua mno ambalo linakusaidia pia kukuweka hapa mjini.

Kwa kukusaidia tu tuna Watu wetu hapo hapo Mjengoni Kwako Clouds Media Group ambao wametupa UKWELI wote. Tunasubiri ufanye hiyo propaganda yako ili na sisi tusiopenda UNAFIKI wako / wenu TUFUNGUKE zaidi.
Acha uwongo wewe mm naangalia ruge kaweka wazi kila kitu hajamtetea kwa chochote
 
Ila ruge kamchana rc...

Kama kamchana ni vizuri na ndicho nilichokitaka Mimi na hapa nilipo sasa najiona Mshindi kwani kama angeongea tofauti ndipo angenichefua. Narudia tena kusema kama Ruge Mutahaba ameongea ukweli na hajapindisha na vile Vitisho alivyopewa jana Oysterbay na Stesheni najiona Mshindi. Safi sana!
 
Katika hali ya kushangaza kabisa baada ya tukio zima la kutia aibu kama siyo pia la kusikitisha ambalo lilifanywa na Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Paul Christian Makonda ( siyo jina lake halisi ) juzi usiku katika Kituo cha tv cha Clouds muda mfupi ujao Bosi na Mkurugenzi wa Vipindi na Utafiti Bwana Ruge Mutahaba anaenda kumtetea Makonda.

Kwa habari za Kiuchunguzi kabisa zinasema kwamba ni kweli tukio lilifanyika na hata Mabosi Wakuu wa Clouds Media Group Kusaga na Mutahaba walikasirishwa mno na Kiktendo kilichofanywa na Makonda lakini baada ya mmoja wao kuitwa na KUTISHWA na wenye Mamlaka na hii nchi hatimaye Ndugu Ruge Mutahaba amekubali KUUPINDISHA ukweli wote ambao kimsingi Watanzania wengi tumeuona.

Katika Interview ambayo Ruge Mutahaba anaenda kuifanya muda mfupi ujao tegemeeni haya yafuatayo:

  1. Anaenda kumtetea kwa nguvu zote Makonda huku akitumia muda mwingi kumsifia.
  2. Anaenda kusema tukio halikutokea Clouds bali lilitengenezwa tu.
  3. Anaenda kusema Makonda hana Uadui na Clouds Media Group.
  4. Anaenda kusema Makonda anafanya Kazi nzuri kwa Tanzania.
  5. Anaenda kumgeuka Mchungaji Gwajima kwa nguvu zake zote.
Ili kuonyesha kuwa Clouds Media Group WAMETISHWA kinyume na hali ambayo ilikuwepo jana asubuhi Ofisini Kwao ambapo karibia Wafanyakazi wote walihamaki na kumlaumu sana Makonda asubuhi hii hii katika Kipindi cha Clouds tv 360 Watangazaji Sam Sasali, Babie Kabae na Hassan Ngoma wametumia muda mwingi kuweza kupinga tukio zima huku wakitucheka sisi Watanzania ambao kiukweli tukio zima tumelipata ile ile juzi usiku na wakimtetea sana Mkuu wa Mkoa Makonda.

Pole sana Ruge Mutahaba najua umetishwa mno jana huku pia ukiogopa kupoteza MASLAHI yako na kibaya zaidi najua umekubali yaishe ILI tu Makonda asiliibue lile sakata lako ambalo nafahamu unalijua mno ambalo linakusaidia pia kukuweka hapa mjini.

Kwa kukusaidia tu tuna Watu wetu hapo hapo Mjengoni Kwako Clouds Media Group ambao wametupa UKWELI wote. Tunasubiri ufanye hiyo propaganda yako ili na sisi tusiopenda UNAFIKI wako / wenu TUFUNGUKE zaidi.
Yani we we unadegree ya uongo na umbeya au bado unastock ya viroba
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom