balance sheet
Member
- Nov 22, 2020
- 33
- 27
Wengi tu kamaHapa nazungumzia mabilionea wenye uwekezaji hadi mashariki ya mbali na Ulaya siyo hawa wenye mabasi malori na guest houses.
Wote tunajua mabilionea Mo Dewji, Rostam Aziiz na Freeman Mbowe walikuwa wabunge na sasa wanaendelea na biashara zao huku wakichochea ukuaji wa uchumi kwa vitendo kupitia sekta binafsi ambayo ndio injini ya uchumi.
Je kuna bilionea yoyote kabakia kule bungeni?
Ramadan Kareem!
Haya bana.. ila nakukubali kwa jinsi huwa unatumia akili kumfanya mtu akuelewe. Tukiweka siasa pemben na utofauti wa vyama. Ww inaonekana ni mtu mzuri sana, na mwenye msaada mkubwa kwa watu waliokuzunguka. God bless youhumjui Mbowe wewe
Baba angu aliniambiaga Mbowe ni tajiri kuliko tunavodhani yaani wa enzi hizoo..sikumuelewaga mzee!!!nimemuelewa juzi baada ya kuongea.Bilionea Mbowe katisha yaani wamefunga accounts zake za biashara ,wakafunga ya mshahara halafu Bilionea anadunda tu hakuunga mkono juhudi za MEKO.
Mkuu nakubaliana na wewe. Wale waumini wake ni wenyeji wa Kitintale na Maziwa sehemu ambako kuna slums nyingi.Hakuna waumini masikini kama wanaosali kwa gwajima , ila yeye ana biashara zake
virobaKwanza nikurekebishe Mbowe hana sekta yoyote ya halali na ya maana kumuingizia pesa zaidi ya sekta hii ya kuwatumia nyumbu na wanywa viloba kama daraja la kufikia mafanikio yake. Hata hawa wanaomtetea humu wengi wamekubali kuuza utu wao kwa sababu ya tamaa za matumbo yao.
Wanoko wanadai Marehemu Jiwe alvyozuru Moro mwanzoni mwaka huu na kumsema Abood vibaya hadharani. Alikimbia akajificha vichakani siku tatu akimlilia kwa huzuni na uchungu Allah amlipizie kisasi. Na kweli kilio chake kikasikika yaliofuata kilio cha Abood kimewafanya wengi washereheke.Mzee Abood hajafikia kuitwa bilionea?
Mbona mnamsahau Mzee wa KAHAMA!! JUMANNE KISHIMBA/ IMMALASEKO? Mbowe toka lini ni billionea?Hahhaaaa Mabilionea wawili tu Msukuma na Mwana Fa.
Sio wewe ndo umekubali kulawitiwa kisiasa? Maana hata unavyoandika ni kana kwamba usipoandika pumba huduma huipati!!!Kwanza nikurekebishe Mbowe hana sekta yoyote ya halali na ya maana kumuingizia pesa zaidi ya sekta hii ya kuwatumia nyumbu na wanywa viloba kama daraja la kufikia mafanikio yake. Hata hawa wanaomtetea humu wengi wamekubali kuuza utu wao kwa sababu ya tamaa za matumbo yao.
Baba angu aliniambiaga Mbowe ni tajiri kuliko tunavodhani yaani wa enzi hizoo..sikumuelewaga mzee!!!nimemuelewa juzi baada ya kuongea.
Imekuwaje zile pesa wamechukua tena?Bungeni amebaki billionea msukuma na billionea mwanaFA ingawa juzi kati huyo mwanaFA Tigo wamemtapisha billion zote walizomlipa.
Mbowe si tulihubiriwa kwamba anakula ruzuku za chama? Kawa billionaire tena? Nchi hiiWakati namtaja Mbowe kama mmoja wa mabilionea duniani kuna makapuku wengi wa ccm walinipinga , sasa naona wengi mmekwishasoma alama za nyakati .
Bungeni amebaki billionea msukuma na billionea mwanaFA ingawa juzi kati huyo mwanaFA Tigo wamemtapisha billion zote walizomlipa.
Ukiongelea kuhusu kuharibu mashamba, picha inayonijia ni yule jambazi mpumbavu Sabaya,lazima alipwe sawa sawa na matendo yakeTena wamefunga akaunti zote kwa miaka 3 na wakaiba hela zote na kuharibu mashamba hata ya mchicha ! unyama wa kishamba sana ! lakini mwamba hakutikisika .
Tigo wameshinda rufaa hao jamaa walikua hawajasajili nyimbo yao walikuwa wamesajili majina yao tu.Imekuwaje zile pesa wamechukua tena?
Gwajiboy na kamsukuma hawa SSH akizingua wanaweza kumalizia mradi stragglers gorge na standard gauge kumuenzi hayati,sukuma gangHapa nazungumzia mabilionea wenye uwekezaji hadi mashariki ya mbali na Ulaya siyo hawa wenye mabasi malori na guest houses.
Wote tunajua mabilionea Mo Dewji, Rostam Aziiz na Freeman Mbowe walikuwa wabunge na sasa wanaendelea na biashara zao huku wakichochea ukuaji wa uchumi kwa vitendo kupitia sekta binafsi ambayo ndio injini ya uchumi.
Je kuna bilionea yoyote kabakia kule bungeni?
Ramadan Kareem!
Wakambomolea bills sijui walimlipa?Tena wamefunga akaunti zote kwa miaka 3 na wakaiba hela zote na kuharibu mashamba hata ya mchicha ! unyama wa kishamba sana ! lakini mwamba hakutikisika .