Baada ya kutoonekana kazini miaka 2,kuandikwa mtumishi hewa.Kilichofuata ni hiki hapa

Baada ya kutoonekana kazini miaka 2,kuandikwa mtumishi hewa.Kilichofuata ni hiki hapa

Musoma Yetu

JF-Expert Member
Joined
Mar 11, 2016
Posts
2,633
Reaction score
2,297
Wakuu hbri za humu. Kuna mtumishi alienda masomoni bila utaratibu wote kukamilika. Cha ajabu mtumishi akawapeleka CMA, kuwashitaki kwa nini hapewi mshahara. Hana barua ya kufukuzwa kazi wala onyo na mishahara check inakuja lkni hapati mshahara. Afisa utumishi mahakamani walimuuliza, je huyu ni mtumishi au siyo mtumishi? Akasema mpaka sasa ni mtumishi. Je wewe kama mwanasheria hiyo kesi utaamuaje? Afisa utumishi aliruka taratibu zote za utumishi. Je, jamaa atarudi kazini? Na wkti huo huo walimweka mtumishi hewa.
 
hyo kesi rahisi sana. mbwa kala mbwa. afisa utumishi analo la kujibu. kwann mshahara ulikuwa unalipwa? na kwa nani?. jamaa ye atajibu kwann aliondoka bila ruhusa.?
 
Mkiambiwa watu wanakula pesa anabisha

sasa miaka 2 mtu anakula pesa ya mwenzake unategemea nin

Swali la kujiuliza uyo afisa utumish anafanya iyo kitu kwa watu wangap...???
 
mimi sio mwanasheria hili gumu

ingawa kwa mbali nahisi ni wewe mlengwa mkuu dhread yako ikae kuomba ushauri wa kisheria sio kutumia third part
 
Back
Top Bottom