chinchilla coat
JF-Expert Member
- May 16, 2016
- 5,107
- 10,969
Msanii wa bongo fleva Timbulo amekasirishwa sana na wasanii wa kike na kusema wote hawana akili, hii ni baada ya kumpigia simu vanessa mdee na kutaka kuomba kolabo na Vanessa akasema hamjui
Kama hyo haitoshi Timbulo alifanya ngoma na msanii Malaika na ilipofika siku ya ku shoot video wakakubaliana kuwa atafika lakini Malaika hakutokea
Kama hyo haitoshi Timbulo alifanya ngoma na msanii Malaika na ilipofika siku ya ku shoot video wakakubaliana kuwa atafika lakini Malaika hakutokea