mexico 1980
Member
- May 15, 2015
- 68
- 50
Hapo itaendelea bleeding hata wiki tatuLengo lilikuwa kufanya arbotion na kweli baada ya kuitumia hiyo dose baada ya nusu saa tu alianza kubleed. Ilikuwa tarehe 22 mwezi huu.
Sasa mpaka leo hii 31 bado anaenda bleeding tu kama kuna msaada au ushauri naomba japo kitendo kilichofanywa si kizuri.
Kuna dawa yoyote anaweza kutumia ili kumaliza hii kadhia?
Mara nyingi it goes up to three weeks, japo itakuwa inakata mara moja moja na kuendelea.Lengo lilikuwa kufanya arbotion na kweli baada ya kuitumia hiyo dose baada ya nusu saa tu alianza kubleed. Ilikuwa tarehe 22 mwezi huu.
Sasa mpaka leo hii 31 bado anaenda bleeding tu kama kuna msaada au ushauri naomba japo kitendo kilichofanywa si kizuri.
Kuna dawa yoyote anaweza kutumia ili kumaliza hii kadhia?
Bado inatoka Hadi leo?Lengo lilikuwa kufanya arbotion na kweli baada ya kuitumia hiyo dose baada ya nusu saa tu alianza kubleed. Ilikuwa tarehe 22 mwezi huu.
Sasa mpaka leo hii 31 bado anaenda bleeding tu kama kuna msaada au ushauri naomba japo kitendo kilichofanywa si kizuri.
Kuna dawa yoyote anaweza kutumia ili kumaliza hii kadhia?