Baada ya kutumia P-2 hawezi kushika ujauzito , je afanye nini ili akae sawa

Baada ya kutumia P-2 hawezi kushika ujauzito , je afanye nini ili akae sawa

Ndugu zangu salaam sana..

Naombeni msaada wa nini kifanyike baada ya huyu mwanadada kutumia P-2 na sasa anashindwa kushika ujauzito.

Je, kuna dawa yeyote au vitu vya asili anatakiwa ameze na ale ili aweze kukaa sawa na aweze kutunga ujauzito atokane kwenye hayo madhila ya madhara ya P-2

Baada ya kutumia P 2

1) Akianza kupata siku zake ( kuona damu) hata katikati ya mzunguko wake wa hedhi ( kabla hajafikia hedhi).

- mpaka leo siku zake zimevurugika kabisa zinatokea kwa kuchelewa au kuwahi hazitabiriki

2) Alianza kuumwa na tumbo chini ya kitovu,

-maomivu ya tumbo upande wa kulia na hata wakati mwingine maumivu ya tumbo upande wa kushoto

3) kichefuchefu / kutapika

4) matiti kuvimba na wakati mwingine kuuma

5) Joto la mwili kupanda bila mpangilio

Sasa anahitaji kubeba ujauzito ila anashindwa kupata ujauzito kabisa. Afanye nini ili arudi sawa na aweze kubeba ujauzito ?

Asanten
Akachukue watoto wa kulea vituo vya kulelea watoto yatima.
Kuna bwege litakuja kumvisha Pete huku likibubujikwa na machozi,likitaka limuoe
Fuc.k you nice guys
 
Ndugu zangu salaam sana..

Naombeni msaada wa nini kifanyike baada ya huyu mwanadada kutumia P-2 na sasa anashindwa kushika ujauzito.

Je, kuna dawa yeyote au vitu vya asili anatakiwa ameze na ale ili aweze kukaa sawa na aweze kutunga ujauzito atokane kwenye hayo madhila ya madhara ya P-2

Baada ya kutumia P 2

1) Akianza kupata siku zake ( kuona damu) hata katikati ya mzunguko wake wa hedhi ( kabla hajafikia hedhi).

- mpaka leo siku zake zimevurugika kabisa zinatokea kwa kuchelewa au kuwahi hazitabiriki

2) Alianza kuumwa na tumbo chini ya kitovu,

-maomivu ya tumbo upande wa kulia na hata wakati mwingine maumivu ya tumbo upande wa kushoto

3) kichefuchefu / kutapika

4) matiti kuvimba na wakati mwingine kuuma

5) Joto la mwili kupanda bila mpangilio

Sasa anahitaji kubeba ujauzito ila anashindwa kupata ujauzito kabisa. Afanye nini ili arudi sawa na aweze kubeba ujauzito ?

Asanten
Taarifa hazijitoshelezi, je kameza kwa muda gani?? Je ni miezi miaka, awamu au miongo kadhaaa

Na je alikuwa anameza kwa utaratibu maalum au vululu vululu kama karanga yaani weka tuweke

Je ana umri gani sasa??

Na mpaka sasa ni muda gani tokea alivyoacha mara ya mwisho kumeza??


Mengine wataongezea
 
Back
Top Bottom