Baada ya kutumia P-2 sasa anashindwa kubeba ujauzito, je afanye nini aweze kukaa sawa

Baada ya kutumia P-2 sasa anashindwa kubeba ujauzito, je afanye nini aweze kukaa sawa

Loading failed

JF-Expert Member
Joined
Sep 14, 2023
Posts
2,603
Reaction score
7,501
Ndugu zangu salaam sana..

Naombeni msaada wa nini kifanyike baada ya huyu mwanadada kutumia P-2 na sasa anashindwa kushika ujauzito.

Je, kuna dawa yeyote au vitu vya asili anatakiwa ameze na ale ili aweze kukaa sawa na aweze kutunga ujauzito atokane kwenye hayo madhila ya madhara ya P-2

Baada ya kutumia P 2

1) Akianza kupata siku zake ( kuona damu) hata katikati ya mzunguko wake wa hedhi ( kabla hajafikia hedhi).

- mpaka leo siku zake zimevurugika kabisa zinatokea kwa kuchelewa au kuwahi hazitabiriki

2) Alianza kuumwa na tumbo chini ya kitovu,

-maomivu ya tumbo upande wa kulia na hata wakati mwingine maumivu ya tumbo upande wa kushoto

3) kichefuchefu / kutapika

4) matiti kuvimba na wakati mwingine kuuma

5) Joto la mwili kupanda bila mpangilio

Sasa anahitaji kubeba ujauzito ila anashindwa kupata ujauzito kabisa. Afanye nini ili arudi sawa na aweze kubeba ujauzito ?


Natanguliza shukrani za dhati.
 
Ndugu zangu salaam sana..

Naombeni msaada wa nini kifanyike baada ya huyu mwanadada kutumia P-2 na sasa anashindwa kushika ujauzito.

Je, kuna dawa yeyote au vitu vya asili anatakiwa ameze na ale ili aweze kukaa sawa na aweze kutunga ujauzito atokane kwenye hayo madhila ya madhara ya P-2

Baada ya kutumia P 2

1) Akianza kupata siku zake ( kuona damu) hata katikati ya mzunguko wake wa hedhi ( kabla hajafikia hedhi).

- mpaka leo siku zake zimevurugika kabisa zinatokea kwa kuchelewa au kuwahi hazitabiriki

2) Alianza kuumwa na tumbo chini ya kitovu,

-maomivu ya tumbo upande wa kulia na hata wakati mwingine maumivu ya tumbo upande wa kushoto

3) kichefuchefu / kutapika

4) matiti kuvimba na wakati mwingine kuuma

5) Joto la mwili kupanda bila mpangilio

Sasa anahitaji kubeba ujauzito ila anashindwa kupata ujauzito kabisa. Afanye nini ili arudi sawa na aweze kubeba ujauzito ?


Natanguliza shukrani za dhati.
Uzinzi ni dhambi.
 
maswali ni mengi..

hiyo p2 ametumia mara ya mwisho lini??

kabla ya kutumia p2 siku zake zilikua zipo kawaida??

tangu tatizo lianze ni muda gani? amewahi kupima hormones?
 
Uzinzi ni dhambi.
Huwa nawa shangaa sana Wanawake kwanini huwa hajipi muda wa kufanya tafakari kuhusu njia za kuzuia mimba zinawalenga sana wao na sio wanaume.

Yaani wakisikia Kuna njia mpya wao bila hata kufanya critical thinking washa kwenda kujaribu,huu upumbavu huwezi sikia kwa mwanaume.
 
maswali ni mengi..

hiyo p2 ametumia mara ya mwisho lini??

kabla ya kutumia p2 siku zake zilikua zipo kawaida??

tangu tatizo lianze ni muda gani? amewahi kupima hormones?
*Mara ya mwisho katumia june 2024
  • Ndiyo siku zake zilikua kawaida
  • Tokea tatizo lianze ni miezi 8 sasa Hajawahi kupima kipimo cha hormone
 
Huwa nawa shangaa sana Wanawake kwanini huwa hajipi muda wa kufanya tafakari kuhusu njia za kuzuia mimba zinawalenga sana wao na sio wanaume.

Yaani wakisikia Kuna njia mpya wao bila hata kufanya critical thinking washa kwenda kujaribu,huu upumbavu huwezi sikia kwa mwanaume.
Watavuna walichopanda.
 
Matatizo ya kiafya kama hayo sio ya kutaftia majibu mtandaoni........... Nendeni hospital.
 
Ndugu zangu salaam sana..

Naombeni msaada wa nini kifanyike baada ya huyu mwanadada kutumia P-2 na sasa anashindwa kushika ujauzito.

Je, kuna dawa yeyote au vitu vya asili anatakiwa ameze na ale ili aweze kukaa sawa na aweze kutunga ujauzito atokane kwenye hayo madhila ya madhara ya P-2

Baada ya kutumia P 2

1) Akianza kupata siku zake ( kuona damu) hata katikati ya mzunguko wake wa hedhi ( kabla hajafikia hedhi).

- mpaka leo siku zake zimevurugika kabisa zinatokea kwa kuchelewa au kuwahi hazitabiriki

2) Alianza kuumwa na tumbo chini ya kitovu,

-maomivu ya tumbo upande wa kulia na hata wakati mwingine maumivu ya tumbo upande wa kushoto

3) kichefuchefu / kutapika

4) matiti kuvimba na wakati mwingine kuuma

5) Joto la mwili kupanda bila mpangilio

Sasa anahitaji kubeba ujauzito ila anashindwa kupata ujauzito kabisa. Afanye nini ili arudi sawa na aweze kubeba ujauzito ?


Natanguliza shukrani za dhati.
kwani lengo la kumeza hizo P2 si ilikua kuharibu mfumo wa uzazi ili asishike mimba na atafanikiwa vizuri sana,

sasa umri umeenda na tayari umeharibu via vya uzazi kwa madawa ndio unakuja kutia huruma kwa wadau humu jukwaani.

si,
ukae hivyo hivyo bila kuzaa? umenyonga zaigoti wangapi wasio na hatia?

mnaudhi sana kwakweli saa zingine,
kitu ukitake mwenyewe na ukifanye kwa siri kwa starehe zako bila kumshirikisha mtu, halafu sasa umekipata, tena unakuja kulia lia kuomba msaada baada ya kuona athari zake hadharani .


Nende kwenye hospitali iliyoko karibu nawe kwa ushauri nasaha na uchuguzi zaidi na Mungu akubariki sana,
Aimen 🙏
 
Back
Top Bottom