Baada ya kutumia P-2 sasa anashindwa kubeba ujauzito, je afanye nini aweze kukaa sawa

Baada ya kutumia P-2 sasa anashindwa kubeba ujauzito, je afanye nini aweze kukaa sawa

Ndugu zangu salaam sana..

Naombeni msaada wa nini kifanyike baada ya huyu mwanadada kutumia P-2 na sasa anashindwa kushika ujauzito.

Je, kuna dawa yeyote au vitu vya asili anatakiwa ameze na ale ili aweze kukaa sawa na aweze kutunga ujauzito atokane kwenye hayo madhila ya madhara ya P-2

Baada ya kutumia P 2

1) Akianza kupata siku zake ( kuona damu) hata katikati ya mzunguko wake wa hedhi ( kabla hajafikia hedhi).

- mpaka leo siku zake zimevurugika kabisa zinatokea kwa kuchelewa au kuwahi hazitabiriki

2) Alianza kuumwa na tumbo chini ya kitovu,

-maomivu ya tumbo upande wa kulia na hata wakati mwingine maumivu ya tumbo upande wa kushoto

3) kichefuchefu / kutapika

4) matiti kuvimba na wakati mwingine kuuma

5) Joto la mwili kupanda bila mpangilio

Sasa anahitaji kubeba ujauzito ila anashindwa kupata ujauzito kabisa. Afanye nini ili arudi sawa na aweze kubeba ujauzito ?


Natanguliza shukrani za dhati.

Aende hospitali akaonwe na daktari bingwa wa kina mama na uzazi (obstetrician and gynecologist) ili afanyiwe uchunguzi na vipimo ili apatiwe matibabu sahihi.

Kila la kheri.
 
Ndugu zangu salaam sana..

Naombeni msaada wa nini kifanyike baada ya huyu mwanadada kutumia P-2 na sasa anashindwa kushika ujauzito.

Je, kuna dawa yeyote au vitu vya asili anatakiwa ameze na ale ili aweze kukaa sawa na aweze kutunga ujauzito atokane kwenye hayo madhila ya madhara ya P-2

Baada ya kutumia P 2

1) Akianza kupata siku zake ( kuona damu) hata katikati ya mzunguko wake wa hedhi ( kabla hajafikia hedhi).

- mpaka leo siku zake zimevurugika kabisa zinatokea kwa kuchelewa au kuwahi hazitabiriki

2) Alianza kuumwa na tumbo chini ya kitovu,

-maomivu ya tumbo upande wa kulia na hata wakati mwingine maumivu ya tumbo upande wa kushoto

3) kichefuchefu / kutapika

4) matiti kuvimba na wakati mwingine kuuma

5) Joto la mwili kupanda bila mpangilio

Sasa anahitaji kubeba ujauzito ila anashindwa kupata ujauzito kabisa. Afanye nini ili arudi sawa na aweze kubeba ujauzito ?


Natanguliza shukrani za dhati.
Mkuu umefanya utafiti gani kujua kuwa chanzo ni P-2? Wewe ni mchunguzi wa masuala ya uzazi?
 
Habari

P2 ni njia ya uzazi wa mpango ya dharula, haitakiwi kutumiwa kama njia ya uzazi wa mpango ya muda mrefu (ilipaswa atumie njia nyingine baada ya kushauriwa na wataalamu katika kliniki za uzazi wa mpango, hospitalini)

P2 ina changamoto ya kubadilisha mzunguko wa hedhi kwa muda mfupi, si zaidi ya miezi mitatu kawaida, isipokuwa kama imetumika mara nyingi mfululizo.

Dalili unazotaja, haziendani na madhara ya P2 peke yake, Kuna uwezekano mkubwa ana matatizo mengine yanayochangia.

Ushauri:
  • Aache kutumia P2 kwa sasa
  • Aonane na Bingwa wa magonjwa ya kinamama (Obstetrician & Gynecologist)
  • Ikiwa si rahisi kumpata huyo,afike tu hospitali iliyopo karibu kwa vipimo na ushauri wa kitaalamu
 
Ndugu zangu salaam sana..

Naombeni msaada wa nini kifanyike baada ya huyu mwanadada kutumia P-2 na sasa anashindwa kushika ujauzito.

Je, kuna dawa yeyote au vitu vya asili anatakiwa ameze na ale ili aweze kukaa sawa na aweze kutunga ujauzito atokane kwenye hayo madhila ya madhara ya P-2

Baada ya kutumia P 2

1) Akianza kupata siku zake ( kuona damu) hata katikati ya mzunguko wake wa hedhi ( kabla hajafikia hedhi).

- mpaka leo siku zake zimevurugika kabisa zinatokea kwa kuchelewa au kuwahi hazitabiriki

2) Alianza kuumwa na tumbo chini ya kitovu,

-maomivu ya tumbo upande wa kulia na hata wakati mwingine maumivu ya tumbo upande wa kushoto

3) kichefuchefu / kutapika

4) matiti kuvimba na wakati mwingine kuuma

5) Joto la mwili kupanda bila mpangilio

Sasa anahitaji kubeba ujauzito ila anashindwa kupata ujauzito kabisa. Afanye nini ili arudi sawa na aweze kubeba ujauzito ?


Natanguliza shukrani za dhati.
Apambane na hali yake
 
Atumie MP4 avuruge na siku zake za mwaka kabisa..
 
Back
Top Bottom