Ilitarakimura
JF-Expert Member
- Feb 7, 2016
- 2,505
- 1,645
Huyu ni mzima kwel mkuu?,ndiyo maana mimi sipendi kufanyia mapenz gizaniWakuu nawaambia ukweli msipende kugegeda warembo msiowajua gizani aisee mtakuja kugegeda majini nawaambia
Huu mzigo nilichota counter baa moja hivi hapa town nikatoka nao hadi geto ile kufika tu kwenda kuoga na kurudi mtoto hataki taa iwashwe eti anataka show gizani kama siwezi asepe
Nikamwambia bia zangu umekunywa na pesa umechukua hapa kutoa ni lazima
Mtoto ile kumvua tu ana ngozi kama kibao chakukatia kashata niliishiwa nguvu nikazimia
![]()
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app