Baada ya kuufikisha huu mzigo geto nimeishiwa nguvu nikazimia ghafla

Baada ya kuufikisha huu mzigo geto nimeishiwa nguvu nikazimia ghafla

Wakuu nawaambia ukweli msipende kugegeda warembo msiowajua gizani aisee mtakuja kugegeda majini nawaambia

Huu mzigo nilichota counter baa moja hivi hapa town nikatoka nao hadi geto ile kufika tu kwenda kuoga na kurudi mtoto hataki taa iwashwe eti anataka show gizani kama siwezi asepe

Nikamwambia bia zangu umekunywa na pesa umechukua hapa kutoa ni lazima

Mtoto ile kumvua tu ana ngozi kama kibao chakukatia kashata niliishiwa nguvu nikazimia
c71c69b446aeb281b0fb4e098195c1e0.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
Huyu ni mzima kwel mkuu?,ndiyo maana mimi sipendi kufanyia mapenz gizani

Sent using Jamii Forums mobile app
 
ebu futa hilo neno Mtoto ..maana huyo hafai kuitwa hivyo
 
Hyo tabia ya kuparamia barmade unayo peke ako umu

rap beast
 
Nmeishiatu kucheka yan[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]

Triple A
 
Kuna watu wana moyo kweli demu wa kuokota bar unampeleka ghetto kwako ukipigwa uje kulia lia hapa.

Sent from my Compaq desktop-1997 Using Jamiiforums desktop app
 
Uyu jamaa ni mwongo sana iyo picha ni siku nyingi ilishapostiwa kwenye social medias tena nakumbuka ilikua inafananishwa na chapati

sent from kuzimu
Chapati za kumimina au kusukuma...[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Hiv bado watu wanachkua madem wauza k had leo,yaan i mean official k sellers,?au bar maids?..hiv wanawake wote hawa unakosaje dem?mnajitakia aisee
Kwa maisha ya sasa wengi sana wauzaji, sema kila mwananke na mbinu zake za uuzaji
 
So Ulipozimia akachukua simu yako akajipiga selfie miguuni and then akakuachia simu akaondoka zake?
 
Back
Top Bottom