Tumia samsung wewe acha utani. Tafuta A series yeyote above A50Niaje
Maumivu yameisha ila simu haikuwahi kunisumbua kwa chochote bado iko good kwa kila idara sanasana upande wa cameraView attachment 2641532
sema kuna ngosha mmoja katokea kaielewa anataka kunipa 400kView attachment 2641543
hapo ninampango niongezeze 300k ili itimie 700k sasa nataka mnishauri ni mkwaju gani wenye akili timamu nikauvute kwa hiyo 700k mashariti iwe na uwezo wa kucheza games bila shida yoyote alafu iwe ina kaa na chaji vizuri iwe mpya maana simu mpya ni mara chache sana kuikuta na matatizo tofauti na zile za used from UAE
chukua Redmi note 12 turboNiaje
Maumivu yameisha ila simu haikuwahi kunisumbua kwa chochote bado iko good kwa kila idara sanasana upande wa cameraView attachment 2641532
sema kuna ngosha mmoja katokea kaielewa anataka kunipa 400kView attachment 2641543
hapo ninampango niongezeze 300k ili itimie 700k sasa nataka mnishauri ni mkwaju gani wenye akili timamu nikauvute kwa hiyo 700k mashariti iwe na uwezo wa kucheza games bila shida yoyote alafu iwe ina kaa na chaji vizuri iwe mpya maana simu mpya ni mara chache sana kuikuta na matatizo tofauti na zile za used from UAE
sasa Huawei ni gharama man..Mchina ninayemkubali ni mmoja tu, yaani, huawei.
Hiyo 700k anapata huawei inayomtosha. Ila Infinix kwa 700k nimecheka hadi mbavi zinauma!!!sasa Huawei ni gharama man..
Huawei gani [emoji848][emoji848]Hiyo 700k anapata huawei inayomtosha. Ila Infinix kwa 700k nimecheka hadi mbavi zinauma!!!
Huawei gani hiyo boss?Hiyo 700k anapata huawei inayomtosha. Ila Infinix kwa 700k nimecheka hadi mbavi zinauma!!!
Yaani umenunua 700 unauza 400 tena kwa ngosha, piga huyo msukuma 1mNiaje
Maumivu yameisha ila simu haikuwahi kunisumbua kwa chochote bado iko good kwa kila idara sanasana upande wa cameraView attachment 2641532
sema kuna ngosha mmoja katokea kaielewa anataka kunipa 400kView attachment 2641543
hapo ninampango niongezeze 300k ili itimie 700k sasa nataka mnishauri ni mkwaju gani wenye akili timamu nikauvute kwa hiyo 700k mashariti iwe na uwezo wa kucheza games bila shida yoyote alafu iwe ina kaa na chaji vizuri iwe mpya maana simu mpya ni mara chache sana kuikuta na matatizo tofauti na zile za used from UAE
No commentNiaje
Maumivu yameisha ila simu haikuwahi kunisumbua kwa chochote bado iko good kwa kila idara sanasana upande wa cameraView attachment 2641532
sema kuna ngosha mmoja katokea kaielewa anataka kunipa 400kView attachment 2641543
hapo ninampango niongezeze 300k ili itimie 700k sasa nataka mnishauri ni mkwaju gani wenye akili timamu nikauvute kwa hiyo 700k mashariti iwe na uwezo wa kucheza games bila shida yoyote alafu iwe ina kaa na chaji vizuri iwe mpya maana simu mpya ni mara chache sana kuikuta na matatizo tofauti na zile za used from UAE
HAikidhi mahitaji yake by specificationChukua Samsung Galaxy S10e China Mpya Inauzwa 420000/= Unapata Na Bonus Wireless Charger, Earbud
Pesa Inabaki Ya Voucher Na Mengine Yanaendelea