Baada ya kuvunjwa kwa jiji la Dar, Serikali ipitie upya viongozi hawa

Baada ya kuvunjwa kwa jiji la Dar, Serikali ipitie upya viongozi hawa

peno hasegawa

JF-Expert Member
Joined
Feb 24, 2016
Posts
14,255
Reaction score
23,949
Baada ya Rais kulivunja jiji la Dar, nini hatima ya meneja wa Tanesco mkoa wa Kinondoni, Ilala, na Temeke? Nini hatima ya RPC mkoa wa Kinondoni, Ilala na Temeke?

Nini hatima ya meneja wa TRA mkoa wa Kinondoni, Ilala na Temeke? Je, ni nini hatima za wakuu wa idara za Halmashauri mfano afisa elimu msingi na afisa elimu sekondari ndani ya Manispaa moja? Ni nini hatima ya mkuu wa idara ya mipango na mkuu wa idara ya fedha ndani ya Halmashauri moja?

Ni nini hatima ya mkuu wa idara ya afya na mkuu wa idara ya maendeleo ya jamii ndani ya Halmashauri moja?

Hawa ni baadhi tu ya watumishi wanaolipwa mishahara mikubwa bure na serikali kwa kuongeza milolongo ya vyeo visivyo na tija
 
Uko kwenye daladala soma kilichoandikwa ukiwa umetulia
Hizi taasisi za Serikali zinajitegemea kimamlaka, vinginevyo hufuata mgasnyo wa serikali kuu (Wilaya). Hivyohaziobgozwi na Halmashauri. Kwa hiyo wataendelea na majukumu cha on kaka kawaida ukizingattia dsm ni ndogo kieneo lakkn idadi ya wahudumiwa ni zaidi ya wahudumiwa wa mikanda 5 ya tz
 
Hao walikua na mifumo yao miaka na miaka, umejiuliza kwanini Tarime inaitwa kanda maalumu ilihali Tarime is just wilaya tu? Umewahi kujiuliza kwanini serikali haiamini katika KANDA halafu baadhi ya taasisi zake zinaendeshwa kikanda?

Mfano TBS, BOT nk, same same na Police, Tanesco, TRA; hizo ni taasisi si za kisiasa
 
Polisi na TRA nao walikuwa sehemu ya staff wa jij

Hao walikua na mifumo yao miaka na miaka, umejiuliza kwanini Tarime inaitwa kanda maalumu ilihali Tarime is just wilaya tu? Umewahi kujiuliza kwanini serikali haiamini katika KANDA halafu baadhi ya taasisi zake zinaendeshwa kikanda? Mfano TBS, BOT nk, same same na Police, Tanesco, TRA; hizo ni taasisi si za kisiasa
Umesahau kutaja taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) mkoa wa Kinondoni, Ilala na Temeke ipo pia.
 
Hivi wewe kweli ni Mtanzania? Unafahamu muundo wa utawala nchi hii? Hivi unaelewa ulichoandika na kuhoji?
 
Dah rudi shule, hasa kidato cha pili utaelewa vizuri sana Muundo wa serekali za mitaa.
 
Hao walikua na mifumo yao miaka na miaka, umejiuliza kwanini Tarime inaitwa kanda maalumu ilihali Tarime is just wilaya tu? Umewahi kujiuliza kwanini serikali haiamini katika KANDA halafu baadhi ya taasisi zake zinaendeshwa kikanda? Mfano TBS, BOT nk, same same na Police, Tanesco, TRA; hizo ni taasisi si za kisiasa
Waziri, mh lukuvi aliweza kufahamu maradhara ya ofisi za msajili wa aridh za kanda na kuzifuta .ofisi hizo zilikuwa vichaka vya uonevu,rushwa na upigaji wa deal. Sasa nchi imetulia. Huko mnakoxilinda ofisi ya RPC temeke, kinondoni na kuwa na RPC wa Dar, ni yale yale ya kuwa na meya wa jiji
 
Nadhani hii ni taharuki tu! hao wataendelea kuwepo na hali hii ya ujiji na uhalmasgauri hauna madhara yoyote mkuu, uwe na amani na nafasi yako
 
Kuna ofisi za uwekezaji kanda nazo ni ofisi zisizojua zinafanya nini na hazina tija kwa Watanzania.
 
Back
Top Bottom