Baada ya kuvunjwa kwa jiji la Dar, Serikali ipitie upya viongozi hawa

Baada ya kuvunjwa kwa jiji la Dar, Serikali ipitie upya viongozi hawa

Kuvunjwa kwa jiji la Dsm kuende sambamba na kuivunja serikali kuu ili kuitisha uchaguzi mkuu mwingine ulio huru na haki.
Huu ndiyo ukweli. Tusidanganyane, mfalme yu uchi, hakubaliki na udhaifu wake unaonekana na kila mtu.
Hayupo asiyejua kwamba uchaguzi wa mwaka jana haukuwa uchaguzi bali ni UCHAFUZI
 
Hizi taasisi za Serikali zinajitegemea kimamlaka, vinginevyo hufuata mgasnyo wa serikali kuu (Wilaya). Hivyohaziobgozwi na Halmashauri. Kwa hiyo wataendelea na majukumu cha on kaka kawaida ukizingattia dsm ni ndogo kieneo lakkn idadi ya wahudumiwa ni zaidi ya wahudumiwa wa mikanda 5 ya tz
jamaa amejaa pumba kichwani
 
Wakati mwingine ni busara kukaa kimya.
 
Baada ya Rais kulivunja jiji la Dar, nini hatima ya meneja wa Tanesco mkoa wa Kinondoni, Ilala, na Temeke? Nini hatima ya RPC mkoa wa Kinondoni, Ilala na Temeke?

Nini hatima ya meneja wa TRA mkoa wa Kinondoni, Ilala na Temeke? Je, ni nini hatima za wakuu wa idara za Halmashauri mfano afisa elimu msingi na afisa elimu sekondari ndani ya Manispaa moja? Ni nini hatima ya mkuu wa idara ya mipango na mkuu wa idara ya fedha ndani ya Halmashauri moja?

Ni nini hatima ya mkuu wa idara ya afya na mkuu wa idara ya maendeleo ya jamii ndani ya Halmashauri moja?

Hawa ni baadhi tu ya watumishi wanaolipwa mishahara mikubwa bure na serikali kwa kuongeza milolongo ya vyeo visivyo na tija
Mkuu naona hujajua vizuri, hakuna halmashauri iliyovunjwa kwa hiyo watumishi wote wataendelea kwenye nafasi zao zilezile na halmashauri zilezile.
Hata wa Ilala watabaki vilevile, kilichobadilika ni jina tu kutoka Ilala Manispaa na kuwa Jiji lakini watu kwenye nafasi zao hazitabadilika.
 
Mkuu naona hujajua vizuri, hakuna halmashauri iliyovunjwa kwa hiyo watumishi wote wataendelea kwenye nafasi zao zilezile na halmashauri zilezile.
Hata wa Ilala watabaki vilevile, kilichobadilika ni jina tu kutoka Ilala Manispaa na kuwa Jiji lakini watu kwenye nafasi zao hazitabadilika.
Kwa unachokisema basi dhumuni la kubana matumizi linakuwa halijatimia.
 
Baada ya Rais kulivunja jiji la Dar, nini hatima ya meneja wa Tanesco mkoa wa Kinondoni, Ilala, na Temeke? Nini hatima ya RPC mkoa wa Kinondoni, Ilala na Temeke?

Nini hatima ya meneja wa TRA mkoa wa Kinondoni, Ilala na Temeke? Je, ni nini hatima za wakuu wa idara za Halmashauri mfano afisa elimu msingi na afisa elimu sekondari ndani ya Manispaa moja? Ni nini hatima ya mkuu wa idara ya mipango na mkuu wa idara ya fedha ndani ya Halmashauri moja?

Ni nini hatima ya mkuu wa idara ya afya na mkuu wa idara ya maendeleo ya jamii ndani ya Halmashauri moja?

Hawa ni baadhi tu ya watumishi wanaolipwa mishahara mikubwa bure na serikali kwa kuongeza milolongo ya vyeo visivyo na tija

Yaani wewe umechanganya mambo balaa

Kuna serikali kuu( Central government) na pia kuna serikali za mitaa( local government)

Halmashauri zote ni local government
 
Wengi uliotaja, kama RPC wapo chini ya serikali kuu kupitia wizara husika, mashirika kama Tanesco na TRA na yenyewe yapo central government kupitia wizara husika, hao walio chini ya mamlaka ya halmashauri watajua wenyewe namna watakavyojipanga..
 
Baada ya Rais kulivunja jiji la Dar, nini hatima ya meneja wa Tanesco mkoa wa Kinondoni, Ilala, na Temeke? Nini hatima ya RPC mkoa wa Kinondoni, Ilala na Temeke?

Nini hatima ya meneja wa TRA mkoa wa Kinondoni, Ilala na Temeke? Je, ni nini hatima za wakuu wa idara za Halmashauri mfano afisa elimu msingi na afisa elimu sekondari ndani ya Manispaa moja? Ni nini hatima ya mkuu wa idara ya mipango na mkuu wa idara ya fedha ndani ya Halmashauri moja?

Ni nini hatima ya mkuu wa idara ya afya na mkuu wa idara ya maendeleo ya jamii ndani ya Halmashauri moja?

Hawa ni baadhi tu ya watumishi wanaolipwa mishahara mikubwa bure na serikali kwa kuongeza milolongo ya vyeo visivyo na tija
Bavicha mna matatizo sana
 
Back
Top Bottom