Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 95,871
- 116,627
Wengi huwa hawajuiπππππππ Kukurupuka huku. Kumbe kuna Watu wanashindwa kutofautisha kati ya Halmashauri ya Jiji na Mkoa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wengi huwa hawajuiπππππππ Kukurupuka huku. Kumbe kuna Watu wanashindwa kutofautisha kati ya Halmashauri ya Jiji na Mkoa.
Huyu hana tofauti na KabudiUmesahau kutaja taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) mkoa wa Kinondoni, Ilala na Temeke ipo pia.
Huu ndiyo ukweli. Tusidanganyane, mfalme yu uchi, hakubaliki na udhaifu wake unaonekana na kila mtu.Kuvunjwa kwa jiji la Dsm kuende sambamba na kuivunja serikali kuu ili kuitisha uchaguzi mkuu mwingine ulio huru na haki.
jamaa amejaa pumba kichwaniHizi taasisi za Serikali zinajitegemea kimamlaka, vinginevyo hufuata mgasnyo wa serikali kuu (Wilaya). Hivyohaziobgozwi na Halmashauri. Kwa hiyo wataendelea na majukumu cha on kaka kawaida ukizingattia dsm ni ndogo kieneo lakkn idadi ya wahudumiwa ni zaidi ya wahudumiwa wa mikanda 5 ya tz
Mkuu naona hujajua vizuri, hakuna halmashauri iliyovunjwa kwa hiyo watumishi wote wataendelea kwenye nafasi zao zilezile na halmashauri zilezile.Baada ya Rais kulivunja jiji la Dar, nini hatima ya meneja wa Tanesco mkoa wa Kinondoni, Ilala, na Temeke? Nini hatima ya RPC mkoa wa Kinondoni, Ilala na Temeke?
Nini hatima ya meneja wa TRA mkoa wa Kinondoni, Ilala na Temeke? Je, ni nini hatima za wakuu wa idara za Halmashauri mfano afisa elimu msingi na afisa elimu sekondari ndani ya Manispaa moja? Ni nini hatima ya mkuu wa idara ya mipango na mkuu wa idara ya fedha ndani ya Halmashauri moja?
Ni nini hatima ya mkuu wa idara ya afya na mkuu wa idara ya maendeleo ya jamii ndani ya Halmashauri moja?
Hawa ni baadhi tu ya watumishi wanaolipwa mishahara mikubwa bure na serikali kwa kuongeza milolongo ya vyeo visivyo na tija
Kwa unachokisema basi dhumuni la kubana matumizi linakuwa halijatimia.Mkuu naona hujajua vizuri, hakuna halmashauri iliyovunjwa kwa hiyo watumishi wote wataendelea kwenye nafasi zao zilezile na halmashauri zilezile.
Hata wa Ilala watabaki vilevile, kilichobadilika ni jina tu kutoka Ilala Manispaa na kuwa Jiji lakini watu kwenye nafasi zao hazitabadilika.
Baada ya Rais kulivunja jiji la Dar, nini hatima ya meneja wa Tanesco mkoa wa Kinondoni, Ilala, na Temeke? Nini hatima ya RPC mkoa wa Kinondoni, Ilala na Temeke?
Nini hatima ya meneja wa TRA mkoa wa Kinondoni, Ilala na Temeke? Je, ni nini hatima za wakuu wa idara za Halmashauri mfano afisa elimu msingi na afisa elimu sekondari ndani ya Manispaa moja? Ni nini hatima ya mkuu wa idara ya mipango na mkuu wa idara ya fedha ndani ya Halmashauri moja?
Ni nini hatima ya mkuu wa idara ya afya na mkuu wa idara ya maendeleo ya jamii ndani ya Halmashauri moja?
Hawa ni baadhi tu ya watumishi wanaolipwa mishahara mikubwa bure na serikali kwa kuongeza milolongo ya vyeo visivyo na tija
Ndiyo vijana wa Bavicha haoPolisi na TRA nao walikuwa sehemu ya staff wa jiji?
Bavicha mna matatizo sanaBaada ya Rais kulivunja jiji la Dar, nini hatima ya meneja wa Tanesco mkoa wa Kinondoni, Ilala, na Temeke? Nini hatima ya RPC mkoa wa Kinondoni, Ilala na Temeke?
Nini hatima ya meneja wa TRA mkoa wa Kinondoni, Ilala na Temeke? Je, ni nini hatima za wakuu wa idara za Halmashauri mfano afisa elimu msingi na afisa elimu sekondari ndani ya Manispaa moja? Ni nini hatima ya mkuu wa idara ya mipango na mkuu wa idara ya fedha ndani ya Halmashauri moja?
Ni nini hatima ya mkuu wa idara ya afya na mkuu wa idara ya maendeleo ya jamii ndani ya Halmashauri moja?
Hawa ni baadhi tu ya watumishi wanaolipwa mishahara mikubwa bure na serikali kwa kuongeza milolongo ya vyeo visivyo na tija
Hiyo mifumo miwili tofauti yenye mahusianoUko kwenye daladala soma kilichoandikwa ukiwa umetulia