Baada ya kuwakemea wachungaji, mitume na manabii wa kihuni, sasa zamu yenu Masheikh na Maustadhi wahuni

Baada ya kuwakemea wachungaji, mitume na manabii wa kihuni, sasa zamu yenu Masheikh na Maustadhi wahuni

Umeshau point ya msingi sana
~Wanawabaka na kuwanajisi sana mabinti kule madrasa, kesi za maustadhi na mashekhe kuwafanyia wanafunzi wao vitendo visivyofaa zimeripotiwa sana lkn cha ajabu hawakomi.

Sent from my SM-A105F using JamiiForums mobile app
 
Siku hiz wanasema mgonjwa ana damu chafu, Kuna kadudu kamoja kako Nkuhungu wenyewe wanakasifia kweli kila anayekwenda pale jibu ni damu chafu yaani, sielewi kwa Nini hawaendi kwenye hospitali na zahanati za serikali wao hawanashida ya kumdanganya mgonjwa maana mwisho wa mwezi wana mshahara kutoka serikali, sio hospitali binafsi ni lazima wadanganye ili walipe/walipwe mshahara kupitia mgonjwa.
Mambo ya kihuni sana
 
Habari!

Binafsi Mimi ni Mkristo, charismatic christian, situmbishwi na ninachokiamini kwakuwa nimekithibitisha.

Kwasababu ya ukosefu wa ajira, kufukuzwa kazi, uvuvi , tamaa ya pesa na sifa basi watu wengi wamefungua huduma au wameingia kwenye huduma za Kichungaji, kinabii, kitume, kiinjilisti na ualimu.

Lakini mioyo yao Iko mbali na Mungu.
Ni wazinzi wa kutupwa, hutumia sadaka kwa anasa na wengine ni walevi.

Sasa hawa tumewasema vya kutosha na tutaendelea kuwasema na kuwakemea bila hofu. Maana waumini wao wakisia unawasema wanakwambia utapata laana kwa kumsema mpakwa mafuta.

Mpakwa mafuta ya nguruwe?

Sasa zamu yenu masheikh
Kuna masheikh na maustadhi wakisoma kidogo tu hugeuka kuwa wavivu na kuanza kujigeuza waganga wa kienyeji. Ni wazinzi, wachawi, waongo na wahuni waliojificha kwenye mgongo wa dini. Acheni tabia hiyo.

Wengine mnajuficha kwenye mgongo wa Dua. Acheni uhuni tafuteni kazi halali. Kwani ni nani aliyewaambia kuwa Quran inafundisha uvivu?

Wilaya niliyotoka kila kijana aliyesoma Quran akirudi nyumbani hugeuka mganga. Tumieni hiyo ELIMU ya Quran kuelimisha jamii na kuwa kielelezo cha tabia njema.
Acheni uhuni.
Bora umeliona hilo..waganga wengi mjini ni wavaa kobazi..halafu eti dini ya haki..wakati uchawi mtupu.

Madrasa nako wanahalibu vibinti..na vijana wadogo wanawageuza..absurd.

#MaendeleoHayanaChama
 
Pele kiranja wa Masheikh anapokuwa mhuni mkuu,hapa ni Magufuli enzi za uhai wake alikuwa anaambiwa kuwa yeye ni mkubwa kuliko Mungu,Yesu na mtume😁😁😁
 
Kuna mashehe nao wanauza mafuta ya upako wameiga mitume na manabii.
 
Siku hiz wanasema mgonjwa ana damu chafu, Kuna kadudu kamoja kako Nkuhungu wenyewe wanakasifia kweli kila anayekwenda pale jibu ni damu chafu yaani, sielewi kwa Nini hawaendi kwenye hospitali na zahanati za serikali wao hawanashida ya kumdanganya mgonjwa maana mwisho wa mwezi wana mshahara kutoka serikali, sio hospitali binafsi ni lazima wadanganye ili walipe/walipwe mshahara kupitia mgonjwa.

Daah asee nilipigwa niliambiwa nina damu chafu nikatundukiwa drip 4 nikachoma sindano mbili lile file la matibabu wakabaki nalo palepale bili ikaja 54000 nikaomba wanipunguzie kwasababu nilikuaa na 51000 nikalipa ya daah
 
Umeshau point ya msingi sana
~Wanawabaka na kuwanajisi sana mabinti kule madrasa, kesi za maustadhi na mashekhe kuwafanyia wanafunzi wao vitendo visivyofaa zimeripotiwa sana lkn cha ajabu hawakomi.

Sent from my SM-A105F using JamiiForums mobile app
Kuna watoto wa kubakwa siku hizi au hawakukubaliana tu? Mtoto mdogo bado yupo shule unakuta katoa mimba zaidi ya mara mbili.
 
Habari!

Binafsi Mimi ni Mkristo, charismatic christian, situmbishwi na ninachokiamini kwakuwa nimekithibitisha.

Kwasababu ya ukosefu wa ajira, kufukuzwa kazi, uvuvi , tamaa ya pesa na sifa basi watu wengi wamefungua huduma au wameingia kwenye huduma za Kichungaji, kinabii, kitume, kiinjilisti na ualimu.

Lakini mioyo yao Iko mbali na Mungu.
Ni wazinzi wa kutupwa, hutumia sadaka kwa anasa na wengine ni walevi.

Sasa hawa tumewasema vya kutosha na tutaendelea kuwasema na kuwakemea bila hofu. Maana waumini wao wakisia unawasema wanakwambia utapata laana kwa kumsema mpakwa mafuta.

Mpakwa mafuta ya nguruwe?

Sasa zamu yenu masheikh
Kuna masheikh na maustadhi wakisoma kidogo tu hugeuka kuwa wavivu na kuanza kujigeuza waganga wa kienyeji. Ni wazinzi, wachawi, waongo na wahuni waliojificha kwenye mgongo wa dini. Acheni tabia hiyo.

Wengine mnajuficha kwenye mgongo wa Dua. Acheni uhuni tafuteni kazi halali. Kwani ni nani aliyewaambia kuwa Quran inafundisha uvivu?

Wilaya niliyotoka kila kijana aliyesoma Quran akirudi nyumbani hugeuka mganga. Tumieni hiyo ELIMU ya Quran kuelimisha jamii na kuwa kielelezo cha tabia njema.
Acheni uhuni.
Hili chaka hili mmh[emoji1550][emoji1550][emoji1550][emoji1550]
 
Back
Top Bottom