Mambo ya kihuni sanaSiku hiz wanasema mgonjwa ana damu chafu, Kuna kadudu kamoja kako Nkuhungu wenyewe wanakasifia kweli kila anayekwenda pale jibu ni damu chafu yaani, sielewi kwa Nini hawaendi kwenye hospitali na zahanati za serikali wao hawanashida ya kumdanganya mgonjwa maana mwisho wa mwezi wana mshahara kutoka serikali, sio hospitali binafsi ni lazima wadanganye ili walipe/walipwe mshahara kupitia mgonjwa.
Bora umeliona hilo..waganga wengi mjini ni wavaa kobazi..halafu eti dini ya haki..wakati uchawi mtupu.Habari!
Binafsi Mimi ni Mkristo, charismatic christian, situmbishwi na ninachokiamini kwakuwa nimekithibitisha.
Kwasababu ya ukosefu wa ajira, kufukuzwa kazi, uvuvi , tamaa ya pesa na sifa basi watu wengi wamefungua huduma au wameingia kwenye huduma za Kichungaji, kinabii, kitume, kiinjilisti na ualimu.
Lakini mioyo yao Iko mbali na Mungu.
Ni wazinzi wa kutupwa, hutumia sadaka kwa anasa na wengine ni walevi.
Sasa hawa tumewasema vya kutosha na tutaendelea kuwasema na kuwakemea bila hofu. Maana waumini wao wakisia unawasema wanakwambia utapata laana kwa kumsema mpakwa mafuta.
Mpakwa mafuta ya nguruwe?
Sasa zamu yenu masheikh
Kuna masheikh na maustadhi wakisoma kidogo tu hugeuka kuwa wavivu na kuanza kujigeuza waganga wa kienyeji. Ni wazinzi, wachawi, waongo na wahuni waliojificha kwenye mgongo wa dini. Acheni tabia hiyo.
Wengine mnajuficha kwenye mgongo wa Dua. Acheni uhuni tafuteni kazi halali. Kwani ni nani aliyewaambia kuwa Quran inafundisha uvivu?
Wilaya niliyotoka kila kijana aliyesoma Quran akirudi nyumbani hugeuka mganga. Tumieni hiyo ELIMU ya Quran kuelimisha jamii na kuwa kielelezo cha tabia njema.
Acheni uhuni.
Kumbe wao wanauza ile mipeete ya rangi ya slva..yenye kito..ndio kazi zao wezi kama wezi wengine kwa mgongo wa dini."shekhe Abdullah natibu majini na pete za bahati inshaaalha utapona"
Wavaa makobazi wahuni Sana.
Walishindwa kwa mange..mpaka leo mange anadunda usa.Shauri zako! Watakusomea Albadir!!
Hawawezi isha sababu wateja wapo.Ninawachana ukweli.
Waache uhuni
Yule sheikh pilau ni mpuuzi sanaKuna yule shehe wa ccm alimkana bashite baada ya bashite mfumo kumtupa.
Tena alimkana bashite hata kabla jogoo ajawikaYule sheikh pilau ni mpuuzi sana
Alikuwa anamsifia Bashite na Bashite alipofukuzwa nyumbani kwao naye akaanza kumkana
Basi tumwite Petro yule sheikhTena alimkana bashite hata kabla jogoo ajawika
Siku hiz wanasema mgonjwa ana damu chafu, Kuna kadudu kamoja kako Nkuhungu wenyewe wanakasifia kweli kila anayekwenda pale jibu ni damu chafu yaani, sielewi kwa Nini hawaendi kwenye hospitali na zahanati za serikali wao hawanashida ya kumdanganya mgonjwa maana mwisho wa mwezi wana mshahara kutoka serikali, sio hospitali binafsi ni lazima wadanganye ili walipe/walipwe mshahara kupitia mgonjwa.
Lini utakuja kuwasema hawa wanaodai wanaamini Mungu wa kweli?Waishie zao huko.
Hakuna jini wala Ahli Lbadr itaweza kunifanya chochote.
Nimevisoma sana hivyo vitu nimeamua kumgeukia Mungu wa kweli sasa
Kuna watoto wa kubakwa siku hizi au hawakukubaliana tu? Mtoto mdogo bado yupo shule unakuta katoa mimba zaidi ya mara mbili.Umeshau point ya msingi sana
~Wanawabaka na kuwanajisi sana mabinti kule madrasa, kesi za maustadhi na mashekhe kuwafanyia wanafunzi wao vitendo visivyofaa zimeripotiwa sana lkn cha ajabu hawakomi.
Sent from my SM-A105F using JamiiForums mobile app
Hili chaka hili mmh[emoji1550][emoji1550][emoji1550][emoji1550]Habari!
Binafsi Mimi ni Mkristo, charismatic christian, situmbishwi na ninachokiamini kwakuwa nimekithibitisha.
Kwasababu ya ukosefu wa ajira, kufukuzwa kazi, uvuvi , tamaa ya pesa na sifa basi watu wengi wamefungua huduma au wameingia kwenye huduma za Kichungaji, kinabii, kitume, kiinjilisti na ualimu.
Lakini mioyo yao Iko mbali na Mungu.
Ni wazinzi wa kutupwa, hutumia sadaka kwa anasa na wengine ni walevi.
Sasa hawa tumewasema vya kutosha na tutaendelea kuwasema na kuwakemea bila hofu. Maana waumini wao wakisia unawasema wanakwambia utapata laana kwa kumsema mpakwa mafuta.
Mpakwa mafuta ya nguruwe?
Sasa zamu yenu masheikh
Kuna masheikh na maustadhi wakisoma kidogo tu hugeuka kuwa wavivu na kuanza kujigeuza waganga wa kienyeji. Ni wazinzi, wachawi, waongo na wahuni waliojificha kwenye mgongo wa dini. Acheni tabia hiyo.
Wengine mnajuficha kwenye mgongo wa Dua. Acheni uhuni tafuteni kazi halali. Kwani ni nani aliyewaambia kuwa Quran inafundisha uvivu?
Wilaya niliyotoka kila kijana aliyesoma Quran akirudi nyumbani hugeuka mganga. Tumieni hiyo ELIMU ya Quran kuelimisha jamii na kuwa kielelezo cha tabia njema.
Acheni uhuni.
Hao mitume ndio hununua mafuta kwa masheikh na kuyaita mafuta ya upako,navyojua.Kuna mashehe nao wanauza mafuta ya upako wameiga mitume na manabii.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Shauri zako! Watakusomea Albadir!!
Mashehe uyatoa wapiHao mitume ndio hununua mafuta kwa masheikh na kuyaita mafuta ya upako,navyojua.
SoonLini utakuja kuwasema hawa wanaodai wanaamini Mungu wa kweli?