Baada ya kuwasikiliza na kutafakari sana naunga mkono hoja za wazee wa Simba kwa asilimia 100%

Baada ya kuwasikiliza na kutafakari sana naunga mkono hoja za wazee wa Simba kwa asilimia 100%

Mimi siungi mkono kikao cha hao wazee, pendekezo langu wangefanya kimya kimya kumfinya huyu Ramadhan Kayoko aliyetunyonga, ikifaanyika hivi kwa marefa kama watatu wengine watakoma huu ujinga na kuzingatia sheria za mpira wanapokuwa wamekabidhiwa dhamana ya kuchezesha . Makelele hayasaidii, yule anawindwa kama digidigi hadi anaukimbia mji.
Mpira sio uadui upumbavu kama huu wa kutishia usalama wa mtu kisa mpira ni ujinga na wanapaswa kukemewa na wanamichezo wote
 
Juzi wazee wetu wameitisha Press na wameongea sana, kwa watu wasiojua ball ambapo wamekuja mjini miaka ya hivi karibuni akina Eddo Kumwembe na wachambuzi wenzako wajinga wajinga ambapo elimu zao ni za kuunga kuunga wanachukulia poa kauli za wazee wetu na kuona hazina mashiko.

Ukweli ni kuwa hadi mnaona Injinia Hesi anashiriki vikao vya CAF huku Yanga Jana kacheza na JKT Tanzania na kushinda mjue kuwa Ligi ya Tanzania wameshamaliza, mikakati na mbinu zao dhidi ya Simba ni mizito sana, mikakati yao ya kuiua SImba Iko kwenye bodi ya Ligi, Iko kwenye chama cha soka, Iko kwa waamuzi, Iko kwa makocha wa vilabu ambapo wamewahi kuchezea Yanga, Iko kwa wanachama wao wanaoiongoza Yanga kwenye vilabu vingine ambako wanavidhamini na Iko pia kwenye timuy yetu wenyewe ya Simba.

Tutapata sana taabu kuwafunga au kuwashusha hawa jamaa, hakyamungu nawaambia, hebu fikiria kipa wao kaingia nchini siku ya mechi na bado kacheza vizuri nyie hamuoni kuwa haya sio ya kawaida?

Wazee wangu wana hoja za msingi kabisa, kwa mfano Baraka Kizuguto Yuko TFF, Aron Nyanda Yuko TFF, Abeid Mziba Yuko TFF, hao wote wameshachezea Yanga na huyo Baraka aliwahi kuwa afisa pale jangwani wakati sie pale yupo Clifford Ndimbo TU ambaye hana ubavu wa kucheza na hao wote.

Kule bodi ndio usiseme, kwa hiyo hawa jamaa hatutaweza kuwafunga Wala kuwanyang'anya ubingwa na ndio maana zungu pori alisema watabeba ubingwa mara 30, hakusema kwa kubahatisha, alikuwa anamaanisha kwa sababu ya mikakati waliyokuwa nayo.

Njia pekee iliyobakia ni Moja tu kudadadeki, hakuna kulalamika Wala Nini, maana unaweza kwenda kulalamika serikalini kumbe unayemlalamikia ni Yanga Lia Lia, ushauri wangu wazee njia pekee iliyobakia Sasa hivi ni Moja tu, dondosheni KURUJUANI MOJA TU KUANZIA VIONGOZI WA jangwani, CHAMA CHA SOKA, CHAMA CHA WAAMUZI, BODI NA WALE WOTE WANAOTUSABABISHIA MARADHI YA MOYO HADI KUSABABISHA MWANACHAMA MWENZETU KUPOTEZA MAISHA PALE KIWALANI.PERIOD.
ADUI wenu ni yule gabachori. Mtalaumiana sana ila yule ndio anawaharibia timu.
 
Sisi ndiyo Simba SC AKA;

1. Makolokolo SC.
2. Mbumbumbu SC.
3. Mipang'ang'a SC.
4. Malalamiko (Lialia) SC.
5. Makelele SC.
6. Madunduka SC.
7. Manyaunyau (mapaka) SC.
8. Mwakarobo SC.
9. Mikia SC.
10. Miso Misonda SC.
11. Manyang'au SC.
12. Mazumbukuku SC.
13. Mazombi SC.
14. Kinyume nyume SC.
15. Ngada SC.
16. Kolowizard SC
17. Zuwena SC.
18. Bebwabebwa (Mbeleko) SC.
19. Panya roads SC.
20. Kikanuni SC.
21. Kufa Kiume SC
22. Ubaya ubwege SC.
23. 5imba SC.
JamiiForums-1769471325.jpeg
 
Juzi wazee wetu wameitisha Press na wameongea sana, kwa watu wasiojua ball ambapo wamekuja mjini miaka ya hivi karibuni akina Eddo Kumwembe na wachambuzi wenzako wajinga wajinga ambapo elimu zao ni za kuunga kuunga wanachukulia poa kauli za wazee wetu na kuona hazina mashiko.

Ukweli ni kuwa hadi mnaona Injinia Hesi anashiriki vikao vya CAF huku Yanga Jana kacheza na JKT Tanzania na kushinda mjue kuwa Ligi ya Tanzania wameshamaliza, mikakati na mbinu zao dhidi ya Simba ni mizito sana, mikakati yao ya kuiua SImba Iko kwenye bodi ya Ligi, Iko kwenye chama cha soka, Iko kwa waamuzi, Iko kwa makocha wa vilabu ambapo wamewahi kuchezea Yanga, Iko kwa wanachama wao wanaoiongoza Yanga kwenye vilabu vingine ambako wanavidhamini na Iko pia kwenye timuy yetu wenyewe ya Simba.

Tutapata sana taabu kuwafunga au kuwashusha hawa jamaa, hakyamungu nawaambia, hebu fikiria kipa wao kaingia nchini siku ya mechi na bado kacheza vizuri nyie hamuoni kuwa haya sio ya kawaida?

Wazee wangu wana hoja za msingi kabisa, kwa mfano Baraka Kizuguto Yuko TFF, Aron Nyanda Yuko TFF, Abeid Mziba Yuko TFF, hao wote wameshachezea Yanga na huyo Baraka aliwahi kuwa afisa pale jangwani wakati sie pale yupo Clifford Ndimbo TU ambaye hana ubavu wa kucheza na hao wote.

Kule bodi ndio usiseme, kwa hiyo hawa jamaa hatutaweza kuwafunga Wala kuwanyang'anya ubingwa na ndio maana zungu pori alisema watabeba ubingwa mara 30, hakusema kwa kubahatisha, alikuwa anamaanisha kwa sababu ya mikakati waliyokuwa nayo.

Njia pekee iliyobakia ni Moja tu kudadadeki, hakuna kulalamika Wala Nini, maana unaweza kwenda kulalamika serikalini kumbe unayemlalamikia ni Yanga Lia Lia, ushauri wangu wazee njia pekee iliyobakia Sasa hivi ni Moja tu, dondosheni KURUJUANI MOJA TU KUANZIA VIONGOZI WA jangwani, CHAMA CHA SOKA, CHAMA CHA WAAMUZI, BODI NA WALE WOTE WANAOTUSABABISHIA MARADHI YA MOYO HADI KUSABABISHA MWANACHAMA MWENZETU KUPOTEZA MAISHA PALE KIWALANI.PERIOD.
Karia na Kidau si Mikia FC hao.
 
UKISHABIKIA SANA SIMBA NA YANGA AUTOMATICALY AKILI ZA KICHWANI ZINAANZA KUYEYUKA.

CAPO.
 
sijasoma yote ila yanga wamepiga kwenye mshono safari hii;
yaani mtani Kila kitu vululu vululu hajui ashike wapi nafurahi sana kwakweli😂😂😂
 
Wewe ni zuzu kweli na mada zako waga ni za kujuha sana..
Utakua umekulia kwenye ufukara sana wewe kwa akili hizi za kichawi ulizonazo..
 
Injinia Hersi mmoja kawazidi viongozi wote wa Simba!.
Goli kajifunga Kijili kwa msaada wa Camara lawama zinaenda kwa watu ambao awahusiki.
 
Back
Top Bottom