Baada ya kuzoea kucheza na wakongo kwenye klabu yake alivyoona krosi akaitia nyavuni kwao

Baada ya kuzoea kucheza na wakongo kwenye klabu yake alivyoona krosi akaitia nyavuni kwao

kipara kipya

JF-Expert Member
Joined
May 2, 2016
Posts
18,833
Reaction score
23,276
Striker force ambaye amezoea kupokea makrosi ya Joyce Lomalisa,Djuma Shaban,Shadrak Boca na Max Nzengeli jana alipoina inakuja krosi ya wakongo akajua yupo kwenye majukumu ya klabu akaitia kunyavu cha kushangaza akaona wenzie hawashangilii ndipo huzuni ilipomshika,cha pili moroco anatakiwa amuanzishe saafudin tu nchi kwa hivi sasa haina striker zaidi ya huyo jamaa!
 
Striker force ambaye amezoea kupokea makrosi ya joyce lomalisa,Djuma shaban,shadrak boca na max nzengeli jana alipoina inakuja krosi ya wakongo akajua yupo kwenye majukumu ya klabu akaitia kunyavu cha kushangaza akaona wenzie hawashangilii ndipo huzuni ilipomshika,cha pili moroco anatakiwa amuanzishe saafudin tu nchi kwa hivi sasa haina striker zaidi ya huyo jamaa!
Alituliza kifuani ili golikipa adake mimi niliona hivyo, kuna kitu cha kujifunza pale na siyo kulaumu
 
Hakuna wa kulaumiwa mzize sio wa kulaumiwa kipa ameshindwa kudaka Mpira ukamgonga mzize .
Kwa akili ya chap chap mzize alijua kipa anaudaka na kwavile kipa hakudaka Mpira ikawa suprise kwa mzize , kwa spit second binadamu unaweza kufanya makosa .
Nimeshaona mechi nyingi za kimataifa kombe la dunia , Olympic, champions league uefa , African cup of nations tangu 1988 wachezaji wakubwa duniani wanajifunga kwahio sio jambo la ajabu . Own goal ni kitu cha kawaida Kwenye Mpira.
 
Kwa hiyo akaona ausukumize wavuni.Ulimgonga atakuwa amefunga yeye ndio maana ikahesabiwa kama own goal.Wacha kutetea uzembe.
Ulitegemea nn mchezani hana ball control, kuna watu wanamlaumu kipa ila kipa alijitahidi mno, Mzize kasimama tu golini nayo janga
 
Back
Top Bottom