Baada ya kwenda Kulamba Miguu ya aliyemchukia Haji Manara, Kujipendekeza kwa GSM hatimaye Ali Kamwe kuwa Msemaji wa Yanga SC

Baada ya kwenda Kulamba Miguu ya aliyemchukia Haji Manara, Kujipendekeza kwa GSM hatimaye Ali Kamwe kuwa Msemaji wa Yanga SC

AZAM hawalipi vizuri watu wanafuata brand tu ukiachana na kwenye mpira hata kwenye viwanda vyake vya production hamna maslahi wanaolipwa vizuri ni ngozi nyeupe wageni ila bongo lala utachezea laki 3 kama hutaki aacha kazi ukalime hzo ndo kauli zao za ujeuri
Kwaiyo nao ni kama metl tu
 
Hapana sijatisha ila nashangaa wale Wote walionidhihaki na kusema hakuna ninachojua na sijui Kutabiri vyema siwaoni tena katika huu Uzi wangu.

Hivi Mtu ambaye ni 'Gifted Intellectually, Knowledgeable, Challenger and Well Informed Person' kama Mimi MINOCYCLINE naweza Kukosea au Kuandika Kitu nisichokuwa na uhakika nacho hapa Jukwaani?
 
Back
Top Bottom