pilato93
JF-Expert Member
- Jun 28, 2014
- 6,296
- 6,692
Kwaiyo nao ni kama metl tuAZAM hawalipi vizuri watu wanafuata brand tu ukiachana na kwenye mpira hata kwenye viwanda vyake vya production hamna maslahi wanaolipwa vizuri ni ngozi nyeupe wageni ila bongo lala utachezea laki 3 kama hutaki aacha kazi ukalime hzo ndo kauli zao za ujeuri