Baada ya kwisha kula chakula usifanye vitu vya aina 7

Hiyo #2 inakuaje, Wengine tunakula matunda na chakula at the same time?!
Mkuu +255
Usile matunda mara moja - Mara baada ya kwisha kula matunda baada ya chakula itaweza kusababisha tumbo kuvimba kuwa na hewa. Kwa hiyo inapendeza kula matunda baada ya saa1-2 kula chakula au kabla ya saa 1 kula chakula.
 
Last edited by a moderator:
Mimi hapa ndio nachanganywa zaidi.
Mkuu Katavi Usile matunda mara moja - Mara baada ya kwisha kula matunda baada ya chakula itaweza kusababisha tumbo kuvimba kuwa na hewa. Kwa hiyo inapendeza kula matunda baada ya saa1-2 kula chakula au kabla ya saa 1 kula chakula.
 
Last edited by a moderator:
Hilo la tunda ni tatizo maana wengi huwa tunakula tunda tena na chakula kabisa mtu anatafunia ndizi au parachichi na chakula. Da inashauriwa 30 minutes after or before meal ule tunda hata kunywa maji. But utakuta mtu anakula na maji pembeni tena ya baridi na ndiyo yana slow kabisa diggestion. Tunalo!!! Hivi Tanzania Food and Nutrition Centre (TFNC) si wanatakiwa watoe elimu za lishe? Ni moja ya majukumu yao!!! Tanzania tunahitaji sana elimu ya eating habits!!!
 
Thnx Dr taabu iko kwenye kufuata maelekezo kunakotokana na mfumo wa maisha ya Kitanzania
 
Huku Ughaibuni chai kila wakati kutokana chai inatia joto la mwili hali ya hewa huku ni baridi tofauti na huko nyumbani Tanzania utakunywa chai saa sita mchana joto kali kwanini unywe chai saa sita mchana? Zion Daughter

Basi mimi huwa nakunywa chai wakati wowote nikijisikia. Kila wakati ni wakati wa chai
 
MziziMkavu! Hili la unywaji maji mara umalizapo chakula ni sahihi??
Iwe maji ya baridi ama moto!
Majibu MziziMkavu tafadhali!

 
Last edited by a moderator:
Madhara ya kunywa maji baridi haya hapa mkuu.@LiverpoolFC
Effects of Cold Water





For those who like to drink cold water, this article is applicable to you. It is nice to have a cup of cold drink after a meal. However, the cold water will solidify the oily stuff that you have just consumed. It will slow down the digestion. Once this "sludge" reacts with the acid, it will break down and be absorbed by the intestine faster than the solid food. It will line the intestine. Very soon, this will turn into fats and lead to cancer. It is best to drink hot soup or warm water after a meal.


A serious note about heart attacks – You should know that not every heart attack symptom is going to be the left arm hurting. Be aware of intense pain in the jaw line.


You may never have the first chest pain during the course of a heart attack. Nausea and intense sweating are also common symptoms. 60% of people who have a heart attack while they are asleep do not wake up. Pain in the jaw can wake you from a sound sleep. Let's be careful and be aware. The more we know the better chance we could survive.


A cardiologist says if everyone who reads this message sends it to 10 people, you can be sure that we'll save at least one life. Read this & Send the link to a friend. It could save a life. So, please be a true friend and send this article to all your friends you care about.


Its Never Late Forward Soon.@LiverpoolFC

 
Chai asubuhi waweza kunywa pamoja na chakula ila ikiwa una mazoea ya kula chakula asubuhi chakula kizito kwa mfano ugali au wali kisha ndio unywe chai hapo hairuhusiwi lakini kama unakunywa chai pamoja na mkate waweza kunywa chai haina madhara mkuu ndetichia[/QUOTE]
Mkuu, chai siyo nzuri tu kama umekula chakula chenye iron, kwa vile inazuia iron absorption.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…