Baada ya Lema kuomba michango ya nauli ya "Kuzunguka Dunia Nzima," Sasa kuna tisheti za "He's Not a Terrorist" 🤔

Baada ya Lema kuomba michango ya nauli ya "Kuzunguka Dunia Nzima," Sasa kuna tisheti za "He's Not a Terrorist" 🤔

Mzalendo_Mwandamizi

JF-Expert Member
Joined
Dec 12, 2007
Posts
1,117
Reaction score
4,772
20210730_094340.jpg
Screenshot_20210730-094749.jpg
 
chahali bana..hivi mmefikia kua puppets wa CIA..shida sana....We na wenzio mkishatumika mtatemwa kama big G au Condom.... The Ford Foundation and the CIA', he writes, "The CIA uses philanthropic foundations as the most effective conduit to channel large sums of money to Agency projects without alerting the recipients to their source.

From the early 1950s to the present the CIA's intrusion into the foundation field was and is huge. A US Congressional investigation in 1976 revealed that nearly 50% of the 700 grants in the field of international activities by the principal foundations were funded by the CIA (Who Paid the Piper? The CIA and the Cultural Cold War, Frances Stonor Saunders, Granta Books, 1999, pp. 134-135)."
 
Yaani aliyetupa jina la Nyumbu alitupatia.

Yaani mwenyekiti amekamatwa, yupo ndani na kapewa kesi kubwa SISI TUPO BUSY KUTENGENEZA TISHETI BADALA YA KUPAMBANA.

Watanzania ni viumbe wa tofauti sana.
 
Chahali unahangaika na vitu vidogo sana, naona ndio unatafuta njia ya kujipendekeza kwa watawala ili ukirudi wasikukamate, endelea kuhangaika na Chadema labda ndio mlango wako wa kurudia Tanzania salama.
 
Mimi ninachoshindwa kuwaelewa hawa jamaa ni kuwa, kuthibitisha tuhuma za ugaidi au kutothibitisha kunahitaji uchunguzi wa hali ya juu... Wao wamewezaje kujua kuwa mbowe sio gaidi kwa haraka hivi? Wanasahau kuwa ukiacha siasa na yeye ana maisha yake
ndugu hawa jamaa wanamuonaga mbowe kama malaika fulanihivi wakati naye anamaisha yake nje ya siasa tena ni mfanya biashara anashindwaje kuwa gaidi waache uchunguzi kwanza wameambiwa upelelezi uko tayari wanaharaka gani
 
Chahali unahangaika na vitu vidogo sana, naona ndio unatafuta njia ya kujipendekeza kwa watawala ili ukirudi wasikukamate, endelea kuhangaika na Chadema labda ndio mlango wako wa kurudia Tanzania salama.
Ndo alichobakiza, kule Twitter kanipiga tofali kisa hapend nitoe hoja asiyoipenda 🤣🤣🤣🚮🚮🚮🚮🚮
 
Back
Top Bottom