Mzalendo_Mwandamizi
JF-Expert Member
- Dec 12, 2007
- 1,117
- 4,772
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
We jamaa sijawahii kujua msimamo wako ni upi nadhani ndiyo maana ulitimuliwa nchini.
Anauma na kupuliza huyu. Kuna muda anakuwa CCM kindakindaki na kuna muda anawageuka.We jamaa sijawahii kujua msimamo wako ni upi nadhani ndiyo maana ulitimuliwa nchini.
ndugu hawa jamaa wanamuonaga mbowe kama malaika fulanihivi wakati naye anamaisha yake nje ya siasa tena ni mfanya biashara anashindwaje kuwa gaidi waache uchunguzi kwanza wameambiwa upelelezi uko tayari wanaharaka ganiMimi ninachoshindwa kuwaelewa hawa jamaa ni kuwa, kuthibitisha tuhuma za ugaidi au kutothibitisha kunahitaji uchunguzi wa hali ya juu... Wao wamewezaje kujua kuwa mbowe sio gaidi kwa haraka hivi? Wanasahau kuwa ukiacha siasa na yeye ana maisha yake
Hadi awamu ya pili ya utawala dhalimu ianguke puuu.
Ndo alichobakiza, kule Twitter kanipiga tofali kisa hapend nitoe hoja asiyoipenda 🤣🤣🤣🚮🚮🚮🚮🚮Chahali unahangaika na vitu vidogo sana, naona ndio unatafuta njia ya kujipendekeza kwa watawala ili ukirudi wasikukamate, endelea kuhangaika na Chadema labda ndio mlango wako wa kurudia Tanzania salama.
Wao wamekimbilia "sio gaidi"ndugu hawa jamaa wanamuonaga mbowe kama malaika fulanihivi wakati naye anamaisha yake nje ya siasa tena ni mfanya biashara anashindwaje kuwa gaidi waache uchunguzi kwanza wameambiwa upelelezi uko tayari wanaharaka gani
Excellent. Naenda kuinunua hiyo T-shirt.
Huyo ni ccm damu aliyekorofishana na Magufuli tu , hivi sasa ana mkakati maalum dhidi ya Chadema , huna haja ya kuhangaika nayeWe jamaa sijawahii kujua msimamo wako ni upi nadhani ndiyo maana ulitimuliwa nchini.