Baada ya leseni za Drones serikali igeukie CCTV Camera

Baada ya leseni za Drones serikali igeukie CCTV Camera

Hivyo vyanzo vya mapato havitakidhi mapato.

Me nashauri kuwe na kodi ya kulipia pumzi kwa kila mtanzania mwenye umri wa kuanzia miaka 18.

Average Pulse rate per minutes 60-100, tuchukue wastani wa 80 per minutes.

Per pulse rate mtu achagiwe Tsh 1, kwa hiyo per minutes mtu alipie Tsh 80/-

Kama huwezi hama nchi!

CCM hoyeee!!!🙌🙌🙌
 
Kule juu wakisema serikali ya Wanyonge huku chini wananyonga kweli kweli.
 
Hawa wahuni lazima tuwanyooshe tu.
Hivi unajua umaskini ni dhambi kubwa sana ni hugeuka kuwa laana?

Unajua umaskini chanzo chake ni uvivu wa kutokufikiri

Unajua maskini ana roho mbaya sana na wivu kupindukia?

Unajua maskini huwa muda wote hupenda kuona walio nacho wanaanguka au kupata matatizo ndio furaha yake?

Wewe ni maskini mwenye wivu, mvivu, mwenye laana na ambae utakufa kimaskini , kuzikwa kimaskini na kaburi lako litakuwa la kimaskini na hata familia itaendelea kuwa maskini daima! pambaf!
 
Miaka hii 5 alisema hakuna furaha, sasa tunataka kodi ya kichwa ya kuvuta hewa na kuishi duniani
 
Ila kati ya awamu inayoshindana na wakati ni hii awamu tuliyo nayo; hebu eti fikiria channels za YouTube zote zinazomilikiwa na watanzania zinatakiwa kulipishwa kodi wakati za wakenya,waganda wamarrkani nk zenye maudhui yaleyale au pengine maudhui mabovu na ya hatari kwa usalama wa taifa hawazitozi kodi.

Tuwe wawazi tu huyu kiongozi tuliye naye anatupeleka kwenye enzi za stone age maana hatujui kesho atapitisha sheria gani nyingine,huenda ndani ya hii miaka mitano akatutaka kusajili lini kwa alama ya makalio(yetu,ya wazazi & wake zetu)
 
Tanzania ni nchi tajiri sana. Serikali ya awamu ya tano imetukumbusha kuwa tuna vyanzo vingi vya mapato vinavyoweza kuleta makusanyo mengi ya kodi kupitia serikali kuu, mashirika ya umma na Mamlaka za serikali za Mitaa.

Baada ya kugundua chanzo kipya ambacho ni leseni za kurusha ndege zisizo na na rubani(drones) naomba igeukie upande wa hizi CCTV camera. Leseni hizi pamoja na kuingiza kipato kwa serikali zitazuia matumizi holela ya Camera hizi. Camera hizi zimekuwa zikileta mtafaruku kwenye jamii na kwa ajili hiyo zinatakiwa kudhibitiwa.

Mara kadhaa Mh. Mkuu wa Wilaya ya Hai Bw. Sabaya amejikuta kwenye matata kwa sababu ya CCTV hizi. Tunajua kuwa teknolojia imekuwa kubwa na inawezekana mara zote serikali imefanya uchunguzi kubaini kuwa Bw. Sabaya amekuwa anaandamwa kwa sababu za kisiasa.

Kuonyesha matukio ya kuhusishwa na uingiaji wa nguvu kwenye mahoteli ya wawekezaji na kwenye studio za TV usiku wa manane siyo vizuri yakaachwa. Watakaopewa leseni wapewe na miiko ya matumizi yanayofaa ya picha zinazokutwa kwenye hizi Camera.
Watu wote wenye simu zenye kamera wanunue kitambulisho cha mpigapicha binafsi kwa shilingi elfu sabini.
 
Surveillance haipaswa iingiliwe mkuu, iwe free like (Freemasons Eye) The seeing eye that watches every one, even when you are alone in a secret room.

The Eye of God, (the Foundation of Religion).

Labda useme kuwe na One control room of all Cameras in Tanzania especially in all public buildings and wherever camera surveillance is deemed necessary in Tanzania ili watu wawe na jicho la Mungu (Dini) huku serikali na taasisi ziwe Maadili na Camera Kama jicho lao!
 
Hivi unajua umaskini ni dhambi kubwa sana ni hugeuka kuwa laana?
Unajua umaskini chanzo chake ni uvivu wa kutokufikiri
Unajua maskini ana roho mbaya sana na wivu kupindukia?
Unajua maskini huwa muda wote hupenda kuona walio nacho wanaanguka au kupata matatizo ndio furaha yake?
Wewe ni maskini mwenye wivu, mvivu, mwenye laana na ambae utakufa kimaskini , kuzikwa kimaskini na kaburi lako litakuwa la kimaskini na hata familia itaendelea kuwa maskini daima! pambaf!
Mbona una hasira mzee
Bahat mbaya hujui nlicho kusudia
Halafu hatujuani pole Sana
Kunywa maji mengi
Pata muda upumzike
Halafu fanya mazoez
 
Tanzania ni nchi tajiri sana. Serikali ya awamu ya tano imetukumbusha kuwa tuna vyanzo vingi vya mapato vinavyoweza kuleta makusanyo mengi ya kodi kupitia serikali kuu, mashirika ya umma na Mamlaka za serikali za Mitaa.

Baada ya kugundua chanzo kipya ambacho ni leseni za kurusha ndege zisizo na na rubani(drones) naomba igeukie upande wa hizi CCTV camera. Leseni hizi pamoja na kuingiza kipato kwa serikali zitazuia matumizi holela ya Camera hizi. Camera hizi zimekuwa zikileta mtafaruku kwenye jamii na kwa ajili hiyo zinatakiwa kudhibitiwa.

Mara kadhaa Mh. Mkuu wa Wilaya ya Hai Bw. Sabaya amejikuta kwenye matata kwa sababu ya CCTV hizi. Tunajua kuwa teknolojia imekuwa kubwa na inawezekana mara zote serikali imefanya uchunguzi kubaini kuwa Bw. Sabaya amekuwa anaandamwa kwa sababu za kisiasa.

Kuonyesha matukio ya kuhusishwa na uingiaji wa nguvu kwenye mahoteli ya wawekezaji na kwenye studio za TV usiku wa manane siyo vizuri yakaachwa. Watakaopewa leseni wapewe na miiko ya matumizi yanayofaa ya picha zinazokutwa kwenye hizi Camera.
BILA SHAKA WEWE NI JAMBAZIII
 
Tanzania ni nchi tajiri sana. Serikali ya awamu ya tano imetukumbusha kuwa tuna vyanzo vingi vya mapato vinavyoweza kuleta makusanyo mengi ya kodi kupitia serikali kuu, mashirika ya umma na Mamlaka za serikali za Mitaa.

Baada ya kugundua chanzo kipya ambacho ni leseni za kurusha ndege zisizo na na rubani(drones) naomba igeukie upande wa hizi CCTV camera. Leseni hizi pamoja na kuingiza kipato kwa serikali zitazuia matumizi holela ya Camera hizi. Camera hizi zimekuwa zikileta mtafaruku kwenye jamii na kwa ajili hiyo zinatakiwa kudhibitiwa.

Mara kadhaa Mh. Mkuu wa Wilaya ya Hai Bw. Sabaya amejikuta kwenye matata kwa sababu ya CCTV hizi. Tunajua kuwa teknolojia imekuwa kubwa na inawezekana mara zote serikali imefanya uchunguzi kubaini kuwa Bw. Sabaya amekuwa anaandamwa kwa sababu za kisiasa.

Kuonyesha matukio ya kuhusishwa na uingiaji wa nguvu kwenye mahoteli ya wawekezaji na kwenye studio za TV usiku wa manane siyo vizuri yakaachwa. Watakaopewa leseni wapewe na miiko ya matumizi yanayofaa ya picha zinazokutwa kwenye hizi Camera.
Kwahiyo camera zikiwa na leseni ndiyo zitakuwa hazionyeshi matukio ya kijinga wanayofanya?
 
Huo utakuwa ni uduanzi...

Hizo CCTV huwa zinawasiadia sana polisi kutambua wahalifu
 
Tanzania ni nchi tajiri sana. Serikali ya awamu ya tano imetukumbusha kuwa tuna vyanzo vingi vya mapato vinavyoweza kuleta makusanyo mengi ya kodi kupitia serikali kuu, mashirika ya umma na Mamlaka za serikali za Mitaa.

Baada ya kugundua chanzo kipya ambacho ni leseni za kurusha ndege zisizo na na rubani(drones) naomba igeukie upande wa hizi CCTV camera. Leseni hizi pamoja na kuingiza kipato kwa serikali zitazuia matumizi holela ya Camera hizi. Camera hizi zimekuwa zikileta mtafaruku kwenye jamii na kwa ajili hiyo zinatakiwa kudhibitiwa.

Mara kadhaa Mh. Mkuu wa Wilaya ya Hai Bw. Sabaya amejikuta kwenye matata kwa sababu ya CCTV hizi. Tunajua kuwa teknolojia imekuwa kubwa na inawezekana mara zote serikali imefanya uchunguzi kubaini kuwa Bw. Sabaya amekuwa anaandamwa kwa sababu za kisiasa.

Kuonyesha matukio ya kuhusishwa na uingiaji wa nguvu kwenye mahoteli ya wawekezaji na kwenye studio za TV usiku wa manane siyo vizuri yakaachwa. Watakaopewa leseni wapewe na miiko ya matumizi yanayofaa ya picha zinazokutwa kwenye hizi Camera.
Madarala ya kulevya
 
Back
Top Bottom