Baada ya Lundenga kukemea Matusi ya Mange, Wizara ya mambo ya ndani na Jeshi la Polisi latoa onyo

Baada ya Lundenga kukemea Matusi ya Mange, Wizara ya mambo ya ndani na Jeshi la Polisi latoa onyo

hivi huwa anatukanaga nini maana mi najua matusi hayajai kurasa tatu huwa ana matusi mapya ama ni haya ya kawaida ama ni kashfa ama anasemaga nn ni wapi naweza kuta matusi yake nikaome nione na mie
Hakuna cha matusi...anawachana wabaya wake live...usije fikiri ananaandika sijui tusi gani...anasimulia uhalisia wa wabaya wake na ndio wanaita matusi a.k.a kashfa
 
Huyu bibi anaona kuolewa na mzungu amepanda beii sana kias kwamba anaeza kutoa shit kipuuzi...hivi yeye ana msaada gani kwa nchi hii zaidi ya kuwashauri akina mwantumu kupata mabwana wa kizungu....AF ndo ajilinganishe na MTU kama hoyce temu.

anawashauri na wadogo zake watafute mabwana wenye hela, akili hiyo!!! haka kabibi kapuuzi kweli, ana mtoto wa kike sijui anamjengaje! kako huku kanasoma comments zoote tunachoomba tu ukome we mange, tena ukome hasa, usione sifa ukiambiwa we kichaa...
 
Kwi kwi kwi...sikujua kuwa JF members wengi ni followers wa binti wa Kimambi....
Kumbe mnasoma vizuuuuri

wengine alishatu block wakati wa kampen maana alokuwa anayaandika hayavumiliki.. 😀😀
 
!
!
Ahsante kwa msaada. Je kwa Teknolojia na privacy policies za hizi social media Tanzania imewekeza vya kutosha kwenye eneo hili? Kuwa na treaty ni jambo moja na kuwa na uwezo wa kunufaika na treaty ni jambo lingine. Tuna treaties nyingi tu na nchi mbalimbali ila hatunufaiki kwa sababu ya teknolojia. Swali langu ni je kuna tukio kama hili la huyu dada lishawahi kuamuliwa mahakamani, na matokeo yake yalikuwaje? Tuna precedence katika eneo hili au ndio zile blah blah za kawaida?
Hakuna teknolojia wala political will.

Labda amtukane Magufuli.
 
Hivi huyu mdada/mmama yuko juu ya sheria? Maana siyo mara ya kwanza kumsikia akitukana watu mitandaoni wakati sheria za makosa ya mitandao zipo wazi! Au hii sheria ya mtandao ni kwa watu gani??
Kwa ajili ya ukawa tu......teh teh teh
 
Rachel Temu ana hasira sana na Mange coz huko nyuma Mange akiwa kamati ya Miss Tanzania waliwahi kulikata jina lake asishinde Miss Tanzania.sasa kisasi chake ndo kikasababishe ugomvi mpaka leo.Kiukweli Rachel Temu ndio alioanza kumtukana Mange na mwanae kumuita baboon.Mange alishamuonya mara nyingi sana Rachel akamshindwa.Akahamia kwa dada yake na kumwambia amkanye mdogo wake.Kama Rachel anataka kumtukana,amtukane Mange kama Mange individually hapana kuchanganya familia ikiwemo baba mzazi wa Mange ambae kwa sasa ni marehemu.Lakini Rachel hakusikia na ndugu zake walikua kimya wanamuangali.Ndipo na yeye aliposema enough is enough ndipo akatoa siri zote nje.Mi nimemuelewa sana Mange na wala simtetei.Kunya anye kuku tu akinya bata kaharisha sio?
 
Back
Top Bottom