nyumba kubwa
JF-Expert Member
- Oct 8, 2010
- 10,309
- 8,379
Hakuna cha matusi...anawachana wabaya wake live...usije fikiri ananaandika sijui tusi gani...anasimulia uhalisia wa wabaya wake na ndio wanaita matusi a.k.a kashfahivi huwa anatukanaga nini maana mi najua matusi hayajai kurasa tatu huwa ana matusi mapya ama ni haya ya kawaida ama ni kashfa ama anasemaga nn ni wapi naweza kuta matusi yake nikaome nione na mie