Kuanzia siku ya jana, inasemekana M/s Kalinda aliamua kuzima mitambo yake ya kuchimba madini kwa kisingizio kuwa wajanja wame hack mitambo yake.
Mitambo yake ilianza kupoteza nguvu taratibu tangu juzi na hatimaye kusimamishwa rasmi jana huku ikiacha kilio kikubwa kwa maelfu ya wadau waliokuwa na hisa ktk kampuni hiyo.
Shida kubwa kwa wanahisa hao ni kwamba, hawajui hata zilipo ofisi za kampuni hii, pia hata viongozi waandamizi wa kampuni hii hawajulikani ni akina nani.
Kuna wasiwasi pia kuwa kampuni nyingine mpya (M/S LM Ltd) inayojishughulisha na uchimbaji mdogo mdogo wa madini , uenda pia nayo ikazima mitambo yake wakati wowote kuanzia sasa!
Somo: People never learn, nothing comes out of nothing.
Mitambo yake ilianza kupoteza nguvu taratibu tangu juzi na hatimaye kusimamishwa rasmi jana huku ikiacha kilio kikubwa kwa maelfu ya wadau waliokuwa na hisa ktk kampuni hiyo.
Shida kubwa kwa wanahisa hao ni kwamba, hawajui hata zilipo ofisi za kampuni hii, pia hata viongozi waandamizi wa kampuni hii hawajulikani ni akina nani.
Kuna wasiwasi pia kuwa kampuni nyingine mpya (M/S LM Ltd) inayojishughulisha na uchimbaji mdogo mdogo wa madini , uenda pia nayo ikazima mitambo yake wakati wowote kuanzia sasa!
Somo: People never learn, nothing comes out of nothing.