Baada ya Maandamano ya CHADEMA Kushindikana,Maria Sarungi Aanza Kutumika na kutumikishwa kupika Uzushi na uongo usio na Ushahidi Kuchafua watu.

Baada ya Maandamano ya CHADEMA Kushindikana,Maria Sarungi Aanza Kutumika na kutumikishwa kupika Uzushi na uongo usio na Ushahidi Kuchafua watu.

Lucas Mwashambwa

JF-Expert Member
Joined
Jul 28, 2022
Posts
28,722
Reaction score
20,610
Ndugu zangu Watanzania,

Ikumbukwe ya kuwa huyu Mama Maria Sarungi kazi yake kubwa ni kutumika,kutumikishwa , kutumiwa kwa njia zote chafu na mbaya kupika Majungu,umbea,uzushi,uongo,ufitini na uchonganishi.Maisha yake yanategemea atumikishwe kama mtumwa na watu wenye ajenda zao za siri kuchafua watu, kuwachonganisha na kuleta fitina. Yeye ni kama kasuku au dodoki lenye kunyonyeshwa kila aina ya uchafu.

Hayo ndio maisha yake ya kila siku,ndio shibe yake kwa ajili ya tumbo lake,ndio kuja kwake kwa mlo mezani pake,ndio pumzi yake.heshima yake ni kutumikishwa na kutumiwa .Ndio Maana hajawahi kuwa na msimamo wala kueleweka anachosimamia wala kupigania.yeye Dira yake na msimamo wake ni juu ya kuponya njaa ya tumbo lake. Kazi yake kubwa ni kuchafua viongozi wetu kwa tuhuma za uzushi, uongo na kupika majungu.kuharibu taswira za watu na kujaribu kuleta taharuki kwa watu.

Amekuwa na chuki binafsi kwa viongozi wetu wa serikali na kujaribu kwa mbinu zote kuwajengea taswira mbaya kwa jamii.kwa sasa amekuwa akitoa tuhuma za uongo, uzushi na Majungu kwa baadhi ya viongozi kwa lengo la kuwachafua na kuleta uchonganishi serikalini na hata miongoni mwa viongozi wetu ndani ya vyombo vya ulinzi na usalama pasipo kuwa na ushahidi wa aina yoyote ile kiganjani pake..

Narudia kusema tena hana ushahidi wa aina yoyote ile na hata yeye mwenyewe amekiri kutokuwa na ushahidi pale watu wanapomuomba awapatie na kuwawekea ushahidi. Amekuwa ni mtu mwenye wivu na chuki binafsi. Ni mtu ambaye ameelemewa na msongo wa mawazo.pengine kwa sababu ya umri wake kuendelea kusonga pasipo kuona Ndoto zake zikitimia wala kuwa na matumaini ya kutimia. Amekuwa ni mtu wa Hovyo na mwenye kutumikia tumbo lake.ndio maana amekuwa mtu wa kubadilika badilika kama kinyonga.

Kwa hiyo ni lazima mfahamu kuwa mwanamke huyu hana jema kwa Taifa letu wala nia njema.yeye ni mtu wa maslahi yake binafsi tu.ndio maana leo utaona yupo kwa huyu na kesho yupo kwa yule na kesho kutwa yupo kwa jambo lile.ni mtu anayeongozwa na Njaa na tumbo lake tu. Akitupiwa mifupa anabaki anahangaika nao muda wote na kuhisi yupo kwenye meza ya mfalme na kuanza kutukana na kuchafua wengine.

Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
 
IMG_6103.jpeg
 
Acha kuandika bandiko reefu kama unasomea PhD ya ujinga😀😄😆😃
Andiko refu hilo? Kweli umechoka sana akili yako.na ndio maana kwa siku za hivi karibuni uwezo wako kiakili umekuwa mdogo sana tofauti na yule Allen kilewella niliyekuwa namsikiliza kila jumamosi Ebon FM😀😀
 
Ndugu zangu Watanzania,

Ikumbukwe ya kuwa huyu Mama Maria Sarungi kazi yake kubwa ni kutumika,kutumikishwa , kutumiwa kwa njia zote chafu na mbaya kupika Majungu,umbea,uzushi,uongo,ufitini na uchonganishi.Maisha yake yanategemea atumikishwe kama mtumwa na watu wenye ajenda zao za siri kuchafua watu, kuwachonganisha na kuleta fitina. Yeye ni kama kasuku au dodoki lenye kunyonyeshwa kila aina ya uchafu.

Hayo ndio maisha yake ya kila siku,ndio shibe yake kwa ajili ya tumbo lake,ndio kuja kwake kwa mlo mezani pake,ndio pumzi yake.heshima yake ni kutumikishwa na kutumiwa .Ndio Maana hajawahi kuwa na msimamo wala kueleweka anachosimamia wala kupigania.yeye Dira yake na msimamo wake ni juu ya kuponya njaa ya tumbo lake. Kazi yake kubwa ni kuchafua viongozi wetu kwa tuhuma za uzushi, uongo na kupika majungu.kuharibu taswira za watu na kujaribu kuleta taharuki kwa watu.

Amekuwa na chuki binafsi kwa viongozi wetu wa serikali na kujaribu kwa mbinu zote kuwajengea taswira mbaya kwa jamii.kwa sasa amekuwa akitoa tuhuma za uongo, uzushi na Majungu kwa baadhi ya viongozi kwa lengo la kuwachafua na kuleta uchonganishi serikalini na hata miongoni mwa viongozi wetu ndani ya vyombo vya ulinzi na usalama pasipo kuwa na ushahidi wa aina yoyote ile kiganjani pake..

Narudia kusema tena hana ushahidi wa aina yoyote ile na hata yeye mwenyewe amekiri kutokuwa na ushahidi pale watu wanapomuomba awapatie na kuwawekea ushahidi. Amekuwa ni mtu mwenye wivu na chuki binafsi. Ni mtu ambaye ameelemewa na msongo wa mawazo.pengine kwa sababu ya umri wake kuendelea kusonga pasipo kuona Ndoto zake zikitimia wala kuwa na matumaini ya kutimia. Amekuwa ni mtu wa Hovyo na mwenye kutumikia tumbo lake.ndio maana amekuwa mtu wa kubadilika badilika kama kinyonga.

Kwa hiyo ni lazima mfahamu kuwa mwanamke huyu hana jema kwa Taifa letu wala nia njema.yeye ni mtu wa maslahi yake binafsi tu.ndio maana leo utaona yupo kwa huyu na kesho yupo kwa yule na kesho kutwa yupo kwa jambo lile.ni mtu anayeongozwa na Njaa na tumbo lake tu. Akitupiwa mifupa anabaki anahangaika nao muda wote na kuhisi yupo kwenye meza ya mfalme na kuanza kutukana na kuchafua wengine.

Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Condom moja tu ingetuepusha na upumbavu huu.
 
Wewe ndiyo inatumika kama toilet papers.maria sarungi ni mzalendo ambaye anauhabarisha umma maovu ya kizimkazi wenu.kwa Sasa nchi inaendeshwa kienyeji tu bila kufuata utaratibu.Vyombo vya ulinzi vilitakiwa vimpatie ulinzi mzalendo mwenzetu maria sarungi Kwa kuibua mauozo yanayofanyika na hii serikali dhalimu.
 
Wewe ndiyo inatumika kama toilet papers.maria sarungi ni mzalendo ambaye anauhabarisha umma maovu ya kizimkazi wenu.kwa Sasa nchi inaendeshwa kienyeji tu bila kufuata utaratibu.Vyombo vya ulinzi vilitakiwa vimpe ulinzi mzalendo mwenzetu maria sarungi Kwa kuibua mauozo yanayofanika na hii serikali dhalimu.
Kama unaweza kumuamini Maria maneno yake ,basi unapaswa kupimwa akili yako haraka sana ili uanzishiwe dozi ya dawa haraka sana.
 
Back
Top Bottom